"Hongera" lyrics
"Hongera"
Hongera unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama leo
Hongera unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama leo
Furaha pande zote
Sio kwa babu bibi baba mama
Imekuja baraka kwenu
Kwa kuwa umemleta mwana
Teamo tato wewe na yeye mnaendana
Mpate katoto halfcast
Kikawaite baba na mama
Nikiona tumbo lako tabasamu lako
Kweli kitanda hakiongepei
Nasubiri siku yako uzae baby wako
Zawadi kemkem tupokee
Uzuri wa sura yako na mtoto wako
Kweli damu haiongopei
Nikiona pua yako mdomo pua yako
Hakuna haja ya DNA
Hongera unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama leo
Hongera unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama leo
Mbona najua leba ni mateso
Vumila uta-settle kuwa mama kitu special
Mtoto taifa la kesho
Kama alivyokupenda mama
Na wewe mpende mwanao
Mtaishi kama mko peponi
Upendo wako ukiwa ngao
Na mapenzi ya wazazi yadumu sana
Ugomvi achana nao
Mpendane toka moyoni
Msiishie kwa mtandao
Nikiona tumbo lako tabasamu lako
Kweli kitanda hakiongepei
Nasubiri siku yako uzae baby wako
Zawadi kemkem tupokee
Uzuri wa sura yako na mtoto wako
Kweli damu haiongopei
Nikiona pua yako mdomo pua yako
Hakuna haja ya DNA
Hongera unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama leo
Hongera unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama leo
- AZLyrics
- R
- Rayvanny Lyrics
You May Also Like
Diamond Platnumz - "Mtasubiri" Mmmh mmmh mmmh
Eeh nini sasa
Eti amina, dua zimeitikiwa
Ashtuti nije kupa mali yako
Ooh fanya hima, mwenzako nimezidiwa
Mahututi nasubiri tiba yako
Na nisipo kuona na raha nakosa
Situlii mpaka...
Burna Boy - "Odogwu" It's Kel P vibes
Uh
When I reach Igbo land them calling me Odogwu (Odogwu)
And as I enter the town I put am for agu (Odogwu)
And nobody can stop you, na so we dey fly pass oh
Over any obstacle e be...
Shreya Ghoshal - "Saiyaara Reprise - Female" Hmm-mm-mm, hmm-mm-mm
Aa-aa-aa, aa-aa-aa
Main tere kal mein hoon, aaj mein hoon
Main teri saanson ke saaz mein hoon
Aankhein jhuka ke sunle mujhe tu
Main tere dil ki aawaz mein hoon
Tu hausla hai, tu...
Zeina - "Ya Hala" Call me habibti
I'm from the Middle East
Before you see me
You hear my jewelry
And I'm a sweet girl but I'm spicy
I'mma take over the world
Even if they don't like me ah
Dubai to Casablanca
Stamps...