"Zezeta" lyrics
"Zezeta"
Baby mooh
Nifanye big G unitafune
Ama niwe sindano
Nawe uwe uzi nguo nifume
Amaniwe ndoo
Uwe maji yangu na wanune
Nifanye kucha
Kama ukiwashwa mi nikukune
Sema mama
Niweduka la vipodozi
Nikuvutie kwa kila kitu
Chumbani uwe simu
Unalia hata nikiku beep
Nisimame kama kinyozi
Nikikunyoa unanisifu
Niwe godoro na shuka
Nilale na wewe kila usiku
Shika funguo gari ya bosi wangu
Kwako zezeta zezeta
Niko radhi nifunge ule wewe
Mimi zezeta zezeta
Au unataka hata nyumba ya baba yangu
Kwako zezeta zezeta
Kifaranga nibebe kama mwewe
Mimi zezeta zezeta
Mama sitaki paka na panya
Vita za nini
Mi nataka niwe mafuta
Ujipakaze kote mwilini eeh
Ama niwe taulo kanga laini
Ukioga ninakufata
Kutoka juu mpaka kwa chini
Maashallah
Ulivyo mwenzako taabani
Naeshimu chumba
Siendi varandani
Tena sikufanyi vocha
Soko dukani
Nikutumbie mchumba
Nikutupe jalalani
Sema mama
Niwe duka la vipodozi
Nikuvutie kwa kila kitu
Chumbani uwe simu
Unalia hata niku-beep
Nisimame kama kinyozi
Nikikunyoa unanisifu
Niwe godoro na shuka
Nilale nawe kila usiku
Shika funguo gari ya bosi wangu
Kwako zezeta zezeta
Niko radhi nifunge ule wewe
Mimi zezeta zezeta
Au unataka hata nyumba ya baba yangu
Kwako zezeta zezeta
Kifaranga nibebe kama mwewe
Mimi zezeta zezeta
Shika funguo gari ya bosi wangu
Kwako zezeta zezeta
Niko radhi nifunge ule wewe
Mimi zezeta zezeta
Au unataka hata nyumba ya baba yangu
Kwako zezeta zezeta
Kifaranga nibebe kama mwewe
Mimi zezeta zezeta
Mashilawadu wanyapia nyapia
Mashilawadu wananyatia nyatia
Mashilawadu wapate kutangazia
Mashilawadu kuwa makini mama
Mashilawadu wakudandia dandia
Mashilawadu vya watu kupakazia
Mashilawadu macho funika pazia
Mashilawadu kuws makini mama eeh
Writer(s): Raymond Mwakyusa, Siraju Amani
- AZLyrics
- R
- Rayvanny Lyrics
You May Also Like
Sauti Sol - "Melanin" When a good girl gone bad
What you gonna do?
Run go meet her dad?
You don wanna do
Well this is Sauti Sol, Patoranking, world best yo
Watch this
Love confession
She's a heart breaker
She bend over...
Diamond Platnumz - "Nana" Onanana onanananana (ooh)
Baby basi hujui tu mi kitandani ka schumacher
It's Diamond, Mr Flavour party dance
Ifunanyemo
Ah baby onanana baby oh onananana baby
Oh onanana onananananana
Baby oh...
Maleek Berry - "Sisi Maria" Uhh
Bounce (Bounce)
Bounce eh, baby oh bounce
Bounce (Bounce)
Bounce oh, baby oh bounce
Berry pon this eh
Berry pon this eh...
Sisi Maria, she carry front from Bayelsa (Oh)
Sisi Ngozi, she carry...
Tekno - "Samantha" We going in baby, oh yeaaa
Slim daddy say...
I say my baby dey give me ginger
Number one for the matter
She nor follow another, she's my only lover
Samantha ooo Samantha
Samantha do me something...
Yemi Alade - "Bum Bum" Ewo, Ewo
One for the party,
Two for the, two for the money
Three for the, three for the honey
Four for the, four when you shake your bum bum bum bum
See, see me I like to party
Party with the boys...