"Nataka Kulewa" lyrics
"Nataka Kulewa"
We niache niende niende, niende niende
Niache niende niende, niende niende
Uh, usiniulize kwanini, sababu utanizingua
Ukitaka jiunge na mimi, kama ni pesa we kunywa nitanunua
Mi mwanzo sikuamini, nikajuaga vya kuzua
Kumbe mjinga ni mimi, ninayetunza wenzangu wanachukua
Oh mapenzi, (mapenzi) yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
Mie siwezi, walionikuta waniache nisemee jina
Oh mapenzi, (mapenzi) yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
Na nina mengi, ah yamenikaa moyoni
Leo nataka kulewa, lewa
Mi nataka kulewa, lewa
Nataka kulewa, lewa
Zikipanda nimwage radhi
Nataka kulewa, lewa
Mi nataka kulewa, lewa
Nataka kulewa, lewa
Zikipanda nimwage radhi
We niache niende niende, niende niende
Niache niende niende, niende niende
Mi kwa mapenzi maskini, nikamvisha na pete kwa kumuoa
Kukata vilimi-limi, vya wazushi wanafiki wanaomponda
Kumbe mwenzangu na mimi, ni bure tu najisumbua
Si tuko kama ishirini, mabuzi ving'asti wengine anawahonga
Oh mapenzi, (mapenzi) yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
Mie siwezi, walionikuta waniache nisemee jina
Oh mapenzi, (mapenzi) yalinifanya kama mtoto nilie vibaya
Na nina mengi, ah yamenijaa moyoni
Leo nataka kulewa, lewa
Mi nataka kulewa, lewa
Nataka kulewa, lewa
Zikipanda nimwage radhi
Nataka kulewa, lewa
Mi nataka kulewa, lewa
Nataka kulewa, lewa
Zikipanda nimwage radhi
We niache niende niende, (kulewa, kulewaa) niende niende
Niache niende niende, (kulewa, kulewaa) niende niende
(Kulewa, kulewaa)
(Kulewa, kulewaa)
(Kulewa, kulewaa)
Writer(s): Diamond Platnumz
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
You May Also Like
Lojay & Sarz - "Monalisa" Baby follow my commanding like zombie
Go down on me o with your coca body
Follow my commanding like zombie
Go down on me o with your coca body
'Cause this your miliki for front na for me
Hol am for...
Fally Ipupa - "École" The King
The Genius
El Profesor
École !
Lukwa eeeeh Dicaprio wa Nzambi
Lukwa eeeeh Papy Shako, Djodjo Ngonda Imene
Fura fura tukedibene kumisa bato eeehh
Mama widi sene maho kumisa
Awu matondo...
Phyno & Burna Boy - "Do I (Remix)" Yeah
Oh yeah, yeah, yeah, yeah, yeah
Yeah, touch down oso ga eme
They know that I'm not one of them
Odogwu looking like a million bucks
Clean like a religious song
Alhamdulilah, in God I trust
Heard...
Boy Spyce & Falz - "ARISE" Oh oyinbo
No use me play Ludo
Where my bronze
Wey you thief from Edo?
My sis and bros
You put for boat to go Europe
Obiageli na him you turn to Nicole
Uhmmm
Make we do am one by one
Starting from the...
Johnny Drille - "How Are You (My Friend)" I know sometimes e be like say
Nobody send you
That one na lie
I dey for you my friend
Padi no vex for me
Say I never call you since
But I hope that you are well
I hope your market sell
Everyday I...