"Nataka Kulewa" lyrics

"Nataka Kulewa"

We niache niende niende, niende niende
Niache niende niende, niende niende

Uh, usiniulize kwanini, sababu utanizingua
Ukitaka jiunge na mimi, kama ni pesa we kunywa nitanunua
Mi mwanzo sikuamini, nikajuaga vya kuzua
Kumbe mjinga ni mimi, ninayetunza wenzangu wanachukua
Oh mapenzi, (mapenzi) yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
Mie siwezi, walionikuta waniache nisemee jina
Oh mapenzi, (mapenzi) yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
Na nina mengi, ah yamenikaa moyoni

Leo nataka kulewa, lewa
Mi nataka kulewa, lewa
Nataka kulewa, lewa
Zikipanda nimwage radhi
Nataka kulewa, lewa
Mi nataka kulewa, lewa
Nataka kulewa, lewa
Zikipanda nimwage radhi
We niache niende niende, niende niende
Niache niende niende, niende niende

Mi kwa mapenzi maskini, nikamvisha na pete kwa kumuoa
Kukata vilimi-limi, vya wazushi wanafiki wanaomponda
Kumbe mwenzangu na mimi, ni bure tu najisumbua
Si tuko kama ishirini, mabuzi ving'asti wengine anawahonga
Oh mapenzi, (mapenzi) yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
Mie siwezi, walionikuta waniache nisemee jina
Oh mapenzi, (mapenzi) yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
Na nina mengi, ah yamenijaa moyoni

Leo nataka kulewa, lewa
Mi nataka kulewa, lewa
Nataka kulewa, lewa
Zikipanda nimwage radhi
Nataka kulewa, lewa
Mi nataka kulewa, lewa
Nataka kulewa, lewa
Zikipanda nimwage radhi
We niache niende niende, (kulewa, kulewaa) niende niende
Niache niende niende, (kulewa, kulewaa) niende niende
(Kulewa, kulewaa)
(Kulewa, kulewaa)
(Kulewa, kulewaa)


Writer(s): Diamond Platnumz
You May Also Like
Lojay & Sarz - "Monalisa" Baby follow my commanding like zombie Go down on me o with your coca body Follow my commanding like zombie Go down on me o with your coca body 'Cause this your miliki for front na for me Hol am for...
Fally Ipupa - "École" The King The Genius El Profesor École ! Lukwa eeeeh Dicaprio wa Nzambi Lukwa eeeeh Papy Shako, Djodjo Ngonda Imene Fura fura tukedibene kumisa bato eeehh Mama widi sene maho kumisa Awu matondo...
Phyno & Burna Boy - "Do I (Remix)" Yeah Oh yeah, yeah, yeah, yeah, yeah Yeah, touch down oso ga eme They know that I'm not one of them Odogwu looking like a million bucks Clean like a religious song Alhamdulilah, in God I trust Heard...
Boy Spyce & Falz - "ARISE" Oh oyinbo No use me play Ludo Where my bronze Wey you thief from Edo? My sis and bros You put for boat to go Europe Obiageli na him you turn to Nicole Uhmmm Make we do am one by one Starting from the...
Johnny Drille - "How Are You (My Friend)" I know sometimes e be like say Nobody send you That one na lie I dey for you my friend Padi no vex for me Say I never call you since But I hope that you are well I hope your market sell Everyday I...