"Tunawabuluza" lyrics
"Tunawabuluza"
DJ kidogo dogo
Tunawabuluza, tunawabuluza
Tunawabuluza, ona tunabuluza
Tunawabuluza, tunawabuluza
Tunawabuluza, ona tunawabuluza
Ona walivyo wapole wamebaki kunong'ona
Magufuli ndio zaidi wenyewe wanaona
Wanatafuta kasoro kila mbinu zinagoma
Maendeleo uhakika namba wanaisoma
Standard gauge mabara bara shwari
Zahanati shule mahospitali
Ndege mwendo kasi flyover kali
Kajali masikini mafisadi chali
Magu! wapiga madili anapita nao!
Wazee wa miradi feki anapita nao!
Wakwepa kodi anapita nao!
Wanaopenda rushwa anapita nao!
Si tupotoka zamani anabisha nani?
Si ndo chama lao rangi ni njano kijani
Tena ni mashujaa, pole wapinzani
Magufuli kichwa jembe namba one (ayoyoyo)
Tunawabuluza, tunawabuluza
Tunawabuluza, ona tunabuluza
Tunawabuluza, tunawabuluza
Tunawabuluza, ona tunawabuluza
Aya kelele ya kwanza kwa magu yake (wee)
Aya kelele ya pili kwa john yake (wee, wee)
Aya kelele ya twatu kwa pombe yake (wee, wee wewe)
We mikono juu, watu shangilia
We mikono juu, weka mashati kofia
CCM mikono juu, watu shangilia
Basi weka juu, weka mashati kofia
Peperusha bendera, wee bendera
Sijaona bendera, CCM bendera
Peperusha bendera, wee bendera
Kina mama bendera, sijaona bendera
Peperusha bendera!
Aya magufuli aya wee (ayaa wee, ayaa wee)
Mama samia aya wee (ayaa wee, ayaa wee)
Majaliwa aya wee (ayaa wee, ayaa wee)
Mashiru aya wee (ayaa wee, ayaa wee)
Na mangula aya wee (ayaa wee, ayaa wee)
Pole pole aya wee (ayaa wee, ayaa wee)
Kiwangwala aya wee (ayaa wee, ayaa wee)
Na makonda aya wee (ayaa wee, ayaa wee)
Bado watoto wao, magu ni baba lao
CCM moto wao, tena kiboko yao
Bado watoto wao, magu ni baba lao
CCM moto wao, tena kiboko yao
Mikono juu alafu piga makofi
Weka juu huku unapiga makofi
Mikono juu alafu piga makofi
Weka juu huku unapiga makofi
Tunaenda kushoto, wee kushoto
Twendeni kushoto, watu wote kushoto
Turudi kulia, wee kulia
Tunarudi kulia, wee kulia
Twendeni kushoto, wee kushoto
Tunaenda kushoto, eeh kushoto
Turudi kulia, wee kulia
Kina mama kulia, wee kulia
Kina mama vigelegele
Sijasikia vigelegele
Aya wanangu piga milusi
Sijasikia milusi
CCM kiboko yao, CCM kabari yao
CCM kiboko yao, CCM kabari yao
CCM kiboko yao, CCM kabari yao
CCM kiboko yao, CCM kabari yao
Jembe magufuli, kiboko yao
Wee mama samia, kabari yao
Hadi majaliwa, kiboko yao
Wee mwajembe baba, kabari yao
Mbeya tulia mama, kiboko yao
Ata cha ramila, kabari yao
Writer(s): Raymond Mwakyusa
- AZLyrics
- R
- Rayvanny Lyrics
You May Also Like
Chike & Simi - "Running (To You)" Anybody wey wan fight you
Make them come
They already know
I'll be right beside you
Like the wall of Jericho
They don't know
They don't know
They don't know what's going on
Muna gi so
Muna gi so,...
Patoranking - "Odo Bra" King King Promise
Oh No
Oh No
Oh No Oh No
Sweetie Sweetie
This our love feel so Brand new
Na only you I go dey chop
The okro soul in my banku
Ne nu nwanchuku kere nu nu
I just dey run follow you
And...
Tiwa Savage & Sam Smith - "Temptation" (London)
Temptation, temptation
That's all I see when I look at you
Temptation, temptation (Temptation)
That's all I see when I look at you
Oh, oh
Look me in the eyes
Look me in the eyes
Je ka ri...
Mohombi - "Just Like That" Remember when I met her
Just like that
We became lovers
Just like that
We meant to be forever
Just like that
I woke up without you
Life became harder
Just like that
Nights became longer
Just like...
Harmonize - "Anajikosha" (This one is a banger)
Ahaahahaha Jeshi, awiii!
(Daxo Chali)
Anajiko, anajikosha
Anajikoo, anajikosha
Anajiko, anajikosha
Anajikoo, anajikosha
Jumamosi kakesha analewa
Jumapili kanisani,...