"Natamani" lyrics

"Natamani"

Mi kweli natamani siku iwezekane
Nfumbue macho mi kuona
Nijue sababu gani, unanipenda sana
Wakati siwezi mi kuona?
Mi kweli natamani siku iwezekane
Nfumbue macho mi kuona
Nijue sababu gani, unanipenda sana
Wakati siwezi mi kuona?

Mara nyingi peke yangu nawaza
Namuomba Mungu nisije kukwaza
Nikaja kukupa maudhi na nafsi kuichoma
Chei! Tena usiku mzima nalia darling
Napiga goti kwa Mola nasali
Azidi tupe baraka tusije kosa dona

Eh! Mi macho yangu
Nimejaliwa mboni lakini nuru sina
Ningekuwa na uwezo
Ningefanya kazi nikuhudumie
Upofu wangu ndio kikwazo kikubwa
Mwenzako raha sina
Lakini unanijali
Mbali na mengi unanipenda sana

Mi kweli natamani siku iwezekane
Nfumbue macho mi kuona
Nijue sababu gani, unanipenda sana
Wakati siwezi mi kuona?
Mi kweli natamani siku iwezekane
Nfumbue macho mi kuona
Nijue sababu gani, unanipenda sana
Wakati siwezi mi kuona?

Nasikia kuna rangi ya upendo
Ili upendwe kuna pozi za mwendo
Utanashati
Udambudambu na urembo mi sina
Mi natamani nitazame
Kwa ardhi na mbingu nilalame
Nipande mawingu na niliname
Uwenda nikaona

Eh! Mi macho yangu
Nimejaliwa mboni lakini nuru sina
Ningekuwa na uwezo
Ningefanya kazi nikuhudumie
Upofu wangu ndio kikwazo kikubwa
Mwenzako raha sina
Lakini unanijali
Mbali na mengi unanipenda sana

Mi kweli natamani siku iwezekane
Nfumbue macho mi kuona
Nijue sababu gani, unanipenda sana
Wakati siwezi mi kuona?
Mi kweli natamani siku iwezekane
Nfumbue macho mi kuona
Nijue sababu gani, unanipenda sana
Wakati siwezi mi kuona?

Nikuone mama, niweze tazama
Everybody say, eh eh eh eh eh
Eh eh eh eh eh eh
Eh eh eh eh eh eh
I love you, nakupenda
Tena! Eh eh eh eh eh
Eh eh eh eh eh eh
Eh eh eh eh eh eh
I love you, nakupenda
Say, eh eh eh eh eh
Eh eh eh eh eh eh
Eh eh eh eh eh eh
I love you, nakupenda


Writer(s): Diamond Platnumz
You May Also Like
Asake & Olamide - "Amapiano" Dem know, dem know, dem know, dem know Ololademi Asake Tune in to the king of sounds and blues Dem know, dem know Amapiano, eh Diano, eh It's a big vibe, all the girls dem know Steadily, steadily...
P-Square - "Shekini" P-Square eh eh Yahn ahn (Alen ) Yahn ahn Lets go Otu de oya sare wa gba kekere kerewawo Atu ti de oya burukutu make e sarabara owey (Oya shekini ni ni ni ni ) Oya shekina na na na na Ehn ehn I...
DARKOO - "Favourite Girl (Remix)" There's just me and this (Girl) Hand on my heart, if I be honest (Girl) She lose control when she feel horny (Girl) The patrona got me down (Yeah) You like this high life ting, my love I love being...
Meddy - "Ntawamusimbura" Tariki ya mbere y'ukwa munani Nibwo wambwiye (yo) akazina kawe Kukubura umwanya muto (yo, yo) Ni nko gusogongera ku rupfu Yambwiye iby'umunezero (iyo), maze biramperekeza Uri icyifuzo cy'umutima...
Rema - "Charm" London Another banger Come here, wetin dey worry you? Bring body make I rock am, yeah, yeah I know you senior me I get money pass your papa Wetin you want wey I no fit do for you? Why you wan dey...