"Bakhresa" lyrics

"Bakhresa"

(Bakhresa)
(Bakhre-Bakhre-Bakhre-Bakhre-Bakhre-Bakhresa)

Yeah
Konde boy call me number one, number one

Bila shaka haujawahi kumuona hata kwa sura
Boss wa karibia kila unacho kula
Huwezi muona kwa TV ata kwa dharula
Ingawa yeye ndo nwenye king'amuzi
Hana time na mitandao yani kuuza sura
Yupe buzy na mafao pesa mlungula
Angetaka kupita nao wote angeshakula
Hana huo muda wa makuziii
Masikini anawapa mitaji wagawane na watu wazima
Huwezi muona kwenye picha na wajane au mayatima
Hawezi kujisifia nyumba wala magari range na bimaa
Riziki anagawa muumba jalajalali kikubwa uzima
Sura yake kwako lazima itakuwa ngeni
Uwenda ushapishana nae kwenye foleni
Maana sio mtu wa kupop mashampeni
Yeye sio limbukeni yeah

Mfano wa mtu mwenye pesa
Ooh pesa aaaah
We mtazame bakhresa (bakhresa)
Mfano wa mtu mwenye pesa aah
Ooh pesa aaaah
We mtazame bakhresa (bakhresa)
I wanna smoke some weed

Uuh uuh uuh...

Bakhresa hajawahi kugombea cheo
Au kujisifu na maendeleo
Hawezi kushika pesa akazigawa
Hivi ushasikia bakhresa ana chawa
Akina tajiri mo kipenzi cha wana samba aah aah
Tunawaona insta wakicheza nakuimba aah aah aah
Gharibu boss wa yanga na GSM
Yeye ana utaratibu wa kwenda kwa mkapa kucheki game
Sio mbaya ila uwezi kumuona bakhresa akijisifu na pesa
Na majigambo rumbesa (bakhresa aah aah)
Ntanzania pekee aliyee juu ya bakhresa ni raisi
Wa jamuhuri maana yeye ni taasisi
Ooh and guess what mama yuko peace
Na ukimuona ametokea akiongea ni kwaajili yetu sisi
Wakati unajigamba wa mbezi beach
Bakhresa ana mashamba huko kijichi
Ebu acha ushamba pesa haijifichi
Eti I gat too much money am so rich

Mfano wa mtu mwenye pesa
Ooh pesa aaaah
We mtazame bakhresa (bakhresa)
Mfano wa mtu mwenye pesa
Ooh pesa aaaah
We mtazame bakhresa (bakhresa)
I wanna smoke some weed

Uuh uuh uuh...

Tell them boys we got this new money
Now we live low key baby
Jeshiii


Writer(s): Rajab Kahali
You May Also Like
Joeboy - "Baby" What I fit do to get your love Girl, I don' give you all I got but it's not enough for you Shey you fire me catapult of love Na why be say I no fit get enough of you Wetin be that Nothing I can't...
YCEE & Nanpa Básico - "Intentionally (Remix)" I know it's been long Since you found someone that's gon love you I know it's been long Since you found someone that's gon love you Intentionally, intentionally I know it's been long Since you found...
DaVido - "So Crazy" You don't call my phone (No) 'Cause your man dey there oo (Yeah) You don't want to fight You don't want no drama Me I like you gan And I wan de be oo I don't want to know, I just wan de be o Yeah...
Adekunle Gold - "Mr. Foolish" Oun fi na sori orule (You put fire on your roof) O ni o fe sun lale (You want to sleep at night) (Mr Foolish) Oun gun keke ni railway (you're riding a bicycle on a railway tracks) Awe sofe pare (My...
Patoranking - "Yo Body" Whayasay Excuse me sexy mama The feeling no normal I just wanna be the reason why dem call you mama Girl no drama Why you make me stammer Short conversation no long grammar Excuse me sexy mama What's...