"Yanga Mwamba" lyrics
"Yanga Mwamba"
Nawaleta mabingwa wetu muwaone
Nawaleta mabingwa wetu muwaone
Yanga hawa hapa
Yanga hawa hapa
Yanga hawa hapa
Yanga hawa hapa
Namleta Rais Hersi mumuone
Namleta GSM Bosi mumuone
Mwamba huyu hapa
Mwamba huyu hapa
Mwamba huyu hapa
Mwamba huyu hapa
Mabibi na mabwana
Nawaletea mabingwa hao
Kwanza tukifa hatuozi yanga
Hatuna matatizo yanga
Yanga hatuna baya Yanga
Yaani tumenyooka
Tulizunguka kila kona
Kutafuta furaha ya moyo
Mungu katupa Yanga inayotufaa
Makolo najua inawachoma mkaroge
Tanga Bagamoyo
Mungu kapanga yeye hamuwezi kukataa
Twaikumbatia hamtufanyi chochote
Tena Yanga Yetu
Twaichumu hamsemi chochote
Twaipenda pia
Hamtufanyi chochote sisi ni Yanga
Twatamba hatumuogopi yoyote
Wananchi mbele Yanga mbele mbele
Wananchi mbele Yanga mbele mbele
Acha tusonge mbele daima
Mbele mbele
Acha tusonge mbele daima
Mbele mbele
Nawaleta mabingwa wetu muwaone
Nawaleta mabingwa wetu muwaone
Yanga hawa hapa
Yanga hawa hapa
Yanga hawa hapa
Yanga hawa hapa
Namleta Rais Hersi mumuone
Namleta GSM Bosi mumuone
Mwamba huyu hapa
Mwamba huyu hapa
Mwamba huyu hapa
Mwamba huyu hapa
Sisi ndo vinara yanga
Tena tunang'ara yanga
Muulize Manara
Si ndo tunatawala
Raundi hii hatuachi nafasi
Kashasema Harafati
Ali Kamwe katuruhusu
Tuvimbe hata kama hawataki
Tulizunguka kila kona
Kutafuta furaha ya moyo
Mungu katupa Yanga inayotufaa
Makolo najua inawachoma mkaroge
Tanga Bagamoyo
Mungu kapanga yeye hamuwezi kukataa
Twaikumbatia hamtufanyi chochote
Tena Yanga Yetu
Twaichumu hamsemi chochote
Twaipenda pia
Hamtufanyi chochote sisi ni Yanga
Twatamba hatumuogopi yoyote
Wananchi mbele Yanga mbele mbele
Wananchi mbele Yanga mbele mbele
Acha tusonge mbele daima
Mbele mbele
Acha tusonge mbele daima
Mbele mbele
Nawaleta mabingwa wetu muwaone
Nawaleta mabingwa wetu muwaone
Yanga hawa hapa
Yanga hawa hapa
Yanga hawa hapa
Yanga hawa hapa
Namleta Rais Hersi mumuone
Namleta GSM Bosi mumuone
Mwamba huyu hapa
Mwamba huyu hapa
Mwamba huyu hapa
Mwamba huyu hapa
- AZLyrics
- R
- Rayvanny Lyrics
You May Also Like
Wiley - "Boasty" Used to stand up on the block
Now I'm always on my own
Look around, all of us are always on the phone
Buy a house cash, I ain't tryna get a loan
All the chains and watches I leave them alone
Still...
Tayc - "D O D O" Iiiiiii-Iiiiii-Iiiiii-Iiiiii-yeah
Dodo, umh
Ce soir pas de dodo, yeah
Iiiiiii-Iiiiii-Iiiiii-Iiiiii-yeah (Tayc de Tayc)
Dodo, umh
Ce soir pas de dodo
Iiiiiii-Iiiiii-Iiiiii-Iiiiii-yeah (yeah, yeah,...
Burna Boy - "Kilometre" Big tune!
Kilome, kilome, kilome, kilome, kilome, kilome, kilometres
I don come, I don come kilometres
I don waka many kilometres (Ah)
Learn from the teacher, I don tey for the game Shina Peters
I...
Maître Gims - "Jasmine" Je reconnais ton visage de jour comme de nuit
Et tu me rappelles vaguement, mmh, Princesse Jasmine
Tu sais déjà tout de moi, entre la 'sique et la street
Regarde-moi dans les yeux que je te rende...
B Young - "Gucci Demon" Gyal don't ask me no questions
Cuh' you give the impression
That you wasting time
But your eyes tell me different
Yeah, your eyes tell me different yeah
Yeah when you stepped in
You like a blessing...