"Sikomi" lyrics
"Sikomi"
Wanasemaga mapenzi safari
Unavyopita ndo jinsi unajongea
Ila niendako ni mbali sijui ka ntafika sababu natembea
Niliposikiaga habari
Yakisifika nikakesha nangojea
Akabariki jalali na nikawika muziki nikauotea
Ile pruuu mpaka macca
Nikadandiaga bongo movie
Kumbe mapenzi hayataki haraka
Ni kama tango natia tu chumyi
Mwenzenu nikaoza haswa
Na kujitia kitandani mjuzi
Eti nataka fukuza paka
Badala ya mbwa nikafuga mbuzi, hhhmmm
Wivu ukanifanya nikagombana na marafiki
Ugomvi na mamangu akiniambia siambiliki
Moyo ukanambia nasibu sasa mapenzi basi
Ila nang'ang'ania najaribu kuipinga nafsi
Esma ananiambia mdogo wangu mapenzi basi
Ila nang'ang'ania
Nikiumizwa na huyu kesho nna mwingine
Ooh mbona sikomi
Sikomi
Sikomi
Licha ya mateso haya
Najiuliza (oh sikomi)
Oh sikomi mbona (sikomi)
Mbona jamani
Sikomi
Licha ya mateso haya, hhhmmm
Aliyonifanyia wa central
Haki ya mungu siyawezi sema
Ila nimejifunza kesho nisiwaamini wacheza sinema
Moyo walinipatia mateso
Siwezi kumeza siwezi tema
Ndio maana sikushanga ile ghafla
Toka ccm kwenda chadema
Wanasema kitanda ukitandika sharti ukilalie
Nikajitia ukamanda yatakwisha
Wacha nivumilie
Kila kiza kikitanda
Ndo visa machozi me nilie
Penzi yakatia parapanda
Kuwaita waje washambulie
Acha na penny we darling
Nilio muhongaga gari
Aliponambia ana mimba
Mwisho wa siku akaichomoa chali
Mola akanitunuku zari
Akanzalia dume na mwali
Niliyvo mjinga nikacheat aibu mpaka
Kwa vyombo vya habari
Moyo unanambia nasibu sasa mapenzi basi
Ila nang'ang'ania najaribu kuipinga nafsi
Lizer ananiambia simba mapenzi basi
Ila nang'ang'ania
Nikiumizwa na huyu kesho nna mwingine
Ooh mbona sikomi (mbona)
Sikomi (mbona jamani)
Sikomi
Licha ya mateso haya
Eh nishafumania (oh sikomi)
Nikafumaniwa mimi (sikomi)
Nishagombana na watu (sikomi)
Licha ya mateso haya (mateso haya)
Thanks to O'Brien Mhina for adding these lyrics.
Writer(s): Inconnu Compositeur Auteur, Solly Cohen
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
You May Also Like
O.T. Genasis & D-Black - "Ajei" Ajei aaah
Awo
Aaah
Ajei aaah
Dandan wo ho
Aaah
Ajei aaah
Awo
Come dance some
Aaah
Ajei aaah
Awo
Wi Wi Willis beats
Hands up for the club banger
This one dier na sure banker
Now we de come tear...
Harmonize & Rich Mavoko - "Show Me" Ayooo Lizer
Wasafi Records
Aah mwenzako I feel so Good kipindi nikikuona
Au Huo Mwendo Unafanya kusudi na Ulivyoshona
Wakati Unakwenda au unarudi wakata Kona
Nyuma Ka Katuni za Masudi Ulivyonona...
Simi - "Jericho" I'll lay you down like an edge controller
I wanna love you all over
Wanna be the gun to your soldier
Show you I'm loyal eh eh
Wanna hold you tight like a folder
You are the beauty, I'm the beholder...
Nyashinski - "Hayawani" Kabla Suala ukamilishe Mama
Tafadhali Mola mwambie
Milele anichunge mi nisije zama
Mashetani yasinivamie
Chuki, wivu tunakutesa
Linda kwako usiwaskie
Kwa nini hatuwezi sote kupenda
Oii wenzangu acha...
Fally Ipupa - "Sexy Dance" He ! Sexy Dance
Dj Virus He !
To stafaka na bongo ya moto te na bongo na bisso
Je vais pas blaguer
Je vais pas blaguer
Eh Dj monte le son ça va chauffer !
Ça va chauffer ça va chauffer
Fally Ipupa,...