"Kanyaga" lyrics
"Kanyaga"
(Woo, woiyo ooh woiyo ooh)
It's Platnumz, Zombie
(Woo, woiyo ooh woiyo ooh)
It's S2kizzy baby
Ati kanyaga ka ana pigo za unafiki
Kanyaga kama mmbeya asiye rafiki
Kanyaga kama fisi ana roho ya usnichi
Hakulishi, hakuvishi kwani vipi?
Kanyaga
Wazee wa shobo kudandia, kanyaga
Klabu kuomba omba bia, kanyaga
Slay queens vitisho vya bandia
Ukivipa hai ati madai vinavimbia
Kanyaga!
Uzushi, Kanyaga!
Mashemu feki, Kanyaga!
Nuksi, Kanyaga!
Kudadadeki, Kanyaga!
Mawifi, Kanyaga!
Mpaka ma ex, Kanyaga!
Mikosi, Kanyaga!
Woooya Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Yii, Kanyaga! Kanyaga!
Kama unalicheza zanku
Kanyaga! Kanyaga!
Wale wakuda wadaku
Kanyaga! Kanyaga!
Yeah, kidaku daku
Kanyaga! Kanyaga!
Wajue hizi namba chafu
Woo, woiyo ooh woiyo ooh
Woo, woiyo ooh woiyo ooh
Ooh yeah eeh
Siku hizi watu wanataka money
So nikimuita aku kosti, Kanyaga!
Kunitumia mipicha pigo gani?
Ati basi day nikuposti (oh yeah yeah)
Kadi za harusi kuchanga changa, Kanyaga!
Wakati mwenyewe nina majanga, Kanyaga!
Sina godoro sina kitanda
Ati nikuchangie kodi kwenda kupanga (yii)
Kama buti la mugambo, Kanyaga!
Wavuruga mipango, Kanyaga!
Wazee wa Insta michambo
Ati 'baby niunge bando'
Kanyaga!
Uzushi, Kanyaga!
Mashemu feki, Kanyaga!
Nuksi, Kanyaga!
Kudadadeki, Kanyaga!
Mawifi, Kanyaga!
Mpaka ma ex, Kanyaga!
Mikosi, Kanyaga!
Woooya Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Yii, Kanyaga! Kanyaga!
Kama unalicheza zanku
Kanyaga! Kanyaga!
Wale wakuda wadaku
Kanyaga! Kanyaga!
Yeah, kidaku daku
Kanyaga! Kanyaga!
Wajue hizi namba chafu
I say leeeooo...
Usiku hatulali, tunakesha kama popo
Leo, leo
Tena wape na bare, kama wao pakasi kwako
Asa timba, timba timba (timbaaa)
Wanangu timba (timbaaa)
Wao kula kushoto (timbaaa)
Kula kulia (timbaaa)
I say timba, timba timba (timbaaa)
Oyaa wahuni timba (timbaaa)
Kama unazikili (timbaaa)
Mchaka kabisa akili (timbaaa)
Kimya!
Writer(s): Falli Ipupa N Simba, Nasibu Abdul Juma Issaack
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
You May Also Like
Fally Ipupa - "École" The King
The Genius
El Profesor
École !
Lukwa eeeeh Dicaprio wa Nzambi
Lukwa eeeeh Papy Shako, Djodjo Ngonda Imene
Fura fura tukedibene kumisa bato eeehh
Mama widi sene maho kumisa
Awu matondo...
DaVido - "UNAVAILABLE" Baddest
You know
Eh, eh, eh, eh
Tune into the king of sounds and blues
Initiating rage process I'm unavailable (Unavailable)
Dem no dem see me (Dem no dey see)
I'm unavailable (Unavailable)
Dem no...
Asake & Olamide - "Amapiano" Dem know, dem know, dem know, dem know
Ololademi Asake
Tune in to the king of sounds and blues
Dem know, dem know
Amapiano, eh
Diano, eh
It's a big vibe, all the girls dem know
Steadily, steadily...
Ayra Starr - "Bad Vibes" No dey throw bad vibes
Where the money dey, that is where I'm at
Anyhow e be, I dey play my part
Igi gogoro, ma gun mi l'oju, mi o fọ (Mystro Sugar)
I let the water touch my mink
Can't let these...
Sauti Sol - "Suzanna" Oh Suzanna, I hope you're happy now
I see you flexing on the gram with your sponsor
Suzanna, I hope you're happy now
I see you change your skin colour
And your hair is longer now
Nakuona Paris, hapo...