"Wababa" lyrics

"Wababa"

Wababa
Sindo Wababa
Wababa
Ila trapendwa na vidada

Soundboy

Wababa
Sindo Wababa
Wababa
Ila trapendwa na vidada
Eyoo lizer

Pesa ya kusuka...
Na simu kali
Ama unataka Duka...
Au ka gari...
Ama wapenda kuzunguka
Twende nchi za mbali...
Ila Beba mafuta
Huko kuna baridi kali...

Mtu mzima naitwa babe
Hela ina balaa hela
Mvi hazionekani
Hela ina balaa hela
Mubaba naitwa babe
Hela ina balaa hela
Uzee hauonekani
Hela ina balaa hela

Kweli nakitambi okonko je utanipa!?
Ntakupa!!!
Sura mbaya ila na hela je utanipa
Ntakupa!!!
Mi mubabab, Miaka mia saba
Ntakupa!!!
Ukiletaga, Nazivunja chaga...

Ooh, hatuongei...
Utashoboka mwenyewe...
Meza imenoga vinywaji we jisogeze ulewe...
Hatutongozi we leta namba mwenyewe...
Huduma tutazokupa wiki utaomba uolewe...

Wababa
Sindo Wababa
Wababa
Ila trapendwa na vidada

Wababa
Sindo Wababa
Wababa
Ila trapendwa na vidada

Masharobaro kazi kukipodoa hela twahonga sisi...
Ma slay queen wanatulilia ka mfupa kwa fist...
Wanapenda tiketi za Dubai na wengine Paris...
Tukiingia bar macho kodo si wanataka pipi...

Ma rang ekuhonga hatuogopi...
Aah hatuna baya
Dada kapuku anageuka boss
Aah hatuna baya
Ufanye siri siri wife mkorofi...
Piga picha mkono sura usi nipost...

Mtu mzima naitwa babe
Hela ina balaa hela
Mvi hazionekani
Hela ina balaa hela
Mubaba naitwa babe
Hela ina balaa hela
Uzee hauonekani
Hela ina balaa hela

Kweli nakitambi okonko je utanipa!?
Ntakupa!!!
Sura mbaya ila na hela je utanipa
Ntakupa!!!
Mi mubabab, Miaka mia saba
Ntakupa!!!
Ukiletaga, Nazivunja chaga...

Ooh, hatuongei...
Utashoboka mwenyewe...
Meza imenoga vinywaji we jisogeze ulewe...
Hatutongozi we leta namba mwenyewe...
Huduma tutazokupa wiki utaomba uolewe...

Wababa
Sindo Wababa
Wababa
Ila trapendwa na vidada

Wababa
Sindo Wababa
Wababa
Ila trapendwa na vidada

Nipe uno la wazee, lakipedeshee
Nipe uno la wazee Watoto wazuri wakushobokee
Nipe uno la wazee lakipedeshee
Nipe uno la wazee watoto wazuri tu wakushobokee

Mmmh nipe uno la wazee
Lile lakipedeshee
Yani uno la wazeee
Pisi kali tu zikushobokee

Nipe uno la wazee
Lakipedeshee
Nipe uno la wazee watoto wazuri wakushobokee


You May Also Like
Omah Lay - "My Bebe" Oh My Bebe Uh Uh Uh yeah yeah Ah, Echoe I've been in this club drinking But I don't understand Oh! My Bebe (Bebe) The way you move your body To the rhythm of the sound I wanna love you love you...
Harmonize - "Kwa Ngwaru" Iyoo Lizer Hmm I wish ningekuwaga na mavumba Mkwanja manoti Nikuhonge vya thamani Ama, niwe fundi wa kuigiza ka' Kanumba Masanja Joti usiwe mbali nami Hmm My darling, I need you love, oh Uwe nami...
Meddy & The Ben - "Lose Control" There goes my baby, my baby So let me talk to you Before bed time Let me whisper something sweet I'm better, better I'm better when I'm close to you I'm better Feeling better, yeah Coz when you...
Kizz Daniel - "Lie" Everybody know say omo me I no dey lie Everybody know ah ah Know say omo me I no dey lie (ah ah) Korporate o Girl I don't really care about your body type (eh) What really matter na your vibe I be...
Mr Eazi - "Doyin" Zagawhat? Doyin, your love dey high me like e be kpoli (Ye) We suppose to link up but you be jonzing (Me) But e be your love dey high me like e be kpoli O baby don't leave me lonely Tony (Tony o),...