"Kifo" lyrics

"Kifo"

Kifo kifo kifo
Kifo kifo kifo

Nuru imepotea mbele hatuoni kiza
Kila kona machozi masikitiko
Mmh nafsi zanyongo'onyea
Huzuni moyoni unaumiza
Kitabu kizuri ndo kurasa ya mwisho
Vizuri havidumu
Nenda Magufuli umetimiza majukumu baba
Vizuri havidumu
Nenda jembe letu
Kuwacha mabarabara mahospitali
Wananchi ulivyowajali
Masikini kila hali Magufuli wetu
Upendo kwa wasanii kila mahali
Ulifurahi nasi ukatujali
Zile kofia kumbukumbu
Umefunga safari Magufuli wetu
Kina mama watafutwa na nani machozi
Wafungwa ulowasameheatawafuta nani machozi
Na vijana watatufuta nani machozi
Wazee wazee watawafuta nani machozi
Umeacha alama kumbukumbu isofutika
Pengo lako Magufuli sidhani kama litazibika
Moyo unalalama sisi bado twahuzunika
Umefanya kazi ngumu juu jaa
Basi nenda kupumzika jembe letu

Kifo kifo kifo
Kifo kifo kifo
Kifo kifo kifo
Kifo kifo kifo (Hauna huruma)
(Kwa nini kifo)

Machozi ya mama Samia yatafutwa na nani?
Machozi ya Kassim Majaliwa atayafuta na nani?
Machozi ya Bashiru atayafuta na nani?
Machozi ya Polepole atayafuta na nani
Machozi ya Kassim Majaliwa atayafuta na nani?
Machozi ya Watanzania atayafuta na nani?


Writer(s): Rayvanny Rayvanny
You May Also Like
Diamond Platnumz - "Katam" Wimbo Wimbo huu Ajejeje Mmh, eh Joto lije ntakupepea Ntakutunza, ntakutetea Wanune, wavimbe, I don't care Hawajui unachonipea Mpaka napagawa Na sio mambo ya dawa We ni mtamu mwaya Na hunanga show...
Nandy & Joeboy - "Number One" Whatever you dey do make you put jara And anything they wanna say doesn't really matter Don't stay far from me Baby just come closer eh Imarama you be fine with the whine oshe le le Number one...
Harmonize - "Bado" Aaaah Kutwa kidomo wazi, nikifuta na machozi Huku namuomba Mola unitoke moyoni Ila ndo siwezi, nakesha ka mlinzi Maana hata nkilala unaniijia ndotoni Lato, asante kwa kuniumiza Nimejifunza mengi,...
Meddy & The Ben - "Lose Control" There goes my baby, my baby So let me talk to you Before bed time Let me whisper something sweet I'm better, better I'm better when I'm close to you I'm better Feeling better, yeah Coz when you...
Sauti Sol - "Sura Yako" Nimekuchagua wewe, nikupende Mama, sitaki mwingine Aushi usiniache, usinitende Mama, usipende mwingine Moyo wangu ni mwepesi Umenikalia chapati Nafanya vituko kama chizi Kukupenda sitasizi Moyo wangu...