"Fundi" lyrics
"Fundi"
Hata wajiweke filter
Uzuri wa sura yako hawatafika ooh
Mama umekamilika ooh
Wasiokupenda ona wanakunja ndita ooh
Na unajua kupika ooh
Nikishakula natamani kukulipa oh
Hakuna kitu ananificha sa'
Katongozeni nije kuwaaibisha oh
Mungu kakupendelea ndo maana unaringa
Geuka shepu ina bembea ndo maana unavimba
Na hizo dimple ukinichekea nyusi umezitinda
Nipe nitakupelekea wiki tunamimba, aah
Nikitoka leo kongoni nishuke uvinza, Aah
Ukinipa kinondoni nikuombe sinza, aah
Hizi cassava kamenyamenya
Akibana inapenya penya
Manzi wa kanairo Kenya Kenya
Kwenye giza nimekatekenya
Mtoto fundi we, fundi aah
Fundi eeh, anayajua mama
Mtoto fundi aah, fundi aah
Fundi eeh, anayajua mama
Mtoto fundi we, fundi aah
Fundi eeh, anayajua mama
Mtoto fundi aah, fundi aah
Fundi eeh, anayajuaaa
Uno la kidigo sura ya kimasai
Shepu la kinyaki afro nywele Dubai
Meno ya kichaga Oldonyo Lengai
Haikatoks, haikatai
Ma, sweety nyonya hio ka pipi
Ukikalia kwa kiti, pressure hio ni bidii
Mungu kakupendelea ndo maana unaringa
Geuka shepu ina bembea ndo maana unavimba
Na hizo dimple ukinichekea nyusi umezitinda
Nipe nitakupelekea wiki tunamimba, aah
Nikitoka leo kongoni nishuke uvinza, Aah
Ukinipa kinondoni nikuombe sinza, aah
Hizi cassava kamenyamenya
Akibana inapenya penya
Manzi wa kanairo Kenya Kenya
Kwenye giza nimekatekenya
Mtoto fundi we, fundi aah
Fundi eeh, anayajua mama
Mtoto fundi aah, fundi eeh
Fundi aahh, anayajua mama
Mtoto fundi we, fundi aah
Fundi eeh, anayajua mama
Mtoto fundi aah, fundi eeh
Fundi aah, anayajua mama
KamixLizer
Writer(s): Raymond Mwakyusa, Iraju Mjege
- AZLyrics
- R
- Rayvanny Lyrics
album:
"Flowers II" (2022)
You May Also Like
Harmonize - "Deka" Brother acha ujinga
Motto wa kike sifa yake kuringa
Ubahiri mwisho iringa uoni kina konde boy
Wanavyo mwaga mandinga mmmh
Kajala one and two ten azote ni range
Mwenzetu umetuma ka laki tu na bado...
Noizy - "Pa Mu" A thu qa kishe ba ti pa mu
A thu qa kishe ba ti pa mu
Athu qa kisha ba un pa ty
A thu qa kisha ba un pa ty
CauseI want you right now
I want you right now
Zemer qa don ti
I want you right now
I want...
Lasmid - "Atele" (Charger)
(Craaaaze)
(Na na na...)
Be my bebe
I do want ya
Be my baby e
I do want ya
Be my mother ei
Yeah
Oh baby
I don't wanna be a womanizer please
Don't you turn me down, I wanna be the gee
You...
JAE5 - "Propeller (Remix)" (JAE5)
Oh-oh-oh-oh, yeah-yeah-yeah
Woah, woah-oh-ayy-ayy
Oh-oh-oh, say
Been a long time since I learnt to put rhymes together
Spin 'round your block, I'm a big propeller
Came with my team, I came...
Diamond Platnumz - "Unachezaje" Ladies and gentleman
Now the moment you've all been waiting for
The world famous...
Eh eh
Zombe, oh
S2Kizzy, baby
Aga
Mfukoni nina kiti (mati)
Mkononi kai (mati)
Nasikia kuna kiki (wapi?)
Nije...