"Mkuu Wa Majeshi" lyrics

Young Lunya & Harmonize Lyrics

"Mkuu Wa Majeshi"

Haina cha ucheshi hatuchekeshi
Shori anapumulia gesi
I'm not a killer but I'm killing this shit
Ukipatwa na uchungu kanifungulie kesi
Ninaunguza I'm hot she's cold
Na ndio maana mara ya kwanza alijichukulia keki
Mi naichapa kikamanda yeye na wenzake wananiita mkuu wa majeshi
Wananiita mkuu wa majeshi
Wananiita mkuu wa majeshi
Wananiita mkuu wa majeshi
Yeye na wenzake wananiita mjeshi
Wananiita mkuu wa majeshi
Wananiita mkuu wa majeshi
Wananiita mkuu wa majeshi
Yeye na wenzake wananiita mjeshi

Man I feel like mkuu wa majeshi nyota ni nyingi kama nimepitia depo
Wamenipa aka ya bendera ni kwakua naondoka na upepo
I can't speak much Spanish "quiero mi dinero" my nigga I want my pesos
We don hang with the stupid ass one inabidi uwe level za kina madam seko

Na wakisema ni mbaya ni mbaya
Moyo wangu bongo ila unyama ni ulaya
Ndio maana chupi zinapiga makasia
Ni kwakua kwenye parties nawapelekea fire

Sina ubaya mkinipenda nawapenda
Kwenye kidani almasi zinacheza
Kanavyonipa never seen it like this
Ila kosa ni la chungwa kulimenya kama chenza

Speaking the truth coming out of my chest
This is why I'm doing nobody does
Rappers wakali wamebaki wawili ni mimi na mimi the last of us
Hata nikikaa kimya hamfanyi chochote, Jesus can save you siwapi nafasi
Nakinukisha S.O.S what u gon do 911? Bitch

Haina cha ucheshi hatuchekeshi
Shori anapumulia gesi
I'm not a killer but I'm killing this shit
Ukipatwa na uchungu kanifungulie kesi
Ninaunguza I'm hot she's cold
Na ndio maana mara ya kwanza alijichukulia keki
Mi naichapa kikamanda yeye na wenzake wananiita mkuu wa majeshi

Wananiita mkuu wa majeshi
Wananiita mkuu wa majeshi
Wananiita mkuu wa majeshi
Yeye na wenzake wananiita mjeshi
Wananiita mkuu wa majeshi
Wananiita mkuu wa majeshi
Wananiita mkuu wa majeshi
Yeye na wenzake wananiita mjeshi

Wananiita mkuu wa majeshi
Siongei sana men I'm talking with the cash
Oya kwenye camera mi mcheshi, beach sijamaliza bado kama sikunyeshi

We started from the ghetto now we here (mh)
With my whole team now we here (yes)
How we made it here! No retreat no surrender no fear

Konde boy Jacob Mkunda
Ukiniona kama umeviona vibunda
Pisi ya kwako ukinifuma nakudunda
Vua nivue tuoneshane nani punda

Speaking from my heart aisee
Konde sio level zao I swear
It's funny how I'm getting older na sijategemea
Omari papy cocha naenda kama babu seya

Imma head of my dreams, die for my team
Nafanya watoto wana scream, since I was a teen
Hakuna wakunishusha hapa juu no no no no! No no!
Keep praying for my downfall

Haina cha ucheshi hatuchekeshi
Shori anapumulia gesi
I'm not a killer but I'm killing this shit
Ukipatwa na uchungu kanifungulie kesi
Ninaunguza I'm hot she's cold
Na ndio maana mara ya kwanza alijichukulia keki
Mi naichapa kikamanda yeye na wenzake wananiita mkuu wa majeshi
Wananiita mkuu wa majeshi
Wananiita mkuu wa majeshi
Wananiita mkuu wa majeshi
Yeye na wenzake wananiita mjeshi
Wananiita mkuu wa majeshi
Wananiita mkuu wa majeshi
Wananiita mkuu wa majeshi
Yeye na wenzake wananiita mkuu wa majeshi


You May Also Like
Ruger - "Snapchat" (Oh yeah yeah Oh my love Oh oouuu ouuu Oh my love Oh my love Yeah yeah yeah) Ah ah ah Girly you know me wan tap that Olayemi shoripe o gara oo Easy text me pon Snapchat Sexy snaps me heart beating...
DaVido - "Jowo" My baby jo, jo Jo, jowo My baby jo, jowo My baby jo, jowo Jowo One time, tiri gbosa for the two person wey born you I never want to try lose you, try dem no born me well I no fit tire for your...
Kizz Daniel - "Lie" Everybody know say omo me I no dey lie Everybody know ah ah Know say omo me I no dey lie (ah ah) Korporate o Girl I don't really care about your body type (eh) What really matter na your vibe I be...
CKay - "emiliana" All because of you, I be on the phone, all night long, oh No be small thing wey you do to me, oh no, no, no I be on my business, shawty But you be on my mind, shawty Ebelebe oloma, my honey, ahh-ahh...
Crayon - "Ijo (Laba Laba)" Open the fire, play the gbedu let them know E no finish oh E no finish oh Man no fit tire, everyday I'm on the road No limit oh No limit oh This na, nsobu Uju, Turn down for who (Turn down for you)...