"Acha Nikae Kimya" lyrics
"Acha Nikae Kimya"
Mama ananiambia Nasibu mi ni
Mtu mzma nawe ndo nakutegemea
Yanayotokea jaribu kupiga kimya
Usidiriki ata kuongea
Mara nasikia vya aibu Konda Gwajima
Eti ugomvi umekolea
Kuchunguza karibu ni binti mmoja
Kwa mitandao anachochea
Najariibu kunyamaza ila moyo hautakii
Unanambia eti Simba japo unguruma uisemee hakii
Ooh najaribu kunyamaza ata Lizer ataki yooh
Anasema walau nena kidogo hiih
Na mashabiki Dangote
Wananambia mbona husemi chochote ah
Si uko nao siku zote
Ama ulezi unafanya uogope ah
Na media pande zote
Wanalalama kiongozi atoke eh
Nchi inaingia matope
Niende wapi na mi mtoto wa wote
Yaani lawama
Wacha nikae kimya
Mmh nisiongee (Kimya)
Ooh ninyamaze mimi (Nikae kimya)
Nisiseme (Kimya)
Mama kaniambia (Wacha nikae kimya)
Ooh nifunge mdomo (Kimya)
Mie bado mdogo sana (Nikae kimya)
Nisiseme (Kimya)
Mmh ni mengi majaribu
Najitahidi epuka yasije nicost
Japo mengine swadakta mengine hayana maana
Rafiki kipenzi wa karibu
Hata nyimbo yake sikuweza ipost
Ila alivokamatwa iliniumiza sana
Mitandaoni kila kona
Uongo na ukweli unashonwa
Kila nyumba inanong'ona
Ah oh Tanzania
Mara kimbembe Dodoma
Bunge upinzani wamegoma
Juzi akapotea na Roma
Ohh Tanzania
Najaribu kunyamaza
Makame hataki yooh
Ananiambia walau nena kidogo
Nyumbani nafungua gate
Niende kwa Mangi nunua supergate eh
Napewa za chini ya carpet
Kuna radio imevamiwa eti eh
Napita kwenye (Magazeti)
Nakuta rundo la watu (Wameketi) eh
Badala ya kutafuta cent
Wanabishana tu mambo ya vyeti
Wacha nikae kimya
Ooh nisiongee (Kimya)
Ninyamaze Kabisa (Nikae kimya)
Eh! ulimi koma! (Kimya)
Usije kunipoonza!(Acha nikae kimya)
Nifunge bakuli langu! (Kimya)
Nikojoe nikalale! (Nikae kimya)
Mi bado mdogo sana (Kimya)
Mama kaniambia
Oh najiuliza (Waaaapi)
Najiuliza (Waaaapi)
Tunakwenda wapi (Waaaapi)
Kila siku maneno (Waaaa)
Ah tuacheni jamani (Waaapi)
Mi na we ni taifa moja (Waaapi)
Kambarage baba mmoja (Waaaapi)
Sa tofauti za nini (Waaa) tushikamane tukaijenge Tanzania
Writer(s): Naseeb Abdul Juma Issack
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
You May Also Like
Meddy - "Ntawamusimbura" Tariki ya mbere y'ukwa munani
Nibwo wambwiye (yo) akazina kawe
Kukubura umwanya muto (yo, yo)
Ni nko gusogongera ku rupfu
Yambwiye iby'umunezero (iyo), maze biramperekeza
Uri icyifuzo cy'umutima...
Lojay & Sarz - "Monalisa (Remix)" Baby follow my commanding like zombie
Go down on me o with your coca body
Follow my commanding like zombie
Go down on me o with your coca body
'Cause this your miliki for front na for me
Hol am for...
Fally Ipupa - "A Flyé" Moto oyo ba lingaka mingi na bolingo pé akoki
Ko changer avis akoma na yé rebelle loin de l'amour
A flyé, a s'envoler n'é loin de l'amour, Adolphe Muteba
Distance ya cinq mètres ekoki ko koma milles...
Rema & Shallipopi - "BENIN BOYS" They call me Shallipopi
Pluto presido
Say, say, say
Say, say, say
Say, say, say
Say, say, say (Another banger)
Touchdown Benin boys, gen-gen-gen
Money yapa, money repete (Confirm)
Remy Ekehuan road,...
Young Jonn - "Xtra Cool" Jiggy
No, uh-no
(Bang)
Oh no-no, no-no-no
(Banga)
Uloma, I dey on my ten toe
And I don tell you tire, make we dey like Xtra Cool
Oh, can we go back to the time when this loving sese bèrè?
You know I...