"Kanyaga" lyrics

"Kanyaga"

(Woo, woiyo ooh woiyo ooh)
It's Platnumz, Zombie
(Woo, woiyo ooh woiyo ooh)
It's S2kizzy baby

Ati kanyaga ka ana pigo za unafiki
Kanyaga kama mmbeya asiye rafiki
Kanyaga kama fisi ana roho ya usnichi
Hakulishi, hakuvishi kwani vipi?

Kanyaga
Wazee wa shobo kudandia, kanyaga
Klabu kuomba omba bia, kanyaga
Slay queens vitisho vya bandia
Ukivipa hai ati madai vinavimbia

Kanyaga!
Uzushi, Kanyaga!
Mashemu feki, Kanyaga!
Nuksi, Kanyaga!
Kudadadeki, Kanyaga!
Mawifi, Kanyaga!
Mpaka ma ex, Kanyaga!
Mikosi, Kanyaga!
Woooya Kanyaga!

Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!

Yii, Kanyaga! Kanyaga!
Kama unalicheza zanku
Kanyaga! Kanyaga!
Wale wakuda wadaku
Kanyaga! Kanyaga!
Yeah, kidaku daku
Kanyaga! Kanyaga!
Wajue hizi namba chafu

Woo, woiyo ooh woiyo ooh
Woo, woiyo ooh woiyo ooh

Ooh yeah eeh
Siku hizi watu wanataka money
So nikimuita aku kosti, Kanyaga!
Kunitumia mipicha pigo gani?
Ati basi day nikuposti (oh yeah yeah)

Kadi za harusi kuchanga changa, Kanyaga!
Wakati mwenyewe nina majanga, Kanyaga!
Sina godoro sina kitanda
Ati nikuchangie kodi kwenda kupanga (yii)

Kama buti la mugambo, Kanyaga!
Wavuruga mipango, Kanyaga!
Wazee wa Insta michambo
Ati 'baby niunge bando'

Kanyaga!
Uzushi, Kanyaga!
Mashemu feki, Kanyaga!
Nuksi, Kanyaga!
Kudadadeki, Kanyaga!
Mawifi, Kanyaga!
Mpaka ma ex, Kanyaga!
Mikosi, Kanyaga!
Woooya Kanyaga!

Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!

Yii, Kanyaga! Kanyaga!
Kama unalicheza zanku
Kanyaga! Kanyaga!
Wale wakuda wadaku
Kanyaga! Kanyaga!

Yeah, kidaku daku
Kanyaga! Kanyaga!
Wajue hizi namba chafu

I say leeeooo...
Usiku hatulali, tunakesha kama popo
Leo, leo
Tena wape na bare, kama wao pakasi kwako

Asa timba, timba timba (timbaaa)
Wanangu timba (timbaaa)
Wao kula kushoto (timbaaa)
Kula kulia (timbaaa)

I say timba, timba timba (timbaaa)
Oyaa wahuni timba (timbaaa)
Kama unazikili (timbaaa)
Mchaka kabisa akili (timbaaa)

Kimya!


Writer(s): Falli Ipupa N Simba, Nasibu Abdul Juma Issaack
You May Also Like
Fally Ipupa - "École" The King The Genius El Profesor École ! Lukwa eeeeh Dicaprio wa Nzambi Lukwa eeeeh Papy Shako, Djodjo Ngonda Imene Fura fura tukedibene kumisa bato eeehh Mama widi sene maho kumisa Awu matondo...
DaVido - "UNAVAILABLE" Baddest You know Eh, eh, eh, eh Tune into the king of sounds and blues Initiating rage process I'm unavailable (Unavailable) Dem no dem see me (Dem no dey see) I'm unavailable (Unavailable) Dem no...
Asake & Olamide - "Amapiano" Dem know, dem know, dem know, dem know Ololademi Asake Tune in to the king of sounds and blues Dem know, dem know Amapiano, eh Diano, eh It's a big vibe, all the girls dem know Steadily, steadily...
Ayra Starr - "Bad Vibes" No dey throw bad vibes Where the money dey, that is where I'm at Anyhow e be, I dey play my part Igi gogoro, ma gun mi l'oju, mi o fọ (Mystro Sugar) I let the water touch my mink Can't let these...
Sauti Sol - "Suzanna" Oh Suzanna, I hope you're happy now I see you flexing on the gram with your sponsor Suzanna, I hope you're happy now I see you change your skin colour And your hair is longer now Nakuona Paris, hapo...