"Unaibiwa" lyrics
"Unaibiwa"
Usidate na njonjo za mapenzi
Vicheko bandia usoni kudeka kumbe ana pretend
Maufundi toka tanga na zenji
Vionjo mitego unase ashike pochi umwage chenji
Anakuchanganya kiunoni shanga
Marashi kama uko peponi
Mtoto sauti kinanda
Ya kumtoa chatu pangoni
Ukishatafuna karanga
Hutaki hata aende sokoni
Anakuchuna mafaranga unabaki na vumbi mfukoni
Ukiwa na pesa utasifiwa kitambi
Baby me I like that
Nakukupamba kwenye simu video snapchat
Kumbe hana maana hadi mangi
Anamwita sweetheart
Kisa anakesha gym kutafuta six packs
Unaibiwa! unaibiwa!
Unaibiwa! unaibiwa!
Kuna kina rose visosa
Wale wapenda verossa
Ukipita na shati na moka
Lazima watashoboka
Wakiomba lift ogopa
Miguu dashboard vishoka
Mchunguze cheni goroka
Nywele na pochi kakopa
Eh
Usije kuyavamia yasije yakakutesa hawachelewagi kukimbia
Kuna wenzako wanalia walizani mapenzi pesa kwenye suruali vibamia
Hata ukimuonga ferrari hatokuona rijali
Wakati chumbani we beki ukifunga moja tu chali
Atakamatwa na mangangali
Vijana machachali
Hawachagui sehemu ya vita uvunguni na juu ya dali
Ukiwa na pesa utasifiwa kitambi
Baby me I like that
Nakukupamba kwenye simu video snapchat
Kumbe hana maana hadi mangi
Anamwita sweartheart
Kisa anakesha gym kutafuta six packs
Unaibiwa! unaibiwa!
Unaibiwa! unaibiwa!
Unadhani niwapekeako
Kumbe wengine wameshaweka kambi
Kakupendea macho
Wapo wengine kawapendea rangi
Ye ni gari la dampo
Hachagui taka dereva mpe ganji
Wakubadili sample
Akila mihogo karoti hazipandi
Unaibiwa unaibiwa
Unaibiwa unaibiwa
Writer(s): Raymond Mwakyusa, Siraju Amani
- AZLyrics
- R
- Rayvanny Lyrics
You May Also Like
DJ Neptune - "My World" Berry pon this
Dj Neptune (Neptune records)
Legendary Legendary yo yo yo! Greatness
Berry pon this one (one time)
Uwo oh! Berry pon this one na na (two times)
DJ Neptune
Baby come let me take you to...
YCEE - "Say Bye Bye" Tinny Entertainment Baby
Team salut
Tell your man I said say bye bye
Two girls on deck and you know they wanna say bye bye
Girl you know I need you Omo baby ma ma shey Bai Bai
Two girls on deck and...
P-Square - "Away" Ileke lo'ma jiya
If I tell you say girl I love you
I love you
See the men them, them'ma want you
But I need you
I say make I tell you what you don't know
Say many many don go
As you dey my side girl...
Ayo Jay - "Let Him Go" Girl you're a diamond
Girl you're a star
So any other man that hurt you
You don't want to fight
You put the time in (time)
You played your part
So any man that lost you didn't know
So nobody fine...
Diamond Platnumz - "Nana" Onanana onanananana (ooh)
Baby basi hujui tu mi kitandani ka schumacher
It's Diamond, Mr Flavour party dance
Ifunanyemo
Ah baby onanana baby oh onananana baby
Oh onanana onananananana
Baby oh...