"Unaibiwa" lyrics

"Unaibiwa"

Usidate na njonjo za mapenzi
Vicheko bandia usoni kudeka kumbe ana pretend
Maufundi toka tanga na zenji
Vionjo mitego unase ashike pochi umwage chenji
Anakuchanganya kiunoni shanga
Marashi kama uko peponi
Mtoto sauti kinanda
Ya kumtoa chatu pangoni
Ukishatafuna karanga
Hutaki hata aende sokoni
Anakuchuna mafaranga unabaki na vumbi mfukoni

Ukiwa na pesa utasifiwa kitambi
Baby me I like that
Nakukupamba kwenye simu video snapchat
Kumbe hana maana hadi mangi
Anamwita sweetheart
Kisa anakesha gym kutafuta six packs

Unaibiwa! unaibiwa!
Unaibiwa! unaibiwa!

Kuna kina rose visosa
Wale wapenda verossa
Ukipita na shati na moka
Lazima watashoboka
Wakiomba lift ogopa
Miguu dashboard vishoka
Mchunguze cheni goroka
Nywele na pochi kakopa
Eh

Usije kuyavamia yasije yakakutesa hawachelewagi kukimbia
Kuna wenzako wanalia walizani mapenzi pesa kwenye suruali vibamia
Hata ukimuonga ferrari hatokuona rijali
Wakati chumbani we beki ukifunga moja tu chali
Atakamatwa na mangangali
Vijana machachali
Hawachagui sehemu ya vita uvunguni na juu ya dali

Ukiwa na pesa utasifiwa kitambi
Baby me I like that
Nakukupamba kwenye simu video snapchat
Kumbe hana maana hadi mangi
Anamwita sweartheart
Kisa anakesha gym kutafuta six packs

Unaibiwa! unaibiwa!
Unaibiwa! unaibiwa!

Unadhani niwapekeako
Kumbe wengine wameshaweka kambi
Kakupendea macho
Wapo wengine kawapendea rangi
Ye ni gari la dampo
Hachagui taka dereva mpe ganji
Wakubadili sample
Akila mihogo karoti hazipandi

Unaibiwa unaibiwa
Unaibiwa unaibiwa


Writer(s): Raymond Mwakyusa, Siraju Amani
You May Also Like
DJ Neptune - "My World" Berry pon this Dj Neptune (Neptune records) Legendary Legendary yo yo yo! Greatness Berry pon this one (one time) Uwo oh! Berry pon this one na na (two times) DJ Neptune Baby come let me take you to...
YCEE - "Say Bye Bye" Tinny Entertainment Baby Team salut Tell your man I said say bye bye Two girls on deck and you know they wanna say bye bye Girl you know I need you Omo baby ma ma shey Bai Bai Two girls on deck and...
P-Square - "Away" Ileke lo'ma jiya If I tell you say girl I love you I love you See the men them, them'ma want you But I need you I say make I tell you what you don't know Say many many don go As you dey my side girl...
Ayo Jay - "Let Him Go" Girl you're a diamond Girl you're a star So any other man that hurt you You don't want to fight You put the time in (time) You played your part So any man that lost you didn't know So nobody fine...
Diamond Platnumz - "Nana" Onanana onanananana (ooh) Baby basi hujui tu mi kitandani ka schumacher It's Diamond, Mr Flavour party dance Ifunanyemo Ah baby onanana baby oh onananana baby Oh onanana onananananana Baby oh...