"Niache" lyrics
"Niache"
Eti nikuombee mema
Na baraka uzidi fanikiwa
Siwezi kamwe wala
Ni sawa na kuiforce sinema
Kuitazama na haijanivutia
Lazima tu ntalala
Na kwa barabara ukipita
Nenda kulia ukiniona kushoto
Sitaki hata tuonane
Usije wala ukaniita
Donda vilia utanchochea tu moto
Nisije nkutukane
Kinachoniumiza nafsi
Kunisikitisha kwa watu kujishongondoa
Kumbe mapenzi hisabati wakati nayazidisha
Mwenzangu nje unayatoa
Wewe cement mimi mchanga
Nkasema penzi tujenge lisije loa
Najitia mkandarasi naezeka mabati
Wewe chini kenchi unabomoa
Niache
Niache
Niache, oh niache
Niache
Nipambane na moyo wangu
Niache (niaaa...)
Niache (moyo wangu una hasira)
Niache, oh niache
Niache
Najitahidi nisilale kwenye kitanda
Huenda ntapunguza ndoto zako
Mwilini nina machale utadhani mwanga
Yote kuusahau uwepo wako
Laiti kama ningekuwa gari
Ningekugonga barabarani
Ama nyuki mtoa asali
Nkung'ate sura wasiitamani
Hivi wewe ungo ulivunja mwali
Ama ulivunja sahani
Kuniundia mateam kwa mitandao
Vijembe vya kazi gani
Kinachoniumiza nafsi
Kunisikitisha kwa watu kujishongondoa
Kumbe mapenzi hisabati wakati nayazidisha
Mwenzangu nje unayatoa
Wewe cement mimi mchanga
Nkasema penzi tujenge lisije loa
Najitia mkandarasi naezeka mabati
Wewe chini kenchi unabomoa
Niache, oh niachee
Niache (mimi moyo wangu una hasira)
Niache (tena ukae mbali)
Niache (oooh niachee)
Niache (usiwapigie rafiki zangu)
Niache (usithubutu hata simu yangu)
Niache (chonde tafadhali)
Niache (niaaa...)
(Iyoo lizer)
Ntakudanganya kwa tabasamu
Ntakudangany kwa kucheka
Ntakudanganya hata kwa salamu
Ila moyoni nakuchukia
Nitakudanganya kukufollow
Nitakudanganya kucomment
Nitakudangaya kulike picha
Ila siwezi kukuzimia
Writer(s): Diamond Platnumz
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
You May Also Like
Fally Ipupa - "Juste Une Danse" El Mara !
Elle est là, elle est là
Dis-moi ma belle
Dis-moi ma belle si tu es bien réelle (réelle)
Jusqu'à présent faut dire qu'tu manquais à l'appel
Désormais j'ai juré, je t'ai bien repéré
Pardon...
Meddy & Priscillah - "Nka Paradizo" Nasanze urukundo
Ruruta byose
Kwihishira ni ukwibeshya
No mu gusaza (yeah)
Nzahora nkukunda (yeah)
Nkaho ari ubwa nyuma (yeah)
Tambuka
Oya, ntutinye kugwa
Turi kumwe
Abifuza ko nabivamo
Ntibazi ko...
Rayvanny - "Number One" Macho yalikuona, moyo ukakuchagua
Mdomo ukasema nakupenda aah
Mwambie umepona alokutesa moyo kuusumbua
Maumivu yamekwenda
Mi ni zawadi nilopewa
Macho nipepese wapi
Mi kipofu kwako sioni
Penzi...
Sauti Sol - "Nerea" Nakuomba Nerea, usitoe mimba yangu we
Mungu akileta mtoto, analeta saa ni yake
Mlete nitamlea, usitoe mimba yangu we
Mungu akileta mtoto, analeta saa ni yake
Huenda akawa Obama, atawale Amerika...
Abigail Chams & Harmonize - "Me Too" Zara Boy pass me the weed, I'm about to say some real shit nigga
Bomboclaat
I just wanna sing for my baby
Abigail Chams again
I was tired of "Baby do this for me"
Then you came said, "Baby do this...