"Wababa" lyrics
"Wababa"
Wababa
Sindo Wababa
Wababa
Ila trapendwa na vidada
Soundboy
Wababa
Sindo Wababa
Wababa
Ila trapendwa na vidada
Eyoo lizer
Pesa ya kusuka...
Na simu kali
Ama unataka Duka...
Au ka gari...
Ama wapenda kuzunguka
Twende nchi za mbali...
Ila Beba mafuta
Huko kuna baridi kali...
Mtu mzima naitwa babe
Hela ina balaa hela
Mvi hazionekani
Hela ina balaa hela
Mubaba naitwa babe
Hela ina balaa hela
Uzee hauonekani
Hela ina balaa hela
Kweli nakitambi okonko je utanipa!?
Ntakupa!!!
Sura mbaya ila na hela je utanipa
Ntakupa!!!
Mi mubabab, Miaka mia saba
Ntakupa!!!
Ukiletaga, Nazivunja chaga...
Ooh, hatuongei...
Utashoboka mwenyewe...
Meza imenoga vinywaji we jisogeze ulewe...
Hatutongozi we leta namba mwenyewe...
Huduma tutazokupa wiki utaomba uolewe...
Wababa
Sindo Wababa
Wababa
Ila trapendwa na vidada
Wababa
Sindo Wababa
Wababa
Ila trapendwa na vidada
Masharobaro kazi kukipodoa hela twahonga sisi...
Ma slay queen wanatulilia ka mfupa kwa fist...
Wanapenda tiketi za Dubai na wengine Paris...
Tukiingia bar macho kodo si wanataka pipi...
Ma rang ekuhonga hatuogopi...
Aah hatuna baya
Dada kapuku anageuka boss
Aah hatuna baya
Ufanye siri siri wife mkorofi...
Piga picha mkono sura usi nipost...
Mtu mzima naitwa babe
Hela ina balaa hela
Mvi hazionekani
Hela ina balaa hela
Mubaba naitwa babe
Hela ina balaa hela
Uzee hauonekani
Hela ina balaa hela
Kweli nakitambi okonko je utanipa!?
Ntakupa!!!
Sura mbaya ila na hela je utanipa
Ntakupa!!!
Mi mubabab, Miaka mia saba
Ntakupa!!!
Ukiletaga, Nazivunja chaga...
Ooh, hatuongei...
Utashoboka mwenyewe...
Meza imenoga vinywaji we jisogeze ulewe...
Hatutongozi we leta namba mwenyewe...
Huduma tutazokupa wiki utaomba uolewe...
Wababa
Sindo Wababa
Wababa
Ila trapendwa na vidada
Wababa
Sindo Wababa
Wababa
Ila trapendwa na vidada
Nipe uno la wazee, lakipedeshee
Nipe uno la wazee Watoto wazuri wakushobokee
Nipe uno la wazee lakipedeshee
Nipe uno la wazee watoto wazuri tu wakushobokee
Mmmh nipe uno la wazee
Lile lakipedeshee
Yani uno la wazeee
Pisi kali tu zikushobokee
Nipe uno la wazee
Lakipedeshee
Nipe uno la wazee watoto wazuri wakushobokee
- AZLyrics
- R
- Rayvanny Lyrics
You May Also Like
Omah Lay - "My Bebe" Oh My Bebe
Uh Uh Uh yeah yeah
Ah, Echoe
I've been in this club drinking
But I don't understand
Oh! My Bebe (Bebe)
The way you move your body
To the rhythm of the sound
I wanna love you love you...
Harmonize - "Kwa Ngwaru" Iyoo Lizer
Hmm
I wish ningekuwaga na mavumba
Mkwanja manoti
Nikuhonge vya thamani
Ama, niwe fundi wa kuigiza ka' Kanumba
Masanja Joti usiwe mbali nami
Hmm
My darling, I need you love, oh
Uwe nami...
Meddy & The Ben - "Lose Control" There goes my baby, my baby
So let me talk to you
Before bed time
Let me whisper something sweet
I'm better, better
I'm better when I'm close to you
I'm better
Feeling better, yeah
Coz when you...
Kizz Daniel - "Lie" Everybody know say omo me I no dey lie
Everybody know ah ah
Know say omo me I no dey lie (ah ah)
Korporate o
Girl I don't really care about your body type (eh)
What really matter na your vibe
I be...
Mr Eazi - "Doyin" Zagawhat?
Doyin, your love dey high me like e be kpoli (Ye)
We suppose to link up but you be jonzing (Me)
But e be your love dey high me like e be kpoli
O baby don't leave me lonely
Tony (Tony o),...