"Gongo La Mboto" lyrics

"Gongo La Mboto"
(feat. Mrisho Mpoto)

Poleni wale usiku hatujalala
Wale mabomu yamewapa madhara
Yalosababisha maafa viro hasara
Poleni sana ndugu zangu
Mpaka sasa hawana pakulala
Watoto bado njaa hawajala
Tuzidishe uda na maombi nyingi sala
Poleni sana ndugu zangu
Poleni wale usiku hatujalala
Wale mabomu yamewapa madhara
Yalosababisha maafa viro hasara
Poleni sana ndugu zangu
(Gongo la Mboto)
Mpaka sasa hawana pakulala
Watoto bado njaa hawajala
Tuzidishe uda na maombi nyingi sala
Poleni sana ndugu zangu

Eh! Mola ona wanao tunakwenda
Eh! Tunakwenda tunakwenda
Tunakwenda tunakwenda
Kila siku matatizo abba tushike mikono
Walosema idadi ya watu kadhaa
Eti wengine maje raha
Ona wegine wamejifungua
Masikini moja bado
Shida za maisha si usiku si mchana
Na majanga yanazidi twandama
Huku majukumu yame
Tanzania oh mama aaah!
Kuhusu maidha si usinu si mchana
Na majanga yanzidi twandama
Huku majukumu yame
Tanzania oh mama eyeee!

Poleni wale usiku hatujalala
(Hatujalala)
Wale mabomu yamewapa madhara
(Mmh madhara)
Yalosababisha maafa viro hasara
Poleni sana ndugu zangu
(Eh! Gongo la Mboto)
Mpaka sasa hawana pakulala
(Oh pakulala)
Watoto bado njaa hawajala
(Hawajala)
Tuzidishe uda na maombi nyingi sala
(Nyingi sala)
Poleni sana ndugu sana

Enyi waTanzania wazalendo wa nchii hii
Akuambiaye usikombe mboga siku zote anataka ushibe
Nani anasema usiku mmoja hauozeshi nyama
Huyo tumegeukie na kumtazame mara mbili maana ametudanganya
Pole nchi yangu, pole Tanzania, poleni sana Gongo La Mboto
Ingekua hadithi ningesema 'paukwa', nikaanza kuwaongopea
Ningekua mwana siasa ningesimama jukwaani nakuwaambia nichagueni mimi
Lakini hizi ni roho za watu haya ni maisha
Poleni sana Gongo La Mboto ndugu zangu waTanzania
Apasuaye nguo lazima awe fundi wa kushona
Kilichotokea Mbagala siku ile, watu walizani cinema kule mikoani
Lakini kule Gongo La Mboto
Hakuna aliyekumbuka viatu wala kumshika mwanae
Hakuna aliyekumbuka mume wala kumbusu mkewe
Najua Tanzania tunavuma kwa ukarimu na upole japokua ni masikini
Lakini uisikia 'puumuuu' ujue kimeshatokew Gongo La Mboto
Tudhihirishe ukarimu wetu na kuitolea Gongo La Mboto
Mungu ibariki Tanzania, mungu ibariki Gongo La Mboto (ibariki)

Eyeeee!
Poleni wale usiku hatujalala
(Hatujalala)
Wale mabomu yamewapa madhara
(Madhara)
Yalosababisha maafa viro hasara
Poleni sana ndugu zangu
(Ndugu zangu)
Mpaka sasa hawana pakulala
(Pakulala)
Watoto bado njaa hawajala
(Oh hawajala)
Tuzidishe uda na maombi nyingi sala
Poleni sana ndugu zangu


You May Also Like
Rotimi - "Love Somebody" Yeah, yeah Baby, baby, yeah My beautiful lover When will you stop standing in your own way? Yeah, yeah I'm your bridge over trouble The road you taking only leads you to pain, oh Sometimes it's...
Sauti Sol - "Suzanna" Oh Suzanna, I hope you're happy now I see you flexing on the gram with your sponsor Suzanna, I hope you're happy now I see you change your skin colour And your hair is longer now Nakuona Paris, hapo...
Fally Ipupa - "Service" Love, Love Love, Love Love, Love A vos ordres chérie Zela nano, kobanda service té Tango eza molayi, butu nionso ya lelo Zela nano, kobanda service té ye ye Tango eza molayi, butu nionso ya lelo...
Lojay & Sarz - "Monalisa (Remix)" Baby follow my commanding like zombie Go down on me o with your coca body Follow my commanding like zombie Go down on me o with your coca body 'Cause this your miliki for front na for me Hol am for...
Kusah & Harmonize - "Kama Sio" Kuishi kwingi kuna mengi Ila kama wewe bado sijamuona Baby bado sijamuona, wa kukufikia hata robo Kichwa kina mambo mengi Ila upendo wako bado nauona Nikifumba macho bado nakuona How beautiful you...