"Ntampata Wapi" lyrics

"Ntampata Wapi"

Sura yake mtaratibu
Mwenye macho ya aibu
Kumsahau najaribuu
Ila namkumbuka sanaa
Umbo lake mahbibu
Kwenye maradhi alionitibu
Siri yangu ukaribuu
Bado namumbuka sanaa

Alionifanya silali, jua kali
Nitafute tukale
Lakini hata hakujali darling
Akatekwa na walee
Alionifanya silali, jua kali
Nitafute tukale
Ila wala hakujali
Darling, ah...

Ntampata wapi kama yule
Niliompendaga saana
Ntampata wapi kama yule
Nae anipende sana
Ntampata wapi kama yule
Niliompendaga saana
Ntampata wapi kama yule
Nae anipende sana

Aii, aii nyotaa ahh
Nyota ndo tatizo langu
Aii nyota ahh
Hadi nalia pekee yangu
Aii nyota ahh
Nyota ndio shida yangu
Nyota ahh
Wamenizidi wenzangu

Alidanganywa na wale (walee)
Wenye pesa nyumba gaari (gaari)
Mi kapuku hakunijali (jaali)
Akanimbiaa
Alidanganywa na wale (walee)
Wa mapesa nyumba gaari (gaari)
Mi mnyonge hakunijali (jaali)
Akanikimbiaa

Alionifanya silali, jua kali
Nitafute tukale
Lakini hata hakujali darling
Akatekwa na walee
Alionifanya silali, jua kali
Nitafute tukale
Ila wala hakujali
Darling, ah...

Ntampata wapi kama yule
Niliompendaga saana
Ntampata wapi kama yule
Nae anipende sana
Ntampata wapi kama yule
Niliompendaga saana
Ntampata wapi kama yule
Nae anipende sana

Bado ananijia ndotoni (baado)
Kila nikiamka simwoni (baado)
Bado anjia nikilalaa
Haki ya mungu sio masialaa
Bado ananijia ndotoni (baado)
Kila nikiamka simwoni (baado)
Bado anjia nikilalaa
Haki ya mungu sio masialaa

Yo touch clever (baado)
Hii ni sauti ya raisi
Iliomshindaga ibilisi
Kwa mwanadamu sio rahisi
Kamwambie
Lazima ujue kutofautisha
Kati ya msalaba na jumlisha
Kuna x ya kuzidisha
Ni cheche (cheche...)

Bado ananijia nkilalaa
Haki ya mungu sio masialaa


Thanks to tite for adding these lyrics.
Writer(s): Diamond Platnumz
You May Also Like
Meddy - "Adi Top" Adi Top ah yeah On the floor aho To the left ah yeah To the right aho You're the baddest Everything you dey do me You drive me crazy You’re so perfect Let me tell you something Baby flex Baby dance...
Ayra Starr - "Bad Vibes" No dey throw bad vibes Where the money dey, that is where I'm at Anyhow e be, I dey play my part Igi gogoro, ma gun mi l'oju, mi o fọ (Mystro Sugar) I let the water touch my mink Can't let these...
Harmonize - "Leo" Yeah Mmmmafiaa Bomboclaaaat Eeey Nakumbuka first time when I saw you baby, I been looking to your eyes Hips don't lie Age flani imekwenda kidogo Ila sio sana umri flani mshangazi yeah I just wanna...
Fally Ipupa - "Maria PM" Mokili ekoti matata dit Eric Mandala le docteur des ignorants et Maria Piron Wo wo wo wo wo wo wo wo Maria Piron, maman na Erika, Alvina et Nazeria Mandala Sirène ya police ekumbaka na prison Ya...
Ruger - "Snapchat" (Oh yeah yeah Oh my love Oh oouuu ouuu Oh my love Oh my love Yeah yeah yeah) Ah ah ah Girly you know me wan tap that Olayemi shoripe o gara oo Easy text me pon Snapchat Sexy snaps me heart beating...