"Natamani" lyrics
"Natamani"
Mi kweli natamani siku iwezekane
Nfumbue macho mi kuona
Nijue sababu gani, unanipenda sana
Wakati siwezi mi kuona?
Mi kweli natamani siku iwezekane
Nfumbue macho mi kuona
Nijue sababu gani, unanipenda sana
Wakati siwezi mi kuona?
Mara nyingi peke yangu nawaza
Namuomba Mungu nisije kukwaza
Nikaja kukupa maudhi na nafsi kuichoma
Chei! Tena usiku mzima nalia darling
Napiga goti kwa Mola nasali
Azidi tupe baraka tusije kosa dona
Eh! Mi macho yangu
Nimejaliwa mboni lakini nuru sina
Ningekuwa na uwezo
Ningefanya kazi nikuhudumie
Upofu wangu ndio kikwazo kikubwa
Mwenzako raha sina
Lakini unanijali
Mbali na mengi unanipenda sana
Mi kweli natamani siku iwezekane
Nfumbue macho mi kuona
Nijue sababu gani, unanipenda sana
Wakati siwezi mi kuona?
Mi kweli natamani siku iwezekane
Nfumbue macho mi kuona
Nijue sababu gani, unanipenda sana
Wakati siwezi mi kuona?
Nasikia kuna rangi ya upendo
Ili upendwe kuna pozi za mwendo
Utanashati
Udambudambu na urembo mi sina
Mi natamani nitazame
Kwa ardhi na mbingu nilalame
Nipande mawingu na niliname
Uwenda nikaona
Eh! Mi macho yangu
Nimejaliwa mboni lakini nuru sina
Ningekuwa na uwezo
Ningefanya kazi nikuhudumie
Upofu wangu ndio kikwazo kikubwa
Mwenzako raha sina
Lakini unanijali
Mbali na mengi unanipenda sana
Mi kweli natamani siku iwezekane
Nfumbue macho mi kuona
Nijue sababu gani, unanipenda sana
Wakati siwezi mi kuona?
Mi kweli natamani siku iwezekane
Nfumbue macho mi kuona
Nijue sababu gani, unanipenda sana
Wakati siwezi mi kuona?
Nikuone mama, niweze tazama
Everybody say, eh eh eh eh eh
Eh eh eh eh eh eh
Eh eh eh eh eh eh
I love you, nakupenda
Tena! Eh eh eh eh eh
Eh eh eh eh eh eh
Eh eh eh eh eh eh
I love you, nakupenda
Say, eh eh eh eh eh
Eh eh eh eh eh eh
Eh eh eh eh eh eh
I love you, nakupenda
Writer(s): Diamond Platnumz
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
You May Also Like
Asake & Olamide - "Amapiano" Dem know, dem know, dem know, dem know
Ololademi Asake
Tune in to the king of sounds and blues
Dem know, dem know
Amapiano, eh
Diano, eh
It's a big vibe, all the girls dem know
Steadily, steadily...
P-Square - "Shekini" P-Square eh eh
Yahn ahn
(Alen )
Yahn ahn
Lets go
Otu de oya sare wa gba kekere kerewawo
Atu ti de oya burukutu make e sarabara owey
(Oya shekini ni ni ni ni )
Oya shekina na na na na
Ehn ehn
I...
DARKOO - "Favourite Girl (Remix)" There's just me and this (Girl)
Hand on my heart, if I be honest (Girl)
She lose control when she feel horny (Girl)
The patrona got me down (Yeah)
You like this high life ting, my love
I love being...
Meddy - "Ntawamusimbura" Tariki ya mbere y'ukwa munani
Nibwo wambwiye (yo) akazina kawe
Kukubura umwanya muto (yo, yo)
Ni nko gusogongera ku rupfu
Yambwiye iby'umunezero (iyo), maze biramperekeza
Uri icyifuzo cy'umutima...
Rema - "Charm" London
Another banger
Come here, wetin dey worry you?
Bring body make I rock am, yeah, yeah
I know you senior me
I get money pass your papa
Wetin you want wey I no fit do for you?
Why you wan dey...