"Utanipenda" lyrics

"Utanipenda"

Tanta lala laaa
Ooh la la la la laaaa
Mmmmh

Ooh Ghafla visenti sina nimerudi Tandale
Nimeshindwa kulipa BIMA nimeuza Madale
Radio nyimbo wamezima Tv ndio hataree
Umeneja umebaki jina
Hanitaki hata Tale
Oooh wale shabiki zangu
Walionisifu kwa maneno matamu
Leo maadui zangu
Ni mitusi tu kwa instagram
Kimwanaa si dada angu
Eti nae hanifahamu
Hata Harmonize nikimpigia
Ananifokea kama Sallam

Na magazeti ya nyumbani kwa kukuza habari si unajuagaa
Utasikia Tafalani eti Mondi kwa Zari amemwagwa
Navyo nilivyo mnyonge tabia ya kuwajibu sinagaa
Kama naiona michambo ya madem wa zamani nlio wapitiaga

Ooh nayosema yana maana
Sababu hakuna anaejua kesho
Anaepanga ni Rabana
Ila ameificha ni confidential
Ukisali omba sanaa
Mumeo nisije kuwa kichekesho
Maana rafiki wa jana
Aaah
Ndio adui mkubwa wa kesho

La la la la la laaaaa
Au je utanipenda gaa?
La la la la laaa
Au nawe utanimwagaa?
La la la la laaaa
Ati utanipenda gaa ooh
Ooooh

Ooooooooh..
Bado naiwaza sana
Zile tunzo mashauzi airport
Je itapofika tamati
Utadiriki hata japo kunipost
Pindi show zimekwamaa
Na nikipata sijahis ni mikosi
Oooh jahazi limezama
Mola ninusulu baba
Kama namuona mwanangu
Roho yangu
Tiffa Dangote
Anakwenda na mamaangu
Kwa Jakaya Kikwete wanafukuzwa watoke
Usilie Sandra wangu
Mboni yangu
Jikaze usichoke
Huenda kesho zamu yangu
Nitavuma tena mambo yanyooke

Eeeey
Na magazeti ya nyumbani
Kwa kukuza habari si unajuagaa
Utasikia tafalani eti Mondi kwa Zari amemwaga
Oh yeh yeh yeh
Navyo nilivyo mnyonge
Tabia ya kuwajibu sinaga
Kama naiona michambo ya madem wa zamani
Yani he he heeeeee

La la la la laaaaaa (eeeh)
(Ola lala la laaaalaa)
La la la la laaa
(Ooh ola la la laaaa)
La la la la la alaaaa
Eeeh
Ola la la lilaa ooh
I say...

Kama namuona mwanangu
Roho yangu
Tiffa dangote
Ana kwenda na mama angu
Kwa mkubwa Fella anafukuzwa watoke
Usilie sandra wangu
Mboni yangu
Jikaze usichoke
Huenda kesho zamu yangu
Nitavuma tena
Mambo yanyooke (he he heee)

Eiiii
Ola lala lilaa
Oooh baby
Tudd Thomas

Oooooh
Nayosema yana maana
Sababu hakuna anaejua kesho
Anaepanga ni Rabana
Ila ameificha ni confidential
Ukisali omba sana
Mumeo nisije kuwa kichekesho
Maana rafiki wa jana
Ndio adui mkubwa wa kesho

WASAFI!


Writer(s): Diamond Platnumz
You May Also Like
P-Square - "Shekini" P-Square eh eh Yahn ahn (Alen ) Yahn ahn Lets go Otu de oya sare wa gba kekere kerewawo Atu ti de oya burukutu make e sarabara owey (Oya shekini ni ni ni ni ) Oya shekina na na na na Ehn ehn I...
Abigail Chams & Harmonize - "Me Too" Zara Boy pass me the weed, I'm about to say some real shit nigga Bomboclaat I just wanna sing for my baby Abigail Chams again I was tired of "Baby do this for me" Then you came said, "Baby do this...
Fally Ipupa - "Juste Une Danse" El Mara ! Elle est là, elle est là Dis-moi ma belle Dis-moi ma belle si tu es bien réelle (réelle) Jusqu'à présent faut dire qu'tu manquais à l'appel Désormais j'ai juré, je t'ai bien repéré Pardon...
DaVido - "FEEL" I be on the phone Calling you tonight I wan make you show me Make we no dey fight I no wan sleep alone Wanna hold you tight Water full my eyes But I'll be alright Forever O ma latan (Aya) O ma gba,...
Ruger - "Bounce" Ahn She wants a gangster in her bed tonight She ah wants me, me I know And man ah, I full ground me I dey tonight She ah callin' my phone She say "why me so unruly?" Tell me the main reason you wan...