"Kwetu" lyrics
"Kwetu"
Sifa kwa Mola wangu Maulana
Kwa mengi aliofanya
Hadi mi na we kukutana, kisura
Sijapanga kudanganya
Nasema ukweli mama
Kisa nakupenda sana, kisura
Umesema wanipenda
Ila maisha yangu maseke
Michicha milenda
Menu yangu na ya kuku mateke
Yaani chenga
Kila siku kilio saa lini nicheke
Sina tenda
Ugali Buguruni mboga Temeke
Nafurahi umeniridhia
Niwe na wewe kimwali
Maisha yangu mitihani
Isoisha maswali
Ukifika nyumbani vumilia
Maana hali sio swali
Asubuhi mchana pakavu
Jioni ndo kula futali
Tena
Huku kwetu
Muda wowote mateja wanatinga
Viwalo vyetu
Ukifua kumbuka kuvilinda
Huku kwetu
Muda wowote mateja wanatinga
Mwali wee
Suala la nyumba na gari mi
Bado, mi bado, mi bado
Ndo kwanza nimepanga
Bado, iyee, mi bado
Sina hata kiwanja
Bado, iyee, mi bado
Kulipa kodi majanga
Bado, mimi bado, mi bado
Mtaani kwetu hekaheka ukienda sokoni kariri vichochoro
Ghetto namkeka tu hakuna kitanda, shuka wala godoro
Hekaheka hakuna kibatari ndani giza totoro
Mvua ikinyesha nyumba inageuka ka boti ya Comoro
Ila nimeshakupa
Nimeshakupa mtima mtima
Ukija kususa
Utanizika mzima mzima
Nimeshakupa eh
Nimeshakupa mtima mtima
Ukija kususa
Utanizika mzima mzima
Tena
Huku kwetu
Muda wowote mateja wanatinga
Viwalo vyetu
Ukifua kumbuka kuvilinda
Huku kwetu
Muda wowote mateja wanatinga
Mwali wee
Suala la nyumba na gari mi
Bado, mi bado, mi bado
Ndo kwanza nimepanga
Bado, iyee, mi bado
Sina hata kiwanja
Bado, mie, mi bado
Kulipa kodi majanga
Bado, mimi bado, mi bado
Writer(s): Raymond Mwakyusa, Siraju Amani
- AZLyrics
- R
- Rayvanny Lyrics
You May Also Like
Patoranking - "Suh Different" Patoranking
Ah, this song dey say make the girls dem whine
Me no won see no girl with the phone inna your hand
Put it over and free up time
Move up your waist liner
Every girl, all over the world...
Chris Brown - "Other Side" The man war war
What you say? What you say?
What you say nigga?
The man war war
If I take a life, how can I apologize?
Either it's you or me takin' that journey to the other side
Them boys some...
P-Square - "Collabo" Na collabo ye eh eh
She want some collabo eh eh
I go sing for you
You go sing for me eh eh
She say she want some collabo...collabo
She need am badly be like tornado....tornado
She talk say I dey...
Harmonize - "Kwa Ngwaru" Iyoo Lizer
Hmm
I wish ningekuwaga na mavumba
Mkwanja manoti
Nikuhonge vya thamani
Ama, niwe fundi wa kuigiza ka' Kanumba
Masanja Joti usiwe mbali nami
Hmm
My darling, I need you love, oh
Uwe nami...
Ayo Jay - "The Vibe" Lemme hear you say ah you already know
Ah ah you already know oh
Ah they already know
That they call me Boy Wonder Ayo Jay
Hey I'm looking for someone
Tell me can you find em?
I got juice and I got...