"Ntampata Wapi" lyrics
"Ntampata Wapi"
Sura yake mtaratibu
Mwenye macho ya aibu
Kumsahau najaribuu
Ila namkumbuka sanaa
Umbo lake mahbibu
Kwenye maradhi alionitibu
Siri yangu ukaribuu
Bado namumbuka sanaa
Alionifanya silali, jua kali
Nitafute tukale
Lakini hata hakujali darling
Akatekwa na walee
Alionifanya silali, jua kali
Nitafute tukale
Ila wala hakujali
Darling, ah...
Ntampata wapi kama yule
Niliompendaga saana
Ntampata wapi kama yule
Nae anipende sana
Ntampata wapi kama yule
Niliompendaga saana
Ntampata wapi kama yule
Nae anipende sana
Aii, aii nyotaa ahh
Nyota ndo tatizo langu
Aii nyota ahh
Hadi nalia pekee yangu
Aii nyota ahh
Nyota ndio shida yangu
Nyota ahh
Wamenizidi wenzangu
Alidanganywa na wale (walee)
Wenye pesa nyumba gaari (gaari)
Mi kapuku hakunijali (jaali)
Akanimbiaa
Alidanganywa na wale (walee)
Wa mapesa nyumba gaari (gaari)
Mi mnyonge hakunijali (jaali)
Akanikimbiaa
Alionifanya silali, jua kali
Nitafute tukale
Lakini hata hakujali darling
Akatekwa na walee
Alionifanya silali, jua kali
Nitafute tukale
Ila wala hakujali
Darling, ah...
Ntampata wapi kama yule
Niliompendaga saana
Ntampata wapi kama yule
Nae anipende sana
Ntampata wapi kama yule
Niliompendaga saana
Ntampata wapi kama yule
Nae anipende sana
Bado ananijia ndotoni (baado)
Kila nikiamka simwoni (baado)
Bado anjia nikilalaa
Haki ya mungu sio masialaa
Bado ananijia ndotoni (baado)
Kila nikiamka simwoni (baado)
Bado anjia nikilalaa
Haki ya mungu sio masialaa
Yo touch clever (baado)
Hii ni sauti ya raisi
Iliomshindaga ibilisi
Kwa mwanadamu sio rahisi
Kamwambie
Lazima ujue kutofautisha
Kati ya msalaba na jumlisha
Kuna x ya kuzidisha
Ni cheche (cheche...)
Bado ananijia nkilalaa
Haki ya mungu sio masialaa
Thanks to tite for adding these lyrics.
Writer(s): Diamond Platnumz
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
You May Also Like
Meddy - "Adi Top" Adi Top ah yeah
On the floor aho
To the left ah yeah
To the right aho
You're the baddest
Everything you dey do me
You drive me crazy
You’re so perfect
Let me tell you something
Baby flex
Baby dance...
Ayra Starr - "Bad Vibes" No dey throw bad vibes
Where the money dey, that is where I'm at
Anyhow e be, I dey play my part
Igi gogoro, ma gun mi l'oju, mi o fọ (Mystro Sugar)
I let the water touch my mink
Can't let these...
Harmonize - "Leo" Yeah
Mmmmafiaa
Bomboclaaaat
Eeey
Nakumbuka first time when I saw you baby, I been looking to your eyes
Hips don't lie
Age flani imekwenda kidogo
Ila sio sana umri flani mshangazi yeah
I just wanna...
Fally Ipupa - "Maria PM" Mokili ekoti matata dit
Eric Mandala le docteur des ignorants et Maria Piron
Wo wo wo wo wo wo wo wo
Maria Piron, maman na Erika, Alvina et Nazeria Mandala
Sirène ya police ekumbaka na prison
Ya...
Ruger - "Snapchat" (Oh yeah yeah
Oh my love
Oh oouuu ouuu
Oh my love
Oh my love
Yeah yeah yeah)
Ah ah ah
Girly you know me wan tap that
Olayemi shoripe o gara oo
Easy text me pon Snapchat
Sexy snaps me heart beating...