"Hongera" lyrics

"Hongera"

Hongera unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama leo
Hongera unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama leo

Furaha pande zote
Sio kwa babu bibi baba mama
Imekuja baraka kwenu
Kwa kuwa umemleta mwana
Teamo tato wewe na yeye mnaendana
Mpate katoto halfcast
Kikawaite baba na mama

Nikiona tumbo lako tabasamu lako
Kweli kitanda hakiongepei
Nasubiri siku yako uzae baby wako
Zawadi kemkem tupokee
Uzuri wa sura yako na mtoto wako
Kweli damu haiongopei
Nikiona pua yako mdomo pua yako
Hakuna haja ya DNA

Hongera unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama leo
Hongera unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama leo

Mbona najua leba ni mateso
Vumila uta-settle kuwa mama kitu special
Mtoto taifa la kesho
Kama alivyokupenda mama
Na wewe mpende mwanao
Mtaishi kama mko peponi
Upendo wako ukiwa ngao
Na mapenzi ya wazazi yadumu sana
Ugomvi achana nao
Mpendane toka moyoni
Msiishie kwa mtandao

Nikiona tumbo lako tabasamu lako
Kweli kitanda hakiongepei
Nasubiri siku yako uzae baby wako
Zawadi kemkem tupokee
Uzuri wa sura yako na mtoto wako
Kweli damu haiongopei
Nikiona pua yako mdomo pua yako
Hakuna haja ya DNA

Hongera unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama leo
Hongera unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama unaitwa mama
Unaitwa mama leo


You May Also Like
Diamond Platnumz - "Mtasubiri" Mmmh mmmh mmmh Eeh nini sasa Eti amina, dua zimeitikiwa Ashtuti nije kupa mali yako Ooh fanya hima, mwenzako nimezidiwa Mahututi nasubiri tiba yako Na nisipo kuona na raha nakosa Situlii mpaka...
Burna Boy - "Odogwu" It's Kel P vibes Uh When I reach Igbo land them calling me Odogwu (Odogwu) And as I enter the town I put am for agu (Odogwu) And nobody can stop you, na so we dey fly pass oh Over any obstacle e be...
Shreya Ghoshal - "Saiyaara Reprise - Female" Hmm-mm-mm, hmm-mm-mm Aa-aa-aa, aa-aa-aa Main tere kal mein hoon, aaj mein hoon Main teri saanson ke saaz mein hoon Aankhein jhuka ke sunle mujhe tu Main tere dil ki aawaz mein hoon Tu hausla hai, tu...
Neeti Mohan, Akasa Singh & Darshan Raval - "Kheech Meri Photo" Mood aashiqana hai Subah ghar jaana hai Tune kaisa jaadu hai kiya Lamha ye suhaana hai Time nahi gawaana hai Jeene ka mazaa le sathiya Tu kheech meri photo Tu kheech meri photo Tu kheech meri photo...
Zeina - "Ya Hala" Call me habibti I'm from the Middle East Before you see me You hear my jewelry And I'm a sweet girl but I'm spicy I'mma take over the world Even if they don't like me ah Dubai to Casablanca Stamps...