"Extravaganza" lyrics
"Extravaganza"
(feat. Bensoul, Nviiri the Storyteller, Crystal Asige & Kaskazini)
Ayeee
Rhumba imetamba
Sauti Sol in a di area kumechacha
Karibuni kwenye Extravaganza
Bensoul alipofika alifunika eeeh
Wakaja na madrama
Cinema zetu ni telenovela eeeh
Wakasunda mizinga
Hawakujua si tuko mavela iieeh
Wakaita polisi
Kumbe polisi pia ni shabiki eeeh
Wakaficha msosi
Wakatupata na dishi mezani
Ayeee
Rhumba imetamba
Sauti Sol in a di area kumechacha(kila kona yo yo)
Karibuni kwenye Extravaganza
Na nviiri alipofika alifunika eeeh
Walifunga milango
Wakatupata tuko ndani nao
Wakaita makanjo
Kumbe ni sisi huwalipa salo(wowowo)
Wakazima mitambo
Shabiki wakabaki kwenye dance floor
Na iwe funzo kwao
Tunaongoza wanafuata nyayo
Ayeee
Rhumba imetamba
Sauti Sol in a di area kumechacha
Karibuni kwenye Extravaganza
Na crystal alipofika alifunika eeeh
Wakaja na umati
Wakageuka kuwa wafuasi
Wakaja na majini
Wakapata tushazama kwa dini
Nywele za kifarasi
Lakini si ni moto ya malkiasi
Risasi mwendo kasi
Dandieni musiwachwe na basi
Ayeee
Rhumba imetamba
Sauti Sol in a di area kumechacha
Karibuni kwenye Extravaganza
Kaskazini walipofika walifunika eeeh
Wakaenda kusini
Wakajipata wako kaskazini(eeh)
Wakaja na makiki
Lakini si tukaja na muziki(eeh)
Wowowo yeyeye
Hata wazime taa tutazidi kuparty
Wowowo yeyeye
Hizi vitu hazitakangi utiaji
Na wakiapisha tunaapisha
Na wakifunika tunafunua
Na wakianika tunaanua
Na wakisafisha tunachafua
Ayeee
Rhumba imetamba (mama yoyoyoo)
Sauti Sol in a di area kumechacha (kila corner yoyoyo)
Karibuni kwenye Extravaganza
Karibuni kwenye Extravaganza
Ayeee
Rhumba imetamba
Sauti Sol in a di area kumechacha
Karibuni kwenye Extravaganza
Karibuni kwenye Extravaganza
Why you looking for trouble trouble trouble
Hapana rusha mawe kwa police station
Kabla uwashe kivela cheki situation
Hapana shusha bendera kwa chifu
Why you looking for trouble trouble trouble
Bibi ya wenyewe is a no go zone
Kabla ukute vitu piga protection
Nairobi mwizi utageuzwa jivu
Why you looking for trouble trouble trouble
Hapana rusha mawe kwa police station
Kabla uwashe kivela cheki situation
Hapana shusha bendera kwa chifu
Why you looking for trouble trouble trouble
Bibi ya wenyewe is a no go zone
Kabla ukute vitu piga protection
Nairobi mwizi utageuzwa jivu
Writer(s): Sauti Sol, Crystal Asige, Bensoul Bensoul, Nviiri The Storyteller, Kaskazini Kaskazini
- AZLyrics
- S
- Sauti Sol Lyrics