"Kifo" lyrics
"Kifo"
Kifo kifo kifo
Kifo kifo kifo
Nuru imepotea mbele hatuoni kiza
Kila kona machozi masikitiko
Mmh nafsi zanyongo'onyea
Huzuni moyoni unaumiza
Kitabu kizuri ndo kurasa ya mwisho
Vizuri havidumu
Nenda Magufuli umetimiza majukumu baba
Vizuri havidumu
Nenda jembe letu
Kuwacha mabarabara mahospitali
Wananchi ulivyowajali
Masikini kila hali Magufuli wetu
Upendo kwa wasanii kila mahali
Ulifurahi nasi ukatujali
Zile kofia kumbukumbu
Umefunga safari Magufuli wetu
Kina mama watafutwa na nani machozi
Wafungwa ulowasameheatawafuta nani machozi
Na vijana watatufuta nani machozi
Wazee wazee watawafuta nani machozi
Umeacha alama kumbukumbu isofutika
Pengo lako Magufuli sidhani kama litazibika
Moyo unalalama sisi bado twahuzunika
Umefanya kazi ngumu juu jaa
Basi nenda kupumzika jembe letu
Kifo kifo kifo
Kifo kifo kifo
Kifo kifo kifo
Kifo kifo kifo (Hauna huruma)
(Kwa nini kifo)
Machozi ya mama Samia yatafutwa na nani?
Machozi ya Kassim Majaliwa atayafuta na nani?
Machozi ya Bashiru atayafuta na nani?
Machozi ya Polepole atayafuta na nani
Machozi ya Kassim Majaliwa atayafuta na nani?
Machozi ya Watanzania atayafuta na nani?
Writer(s): Rayvanny Rayvanny
- AZLyrics
- R
- Rayvanny Lyrics
You May Also Like
Diamond Platnumz - "Katam" Wimbo
Wimbo huu
Ajejeje
Mmh, eh
Joto lije ntakupepea
Ntakutunza, ntakutetea
Wanune, wavimbe, I don't care
Hawajui unachonipea
Mpaka napagawa
Na sio mambo ya dawa
We ni mtamu mwaya
Na hunanga show...
Nandy & Joeboy - "Number One" Whatever you dey do make you put jara
And anything they wanna say doesn't really matter
Don't stay far from me
Baby just come closer eh
Imarama you be fine with the whine oshe le le
Number one...
Harmonize - "Bado" Aaaah
Kutwa kidomo wazi, nikifuta na machozi
Huku namuomba Mola unitoke moyoni
Ila ndo siwezi, nakesha ka mlinzi
Maana hata nkilala unaniijia ndotoni
Lato, asante kwa kuniumiza
Nimejifunza mengi,...
Meddy & The Ben - "Lose Control" There goes my baby, my baby
So let me talk to you
Before bed time
Let me whisper something sweet
I'm better, better
I'm better when I'm close to you
I'm better
Feeling better, yeah
Coz when you...
Sauti Sol - "Sura Yako" Nimekuchagua wewe, nikupende
Mama, sitaki mwingine
Aushi usiniache, usinitende
Mama, usipende mwingine
Moyo wangu ni mwepesi
Umenikalia chapati
Nafanya vituko kama chizi
Kukupenda sitasizi
Moyo wangu...