"I Miss You" lyrics
"I Miss You"
Hello, hapo vipi sijui unanisikia
Hello, na maneno natamani kukwambia
Hello, tafadhali usije nikatia
Hello ooh, ona mpaka nasahau kusalimia
Habari gani? Leo nimekukumbuka sana
Na mama yaani, twakuwazaga
Vipi nyumbani, hali ya mumeo na wana?
Na aunty Shani, wa Chimwaga
Anha Kile kidonda changu cha roho
Bado kinanitia tabu
Najitahidi kukaza roho
Ila nazidisha adhabu
Tena silali, oh
Nasubiri maajabu
Maumivu yangu hayajapata dawa
Maana I miss you (nakukumbuka iye iye) nakukumbuka baby
I miss you (nakukumbuka iye iye)
I do miss you (nakukumbuka iye iye) nakukumbuka mama
I miss you (nakukumbuka iye iye)
Ooh na roho yangu mama (bigili bigili)
Ah nikikuwaza (bigili bigili)
Nikisinzia (bigili bigili bayoyo)
Oh nikilala (bigili bigili)
Inama inuka woh (bigili bigili)
Nami sina raha (bigili bigili bayoyo)
Tatizo hata sijui nini kosa langu
Mpaka nikawa adui ghafla ukanichukiaga
Nawaza ila siambui ama shida zangu...
Simba nikawa chui mi roho inaniumaga
Yawezekana ahadi zangu zisizotimia
Ndio maana haukutaka kusubiria
Nasema nyama mwisho wa siku naleta bamia
Chai mchana usiku dona kurumaghia
Nilitamani sana ila nguvu yangu pale iliishia
Ningalikua na uwezo ningekutimizia
Ningali unafuraha haya maumivu ntayavumilia
Ila japo nambie ivi unanifikiria maana, eh eeh
Nakumkumbuka iyeh iyeh (nakumkumbuka sana, ooh)
I miss you (nakukumbuka iye iye)
Nakumkumbuka sana, ooh
I miss you (nakukumbuka iye iye)
I miss you (nakukumbuka iye iye)
I miss you (nakukumbuka iye iye)
Ooh na roho yangu mama (bigili bigili)
Ah nikikuwaza (bigili bigili)
Nikisinzia (bigili bigili bayoyo)
Oh nikilala (bigili bigili)
Inama inuka woh (bigili bigili)
Nami sina raha (bigili bigili bayoyo)
Hata nikila (bigili bigili)
Nikikuwaza (bigili bigili)
Nikiiii nana
(Bigili bigili bayoyo)
Ooh na roho yangu mama (bigili bigili)
Ah nikikuwaza (bigili bigili)
Nikisinzia (bigili bigili bayoyo)
Tudd Thomas
Eeeeeh eeh roho yangu mama (bigili bigili)
Eeeeh hee hee (bigili bigili)
Eeeeh hee hee (bigili bigili bayoyo)
Oooh roho yangu mama (bigili bigili)
Inama inuka woh (bigili bigili)
Na Chibu sina raha (bigili bigili bayoyo), oh
Hata Nikila
Writer(s): Nasibu Abdul Juma Issaack
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
You May Also Like
Lojay & Sarz - "Monalisa" Baby follow my commanding like zombie
Go down on me o with your coca body
Follow my commanding like zombie
Go down on me o with your coca body
'Cause this your miliki for front na for me
Hol am for...
P-Square - "Shekini" P-Square eh eh
Yahn ahn
(Alen )
Yahn ahn
Lets go
Otu de oya sare wa gba kekere kerewawo
Atu ti de oya burukutu make e sarabara owey
(Oya shekini ni ni ni ni )
Oya shekina na na na na
Ehn ehn
I...
Chris Brown - "Hmmm" (Road clan, freeway)
(Aoogaa)
So mi (Hmm)
So mi so so (Hmm)
I don nor nor (Hmm)
Make them they turn up (Hmm)
They no see me coming (Hmm)
Are you ready for me (Hmm)
Energy like cocaine (Hmm)
Cream La...
Dadju - "Trouvez-La Moi" Cette femme-là je n'arrive pas à l'oublier
Et pourtant j'en ai connu plein d'autres
De toutes origines, que des canons sciés
Mais celle-là, elle m'a ensorcelé
On m'avait pourtant dit de me méfier...
Fally Ipupa - "A Flyé" Moto oyo ba lingaka mingi na bolingo pé akoki
Ko changer avis akoma na yé rebelle loin de l'amour
A flyé, a s'envoler n'é loin de l'amour, Adolphe Muteba
Distance ya cinq mètres ekoki ko koma milles...