"Msumari" lyrics
"Msumari"
Ay-Ayo, Trone
Mmmh
Ni utoto tu, ila mie kwako sipindui
Ndio maana usiku nikinuna, najichekesha asubuhi
Ni ujinga tu, ila mie kwako fala
Ndiomaana usipopokea simu, siwezagi lala
Mmm, umenifunza tofauti ya kupenda na kupendana
Na kuongea sio sauti ata macho husemezana
Na mapenzi yanataka, 'imara, kuamini ana
Na mi kwako sina shaka, ewalah, utachofanya
Na hivi vi inzi, vya kuzengea wizi
Vikija anga hizi, visikunyime amani
Lala usingizi, upepo barizi
Mie mambo ya uzinzi, 'aku!, vya kazi gani, baby?
Hapo hapo ilipo mbao (Gongelea na msumari)
Oh, penzi letu tuboreshe (Gongelea na msumari)
Ezeka na bati, honey (Gongelea na msumari)
Mvua ya chuki isipenyeshwe (Gongelea na msumari)
Mm, mm-m
Oh, njiwa nenda, njiwa, 'njiwa peleka salamu (Peleka salamu)
Naivasha, Kivule, 'Mombasa zifike Lamu
Njiwa nenda, njiwa, 'njiwa peleka salamu
Ziende mpaka kwa yule, alonitesa mwanaharamu
Si alisema mimi, sitopata wa thamani
Asa hii ni nini? Muulize huyu nani
Wamebaki kutabiri si punde tutaachana
Wambie sio kwa penzi hili, mbona wataroga sana
Na hivi vi inzi, vya kuzengea wizi
Vikija anga hizi, visikunyime amani
Lala usingizi, upepo barizi
Mie mambo ya uzinzi, 'aku!, vya kazi gani, baby?
Hapo hapo ilipo mbao (Gongelea na msumari)
Oh, penzi letu tuboreshe darling (Gongelea na msumari)
Ezeka na bati, honey, oh (Gongelea na msumari)
Mvua ya chuki isipenyeshwe (Gongelea na msumari)
Mmm
Wasafi
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
You May Also Like
Harmonize - "X" Kondeboy, call me "Number one"
Nani kasema. X wangu ana enjoy
Nani kasema anapata raha
Ivi nani kasema X wangu ana enjoy
Nani kasema anapata raha
Nikimuona analewa namuelewaa
Anajiona kachelewa age...
Ayra Starr - "Commas" Na which kind life wey I never see?
I carry God, so I fear nothing
Steady increasing the commas
Comma, comma, commas
Original no be parody
E no fit clear for your memory
Whether na winter or summer,...
Mariah Carey - "Play This Song" Play this song by yourself
And your friends don't talk about it
About your suffering in your silence
Boy, I know you miss me (Listen by yourself, you can listen by your damn self)
And I can't...
Khalid - "out of body" Yeah, ah (Darkchild)
(Nah-nah-nah) Yeah, yeah
(Nah-nah-nah, nah-nah-nah) Oh-woah
(Nah-nah-nah, nah-nah-nah)
You're so conspicuous
Now I'm hauntin' you
It's too ridiculous
How bad I'm wantin' you...
DaVido - "UNAVAILABLE" Baddest
You know
Eh, eh, eh, eh
Tune into the king of sounds and blues
Initiating rage process I'm unavailable (Unavailable)
Dem no dem see me (Dem no dey see)
I'm unavailable (Unavailable)
Dem no...