"Samia Suluhu" lyrics
"Samia Suluhu"
Tanzania ya mama Samia inang'ara ng'ara
(Tanzania ya mama Samia inang'ara ng'ara)
Tanzania ya Suluhu Hassan mama yameremeta
(Tanzania ya mama Samia inang'ara ng'ara)
Mungu ana mama (mama eeh mama)
Oh Rais wetu jamani (mama eeh mama)
Amri jeshi kuu (mama eeh mama)
Anapendwa na wengi (mama eeh mama)
Ameimarisha urafiki kimataifa
Wawekezaji sa nchini kote wanafika
Demokrasi, siasa ya kuridhisha
Biashara ona zinauzika
Si nampenda aki (Samia)
Uone vua taki (Samia)
Misoko elimu kaweka safi (Samia)
Mashule kwa zahanati (Samia)
Kapinga zile kodi zote ziso halali
Vina uhuru sasa vyombo vya habari
Zote kesi za uonevu kafutilia mbali
Kapunguza fine za bodaboda
Sasa mambo shwari
Tanzania ya mama Samia inang'ara ng'ara
(Tanzania ya mama Samia inang'ara ng'ara)
Tanzania ya Suluhu Hassan mama inafuraha
(Tanzania ya mama Samia inang'ara ng'ara)
Mungu ana mama (mama eeh mama)
Oh Rais wetu jamani (mama eeh mama)
Jemedari wetu (mama eeh mama)
Mtetezi wa wanyonge (mama eeh mama)
Iyena iyena, iyena iyena
Iyena iyena Rais Samia nambari one
Iyena iyena, iyena iyena
Iyena iyena Rais Samia nambari one
Ooh iyena iyena, iyena iyena
Iyena iyee Suluhu Hassan namba moja
Iyena iyena, iyena iyena
Iyena iyena Rais Samia nambari one
Mungu ana mama (mama eeh mama)
Oh Rais wetu jamani (mama eeh mama)
Eh mwanamke wa shoka (mama eeh mama)
Oh mchapa kazi (mama eeh mama)
Amechukua ameweka wah (eh vitu vya afya)
Amechukua ameweka wah (flyover ndege mpya)
Amechukua ameweka wah (barabara vijijini)
Amechukua ameweka wah
Shangwe na vigelegele na vigelegele na vigelegele
Shangwe na vigelegele na vigelegele na vigelegele
Tanzania na isonge mbele na isonge mbele na isonge mbele
Tanzania na isonge mbele na isonge mbele na isonge mbele
Shangwe na vigelegele na vigelegele na vigelegele
Shangwe na vigelegele na vigelegele na vigelegele
Tanzania na isonge mbele na isonge mbele na isonge sana
Tanzania na isonge mbele na isonge mbele na isonge mbele
Na kazi iendelee, kazi iendelee (twende pamoja, pamoja)
Na kazi iendelee, kazi iendelee (wakulima, madakitari na machinga)
Na kazi iendelee, kazi iendelee (maboda boda, waalimu oh)
(Platnumz)
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
You May Also Like
Olakira - "Call On Me" Make you no send
Nobody
You fine like that
All them haters
Wanna stop our shine
But me and you forever we go be
We meant to be
And I like it like that
My girl
Ajo malo gbayi pe
Ko si wahala
Hakuna...
Sidhu Moose Wala - "SYL" Punjab ke andar hamari sarkar aa gayi hai
2024 me Haryana ke andar hamari sarkar aa rahi hai
2025 me Haryana ke har khet ke dole pe paani pahochege
Ye hamara vaayda nahi hai, guarantee hai (SYL)
Ayy!...
KiDi - "Mon Bebe" Hmmm
Sugar Daddy
Girls girls wanna have fun
Throw that ass back machine gun
Oh she's in action
Her melanin shining like the sun
Did you know that you're beautiful
Hmm ah mon bebe mon bebe
I will...
2Baba - "Gaga Shuffle" Eh eh eh, ehn ehn
Hmn hmnn, na so, hmn hmnn
Ehn ehnn, ehn ehnn
As I want craze, (hmn hmnn)
I want involve you for my fuckin' craze
Ehn ehnn, hmn hmnn, na so (eh eh eh)
As I want craze, ehn ehnn
I...
Fireboy DML - "Diana" Oh yeah ah, oh yeah ah
Oh yeah ah, oh yeah ah
Don't you leave, Diana
Oh yeah ah, oh yeah ah
Oh yeah ah, oh yeah ah
Phantom
Ou mami don't leave me go Dubai
You're the one I want
Can't do this on my...