"Utanipenda" lyrics
"Utanipenda"
Tanta lala laaa
Ooh la la la la laaaa
Mmmmh
Ooh Ghafla visenti sina nimerudi Tandale
Nimeshindwa kulipa BIMA nimeuza Madale
Radio nyimbo wamezima Tv ndio hataree
Umeneja umebaki jina
Hanitaki hata Tale
Oooh wale shabiki zangu
Walionisifu kwa maneno matamu
Leo maadui zangu
Ni mitusi tu kwa instagram
Kimwanaa si dada angu
Eti nae hanifahamu
Hata Harmonize nikimpigia
Ananifokea kama Sallam
Na magazeti ya nyumbani kwa kukuza habari si unajuagaa
Utasikia Tafalani eti Mondi kwa Zari amemwagwa
Navyo nilivyo mnyonge tabia ya kuwajibu sinagaa
Kama naiona michambo ya madem wa zamani nlio wapitiaga
Ooh nayosema yana maana
Sababu hakuna anaejua kesho
Anaepanga ni Rabana
Ila ameificha ni confidential
Ukisali omba sanaa
Mumeo nisije kuwa kichekesho
Maana rafiki wa jana
Aaah
Ndio adui mkubwa wa kesho
La la la la la laaaaa
Au je utanipenda gaa?
La la la la laaa
Au nawe utanimwagaa?
La la la la laaaa
Ati utanipenda gaa ooh
Ooooh
Ooooooooh..
Bado naiwaza sana
Zile tunzo mashauzi airport
Je itapofika tamati
Utadiriki hata japo kunipost
Pindi show zimekwamaa
Na nikipata sijahis ni mikosi
Oooh jahazi limezama
Mola ninusulu baba
Kama namuona mwanangu
Roho yangu
Tiffa Dangote
Anakwenda na mamaangu
Kwa Jakaya Kikwete wanafukuzwa watoke
Usilie Sandra wangu
Mboni yangu
Jikaze usichoke
Huenda kesho zamu yangu
Nitavuma tena mambo yanyooke
Eeeey
Na magazeti ya nyumbani
Kwa kukuza habari si unajuagaa
Utasikia tafalani eti Mondi kwa Zari amemwaga
Oh yeh yeh yeh
Navyo nilivyo mnyonge
Tabia ya kuwajibu sinaga
Kama naiona michambo ya madem wa zamani
Yani he he heeeeee
La la la la laaaaaa (eeeh)
(Ola lala la laaaalaa)
La la la la laaa
(Ooh ola la la laaaa)
La la la la la alaaaa
Eeeh
Ola la la lilaa ooh
I say...
Kama namuona mwanangu
Roho yangu
Tiffa dangote
Ana kwenda na mama angu
Kwa mkubwa Fella anafukuzwa watoke
Usilie sandra wangu
Mboni yangu
Jikaze usichoke
Huenda kesho zamu yangu
Nitavuma tena
Mambo yanyooke (he he heee)
Eiiii
Ola lala lilaa
Oooh baby
Tudd Thomas
Oooooh
Nayosema yana maana
Sababu hakuna anaejua kesho
Anaepanga ni Rabana
Ila ameificha ni confidential
Ukisali omba sana
Mumeo nisije kuwa kichekesho
Maana rafiki wa jana
Ndio adui mkubwa wa kesho
WASAFI!
Writer(s): Diamond Platnumz
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
You May Also Like
P-Square - "Shekini" P-Square eh eh
Yahn ahn
(Alen )
Yahn ahn
Lets go
Otu de oya sare wa gba kekere kerewawo
Atu ti de oya burukutu make e sarabara owey
(Oya shekini ni ni ni ni )
Oya shekina na na na na
Ehn ehn
I...
Abigail Chams & Harmonize - "Me Too" Zara Boy pass me the weed, I'm about to say some real shit nigga
Bomboclaat
I just wanna sing for my baby
Abigail Chams again
I was tired of "Baby do this for me"
Then you came said, "Baby do this...
Fally Ipupa - "Juste Une Danse" El Mara !
Elle est là, elle est là
Dis-moi ma belle
Dis-moi ma belle si tu es bien réelle (réelle)
Jusqu'à présent faut dire qu'tu manquais à l'appel
Désormais j'ai juré, je t'ai bien repéré
Pardon...
DaVido - "FEEL" I be on the phone
Calling you tonight
I wan make you show me
Make we no dey fight
I no wan sleep alone
Wanna hold you tight
Water full my eyes
But I'll be alright
Forever
O ma latan (Aya)
O ma gba,...
Ruger - "Bounce" Ahn
She wants a gangster in her bed tonight
She ah wants me, me I know
And man ah, I full ground me I dey tonight
She ah callin' my phone
She say "why me so unruly?"
Tell me the main reason you wan...