"Zilipendwa" lyrics

Diamond Platnumz, Rayvanny, Rich Mavoko, Harmonize, Queen Darleen, Lava Lava & Mbosso Lyrics

"Zilipendwa"

[Diamond Platnumz:]
Oooh hizo ni zama za kale
Oooh Sangulo na pepe kale
Zilipendwa

[Rayvanny:]
Eh! Kizamani,kutoa card na maua (zilipendwa)
Wanataka money ukilipa unakwarua (zilipendwa)
Ufundi kitandani,sio maguvu kujikwamua (zilipendwa)
Unafika ndani,hujatomasa unachanua (zilipendwa)
Wanawake wa leo wanataka mikakati
Ukiwa mzugaji haki ya mungu huwapati (zilipendwa)
Mapenzi ya video yatakutoa kamasi
Eti nikinywa maji nakuona kwenye glass (zilipendwa)
Eeh! kupiga chabo getto (zilipendwa)
Mkono na dettol (zilipendwa)
Sunche na kapeto (zilipendwa)
Majay na Mobeto (zilipendwa)

[Diamond Platnumz:]
Oooh! Hizo ni zama za kale
Oooh! Sangulo na Pepe kale
Mmm boringo ndombolo (zilipendwa)
Twanga chipolopolo (zilipendwa)
Na maji ya kandoro (zilipendwa)
Simba wa Morogoro (zilipendwa)

[Rich Mavoko:]
Mtaani sipati sukari guru kabisa (zilipendwa)
Hivi yuko wapi Mb Dogg wa Latiffa (zilipendwa)
Babu Tale wapi papa misifa (zilipendwa)
Siku hizi party hatuendagi Ibiza (zilipendwa)
Mpira na Pele (zilipendwa)
Tanu na Nyerere (zilipendwa)
Asha Ngedere (zilipendwa)
Harusi mabele (zilipendwa)
Eeeti Uuze nyumba uweke heshima bar
Eeeti Ulazimishe aliyekukataa
Sabuni Kicherema (zilipendwa)
Mabanda ya Cinema (zilipendwa)
Lipumba na Mrema (zilipendwa)
Diamond na Wema (zilipendwa)

[Diamond Platnumz:]
Ooooh hizo ni zama za kale (zama za zamani)
Ooooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
Mmm Aggy na sogi dogg (zilipendwa)
Chanel analog (zilipendwa)
Movie za saibog (zilipendwa)
Van Damme Arnold (zilipendwa)

[Queen Darleen:]
Una nibeep nikupigie umeiweka vocha (haloo)
Ule wewe nilipe mie umeniona Loffa
Teena na madada wenye majina acheni visa
Unaitwa ukale dinner mnakwenda Tisa
Nywele za kichina (zilipendwa)
Pochi za kuazima (zilipendwa)
Zena na betina (zilipendwa)
Bashite gwajima (zilipendwa)

[Diamond Platnumz:]
Ooh hizo ni zama za kale (zama za zamani)
Ooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
Mmm Amitabh Bachchan (zilipendwa)
Tv kwa jirani (zilipendwa)
Madee Rayvany (zilipendwa)
Zai Ivan (zilipendwa)

[Harmonize:]
Yanini kunichunguza naishi wapi (zilipendwa)
Nala,chapati kwa maini au makapi (zilipendwa)
Kutwa kunikalia chini unda kamati
Oh ya Rabi masikini kuni dhihaki
Ah Samba Mapangala (zilipendwa)
P Funk Kajala (zilipendwa)
Onyango na Jangala (zilipendwa)
Rufufu mkandala (zilipendwa)
Vya nini vidomo domo tutupiane tunguli
Kisa pesa za mkopo msimu wa Magufuli
Ah, Bongoman yondo (zilipendwa)
Sikinde Msondo (zilipendwa)
Magari ya Udongo (zilipendwa)
Babu wa Loliondo (zilipendwa)

[Diamond Platnumz:]
Ooooh hizo ni zama za kale (zilivumaga sana)
Ooooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
Ah Tv za kichogo (zilipendwa)
Wakina Man Dojo (zilipendwa)
Aggy na Iyobo (zilipendwa)
Akina Hatupogo (zilipendwa)

[Mbosso:]
Eti msiba ukiona Bundi unataka kupagawa
Tulale makundi makundi kuogopa popo bawa
Zuwena nitampata wapi (zilipendwa)
Zuwena wa zile nyakati eh (zilipendwa)
Kujifanya mapanga sunna eti wamepinda
Wengine wabeba vyuma na hakuna marinda
Iddi Amini dada (zilipendwa)
Miuno ya H Baba (zilipendwa)
Domo Chai Jabba (zilipendwa)
Michezo ya kibaba baba (zilipendwa)

[Lava Lava:]
Wale wapiga madeal sasa hali mbaya (zilipendwa)
Hizi zama za Magufuli si za Jakaya (zilipendwa)
Ugomvi wa Mr.Nice na Dudu Baya (zilipendwa)
Vikatuni vya madenge baba ubaya (zilipendwa)
Muhogo mchungu Mr. Bean, wapi bambo (zilipendwa)
Wale wazamiaji wale wa melini wazee wa ng'ambo
Hivi yuko wapi Banjamini wa Mambo Jambo
Wa Vietnam waporini vita na Rambo
Eh ndanda Mjela jela (zilipendwa)
Kidali Kombolela (zilipendwa)
Max na Zembwela (zilipendwa)
Juma Nature na fela (zilipendwa)

[Diamond Platnumz:]
Ooooh hizo ni zama za kale (zama za zamani)
Ooooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
Mmm kamanda Daz Nunda (zilipendwa)
Kalumanzila Ndumba (zilipendwa)
Simu za Dole gumba (zilipendwa)
Johari na Kanumba (zilipendwa)

[Rayvanny:]
Wasafiiiii!

[Diamond Platnumz:]
Zilipendwa, zilipendwa
Zilipendwa, zilipendwa

[Harmonize:]
Ohleelileeee lelelilee
Zilipendwa


Writer(s): Inconnu Compositeur Auteur, Solly Cohen
You May Also Like
Mafikizolo - "Ndihamba Nawe" We bhuti we bhuti We bhuti mina ndihamba nawe We bhuti we bhuti We bhuti mina ndihamba nawe Ngithanda na le way Unguyo ngakhona Webhuti mina ndihamba nawe Ngithanda na le way Ucula ngakhona Webhuti...
Banky W. - "Heaven (Susu's Song)" 1 2 3 4, k K, yeah Just gonna let the chords play Let's go You asked a question and I, ain't gonna lie But, I wasn't ready still you took me by surprise You wanna know if I will, ever leave your...
Meddy - "Slowly" Do you believe in love? How crazy it could be Baby baby stop Hmm, take it easy When you leave I swear I can't breathe Do you really care? Baby Niba unkunda Nkomeza You're my fantasy My only desire...
DaVido - "Assurance" Chei SperoacH beat Put a bang bang Biggie biggie Heavy heavy Baby do you want me? Haba Biggie biggie Heavy heavy (oh) Baby do you want me? Haba You’re the one I want oh Before my liver start to...
Simi - "Duduke" First let me say to you I can not wait to see you You are the treasure I've been waiting for Do you know, do you know How much I really need you I dey pray for the day when I can finally kiss you...