"Nitaubeba" lyrics
"Nitaubeba"
Imagine uko jangwani umepotea
Mchana juani unatembea
Utokapo ni mbali uendapo ni mbali
Mara ngamia mbebaji akatokea
Na kukushusha mzigo uliokuelemea
Upate afadhali pole na safari
And that's what you did to me yote tisa ila kumi
Umeonesha maana ya upendo
Si kwa maneno bali kwa vitendo
Umeridhika na nilichonacho
Vya watu hutoleagi macho
Siku nikiwa sina twalala
Oooh baby twalala
Aaaah baby if I close my eyes mi namuomba Mungu akulinde
Na akusimamie we ndo pacha wangu mie
Eti siku hizi vipi mbona sikusikii tena
Sikusikii ukilia sikusikii ukisema
Niko busy na boo jamani nimeshasema
Niko busy na baby na msalaba wake
Nitaubeba, nitaubeba nitaubeba na ntafika nao kiume
Nitaubeba (iwe kwenye shida na raha)
Nitaubeba (ama kwenye shibe na njaa)
La kwako ndo langu my darling na ntafika nao kiume
Imagine hujifahamu umezimia umewekewa damu zinaingia
Bomba ikafunguka na huwezi hata nyanyuka
Mara dakitari wa zamu akaingia umepata fahamu unamwangalia
Machozi yanakuanguka unatamani funguka
And that's what you did to me yote tisa ila kumi unanifurahisha kwenye tendo
Au unipe penzi la magendo
Aaaah baby if I close my eyes mi namuomba Mungu akulinde
Na akusimamie we ndo pacha wangu mie
Eti siku hizi vipi mbona sikusikii tena
Sikusikii ukilia sikusikii ukisema
Niko busy na boo jamani nimeshasema
Niko busy na baby na msalaba wake
Nitaubeba, nitaubeba nitaubeba na ntafika nao kiume
Nitaubeba (iwe kwenye shida na raha)
Ntaubeba (ama kwenye shibe na njaa)
La kwako ndo langu my darling na ntafika nao kiume
Iwe kwenye shida na raha ama kwenye shibe na njaa
La kwako ndo langu my darling
Thanks to Osyhimself for correcting these lyrics.
Writer(s): Harmonize Harmonize
- AZLyrics
- H
- Harmonize Lyrics
album:
"Made For Us" (2022)
You May Also Like
Diamond Platnumz - "Sound" Shika kashika huku
Eh eh!
Kashika huku
Eh!
Shika kashiko huku
Eh!
(Ayo Lizer) Oya dance limpopo
Dance Sukusi
Do for me Soco
Make me confused
Chee!
Bring your body close to me
Haya haya!
Something...
Runtown - "Oh Oh Oh (Lucie)" Baby girl give me one chance
I say all I need is one dance
When Lucie do the dance
She could do the fire dance
When my baby do the dance
She could do the African dance eeh
Oh oh oh! Ye iye eh...
Sauti Sol - "Nenda Lote" Umetuma wazazi wako waje wanielezee
Umetuma wazazi wako waje wanielezee
Hunitaki tena
Na mashoga zako waje waniambie
Na mashoga zako waje waniambie
Ndoa tumeivunja
Siamini Kuna time singeishi bila...
Nyashinski - "Hapo Tu" Hapo tu, hapo tu, hapo tu, hapo!
(Yeah, yeah yeah yeah)
Hapo tu, hapo tu, hapo tu, hapo!
(Cedo)
Guardians tuko jaba
Wengine wako meeting
Zetu ni ma German
Zenyu pikipiki
Leo tunaenda Canaan
Beba...
Rayvanny - "Tetema" Aya twende tetema (oh, mama tetema)
Tipwatipwa tetema (oh, mama tetema)
Aya twende tetema (oh, mama tetema)
Shuka chini tetema (oh, mama tetema)
It's s2kizzy baby
Tetema yani kama umepigwa shoti...