"Kwetu" lyrics

"Kwetu"

Sifa kwa Mola wangu Maulana
Kwa mengi aliofanya
Hadi mi na we kukutana, kisura
Sijapanga kudanganya
Nasema ukweli mama
Kisa nakupenda sana, kisura

Umesema wanipenda
Ila maisha yangu maseke
Michicha milenda
Menu yangu na ya kuku mateke
Yaani chenga
Kila siku kilio saa lini nicheke
Sina tenda
Ugali Buguruni mboga Temeke

Nafurahi umeniridhia
Niwe na wewe kimwali
Maisha yangu mitihani
Isoisha maswali
Ukifika nyumbani vumilia
Maana hali sio swali
Asubuhi mchana pakavu
Jioni ndo kula futali
Tena

Huku kwetu
Muda wowote mateja wanatinga
Viwalo vyetu
Ukifua kumbuka kuvilinda
Huku kwetu
Muda wowote mateja wanatinga
Mwali wee
Suala la nyumba na gari mi

Bado, mi bado, mi bado
Ndo kwanza nimepanga
Bado, iyee, mi bado
Sina hata kiwanja
Bado, iyee, mi bado
Kulipa kodi majanga
Bado, mimi bado, mi bado

Mtaani kwetu hekaheka ukienda sokoni kariri vichochoro
Ghetto namkeka tu hakuna kitanda, shuka wala godoro
Hekaheka hakuna kibatari ndani giza totoro
Mvua ikinyesha nyumba inageuka ka boti ya Comoro

Ila nimeshakupa
Nimeshakupa mtima mtima
Ukija kususa
Utanizika mzima mzima
Nimeshakupa eh
Nimeshakupa mtima mtima
Ukija kususa
Utanizika mzima mzima
Tena

Huku kwetu
Muda wowote mateja wanatinga
Viwalo vyetu
Ukifua kumbuka kuvilinda
Huku kwetu
Muda wowote mateja wanatinga
Mwali wee
Suala la nyumba na gari mi

Bado, mi bado, mi bado
Ndo kwanza nimepanga
Bado, iyee, mi bado
Sina hata kiwanja
Bado, mie, mi bado
Kulipa kodi majanga
Bado, mimi bado, mi bado


Writer(s): Raymond Mwakyusa, Siraju Amani
You May Also Like
Patoranking - "Suh Different" Patoranking Ah, this song dey say make the girls dem whine Me no won see no girl with the phone inna your hand Put it over and free up time Move up your waist liner Every girl, all over the world...
Chris Brown - "Other Side" The man war war What you say? What you say? What you say nigga? The man war war If I take a life, how can I apologize? Either it's you or me takin' that journey to the other side Them boys some...
P-Square - "Collabo" Na collabo ye eh eh She want some collabo eh eh I go sing for you You go sing for me eh eh She say she want some collabo...collabo She need am badly be like tornado....tornado She talk say I dey...
Harmonize - "Kwa Ngwaru" Iyoo Lizer Hmm I wish ningekuwaga na mavumba Mkwanja manoti Nikuhonge vya thamani Ama, niwe fundi wa kuigiza ka' Kanumba Masanja Joti usiwe mbali nami Hmm My darling, I need you love, oh Uwe nami...
Ayo Jay - "The Vibe" Lemme hear you say ah you already know Ah ah you already know oh Ah they already know That they call me Boy Wonder Ayo Jay Hey I'm looking for someone Tell me can you find em? I got juice and I got...