"Wapo" lyrics
"Wapo"
(B Boy) Eeh
Mmmh mmh
Hivi kwanini nijitutumue
Na dunia sio makazi
Vijineno neno vinisumbue
Hadi nishindwe kazi
Mama alisema mkuku kwa nguruwe
Kuishi na watu kazi
Achambe atukane ata aniue
Nishasamehe mzani ni mzazi
Mwenzenu naficha naficha
Mengi ninayo yaona
Kifupi nafunika kombe
Nikiamini kesho nayo siku
Mapicha picha mapicha
Sidhani kama nitapona
Wanangu wa mtaani mniombee
Hii vita ni mchana na usiku
Oooh kuna watu na viatu
Wanatamani milele wawe wao
Ukijituma watasema
Unashinda nao
Oooh ni kama watu kumbe
Ndani wana roho za chatu
Hawatosheki na vikubwa vyao
Wanatamani hata kidogo chako kiwe chao
Mola nipe ujasiri
Kwenye kufanya maamuzi
Zidi nikomaza akili
Isinipoteze miluzi
Uniamshe alfajiri
Kama jana na juzi
Kupata kukosa ni siri
Nawe ndo Mungu baba mwamuzi
Dear Lord, wapo
Iyeiye iye, wapo
Japo ni ngumu kuwaona, wapo
Wapo wasotaka ufanikiwe
Binadamu hawana jema,
Kila utachofanya watasema, wapo
Wasotaka ubarikiwe
Watakuita mwanga kibonge
Tena kwa dharau wakucheke
Wanachotaka we uongee
Waseme shukrani ya punda mateke
Kama vipi dem wake tumgongee
Ndiye anayempiga chura teke
Usipoonewa ndonge
Basi ndo ujue hauna makeke
Sikia Konde kwepa bana mjini shule
Ukipata kidogo leta na nao tule
Wachana nao wamesemaga umezoea vya bure
Maana siku zote nyani halioni kundule
Kama baba na mama ndo nguzo ya dunia
Wapende wote
Sio wa kike anacheka wa kiume analialia
Bila msaada wowote
Oooh kuna watu na viatu
Wanatamani milele wawe wao
Ukijituma watasema
Unashinda nao
Machoni nikama watu
Kumbe
Ndani wana roho za chatu
Hawatosheki na vikubwa vyao
Wanatamani hata kidogo chako kiwe chao
Mola nipe ujasiri
Kwenye kufanya maamuzi
Zidi nikomaza akili
Isinipoteze miluzi
Uniamshe alfajiri kama
Jana na juzi
Kupata kukosa ni siri
Nawe ndo Mungu baba mwamuzi
Dear Lord, wapo
Iyeiye iye, wapo
Japo ni ngumu kuwaona, wapo
Wapo wasotaka ufanikiwe
Binadamu hawana jeru, wapo
Kila utachofanya watasema, wapo
Wapo wasotaka ubarikiwe
Dear Lord
"Special message to the Youth"
It's your time now to follow your dreams
No matter what people say stay humble
Stay positive, follow your dream
Believe in God, ease your mind
Ease your mind for Lord
Writer(s): Harmonize Harmonize
- AZLyrics
- H
- Harmonize Lyrics
You May Also Like
Diamond Platnumz - "Inama" Ayolizer
Kukudekeza kama mtoto
Furaha unafurahia
Alafu geuka moto
Machozi unalia
Mwembamba mwenene
Uwe na pesa kama Dangote (Dangote)
Penzi halijali umasikini
Laweza penda mtu yoyote
Penzi sio somo...
Busy Signal - "Jamaica Jamaica" Brr, yard vibes, yuh seen?
Ice up di black, gold and green
People ah rock an' come in
Jamaica tings, yah, brr , represent di place
Hands haffi raise, flags haffi raise
Lighters
People from my love ah...
Yemi Alade - "Turn Up" (It's kristbeat the drummer boy)
(Ayakata)
Body dey sweet e me when you turn up (turn up)
Your touch e dey make my body burn up (turn up)
Whenever me holla you dey turn up eee (turn up)
Whatever you...
Nyashinski - "Hapo Tu" Hapo tu, hapo tu, hapo tu, hapo!
(Yeah, yeah yeah yeah)
Hapo tu, hapo tu, hapo tu, hapo!
(Cedo)
Guardians tuko jaba
Wengine wako meeting
Zetu ni ma German
Zenyu pikipiki
Leo tunaenda Canaan
Beba...
Ya Levis - "Katchua" Chérie( yeah yeah), toute mon âme se consume à t'aimer
Tu es mon unique pensé
Oui ma belle
El maya love e ya ya ya ya
Depuis que tu es à moi katchua
Ngai nazo katchua banda o'koma ya ngai
Ngai nazo...