"Zuwena" lyrics
"Zuwena"
Mhhh!! Habari gani kaka naamini unanisikia
Mimi mzima wa afya, mama Mungu anasaidia
Toka ulipotuacha mahututi anazidiwa
Bibi presha presha nae akatangulia
Bado twakuombea ulale salama pema
Japo moyoni nina dukuduku
Natamani kusema, nisemeee
Zile mali husia ulizotuhusia tuligawa salama
Zuwena zote tukampatia tusiwe ndugu lawama
Ila Zuwena kaka amebadilika sana
Yaani shem lake Bi Zuuh wa leo sio yule wa jana
Natamani ungemuona (Zuwena)
Japo ungemuona (Zuwena)
Kidogo tu ungemuona (Zuwena)
Ungemuona (Zuwena)
Ooooh ungemuona (Zuwena)
Aaaah Zuwena (Zuwena)
Ooooh ungemuona Zuwena (Zuwena)
Zuwena oooh (Zuwena)
Mhhh! Zuwena sasa kawa chotara
Sio tena cheusi mangala
Ngozi kaichubua awe muzungu
Anavuta na sigara
Mara Boko, Mwananyamala
Anachezesha tu miamala
Kutwa anaisugua kipepe rungu tena peku bila ndala
Aaah Zuwena siku hizi anabandika kope (Zuwena)
Zuwena mipasuo kama yote (Zuwena)
Ooh Zuwena lipa shika tuondoke (Zuwena)
Aah Zuwena wanamuita cha wote, oh!, oh!
Juzi kabebwa na majirani hata hajitambui (Zuwena)
Yaani kalewa tafarani kautwika mbwi (Zuwena)
Zuwena sio tena wa ibada na dini
Sadaka chenji asaidie
Siku hizi kageuka pedeshee wa mjini
Kutunza bendi wamsifie
Na lile gari lako urithi wa babu la kulishia ng'ombe
Siku hizi kama kwato kwenye vilabu linabebea pombe
Mama Dede kitandani hawezi hata kutembea
Zuwena ameshindwa hata kuja kumuona panadol kumletea
Natamani ungemuona (Zuwena)
Japo ungemuona (Zuwena)
Kidogo tu ungemuona (Zuwena)
Ungemuona (Zuwena)
Ooooh ungemuona (Zuwena)
Aaaah Zuwena (Zuwena)
Ooooh ungemuona Zuwena (Zuwena)
Zuwena (Zuwena)
Siku hizi kataradadi
Anadanga anakula ndizi kwa maganda
Anajiita J-Lo
Anadanga anakula ndizi kwa maganda
Eti mzungu mweusi
Anadanga anakula ndizi kwa maganda
Anatunyoosha baba
Anadanga anakula ndizi kwa maganda
Writer(s): Siraju Amani, Nasibu Issaack
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
You May Also Like
Yemi Alade - "Pounds & Dollars" Oh no no
Ah
Oh no no
Kizzu
Pounds, dollar, pounds
Uhn
Pounds, dollar, pounds
Hey
Suffer everyday
And I dey pray to baba make e bless my way
Bless my way
Cause I don see so many things
So many...
Kizz Daniel - "Buga (Lo Lo Lo)" Hey!
Don't Sleep
Don't Sleep
Wake up
Collect your money
Collect your money
Wake up, eh!
Collect your money
Collect your money
Wake up
Giddem
Gbe'ra, gbe'ra
Gbe'ra go get that mullah (wake up)
Mo ni...
Harmonize - "Wote" Oh oh oh oh oh oh...
B boy
Mwenzako zikianza story za mapenzi
Mfano wakwanza Ni wewe
Hadi marafiki zangu wananicheka
Naukumbuka ushenzi tulofanyaga
Mi nawe mwenzako mi nakuonea vibwenga
Hata...
Driks - "Baraude À Paname" Yeah yah, yeah yah
Yeah yeah yeah yah
J'vois que tu me regarde avec des yeux qui brillent
Est-ce que tu sait ce que j'ai fait dans ma vie?
La rue c'est dur c'est presque Medeline
Une chose à faire,...
Avvy Sra & Karan Aujla - "White Brown Black" Yo Yo Yo
Karan Aujla!
Avvy!
You Already Know Baby!
HaHaHa
Ho Shoe Versace Jatta De Kake
Kanni Waaliyan Ni
Ho Babbar Sher Ae Full Diler Ae
7 Denaliyan Ni
Ho Shoe Versace Jatta De Kake
Kanni...