"Mtasubiri" lyrics
"Mtasubiri"
(feat. Zuchu)
Mmmh mmmh mmmh
Eeh nini sasa
Eti amina, dua zimeitikiwa
Ashtuti nije kupa mali yako
Ooh fanya hima, mwenzako nimezidiwa
Mahututi nasubiri tiba yako
Na nisipo kuona na raha nakosa
Situlii mpaka unikumbate darling
Ooh
Kiranga chote mi koma, ukianza dear
Shughuri kwisha yangu habari
Eti unanipenda mi (mmnh)
Unanitaka pia (mmnh)
Unaniamini (mmnh)
Na umeniridhia
Oh unanipenda mimi (mmnh)
Unanitaka pia (mmnh)
Unaniamini (mmnh)
Na umeniridhia
Mnasubiri tuachane
Ooh mtangoja
Mtasubiri sana mtasubiri
Wanasubiri tuachane
Mtasubiri sana mtasubiri
Vuten kiti mkae
Mtasubiri sana mtasubiri
Ooh baby mi mwenzako njiwa wakufugwa
Ooh baby vya chakuchaku vitanifuja
Ooh baby mie wa pwani mzawa wa unguja
Ooh baby penzi laini sitoi buja
Na moyo nishaweka kwako nanga
Wanajisumbua kukesha kwa waganga
Na presha zitaqwashuka na kupanda
Tena deka we shaukwa baby tamba
Eti unanipenda mi (mmnh)
Unanitaka pia (mmnh)
Unaniamini (mmnh)
Na umeniridhia
Oh unanipenda mimi (mmnh)
Unanitaka pia (mmnh)
Unaniamini (mmnh)
Na umeniridhia
Mnasubiri tuachane
Mtasubiri sana mtasubiri
Mtakesha
Mtasubir sana mtasubiri
Mtandike jamvi mukae
Mtasubiri sana mtasubiri
Mtangoja sana
Wanasema eti umeniroga
Ni kweli ila inawahusu nini
Hunipendi ila unanichuna
Ni kweli ila inawahusu nini
Eti wanasema wewe ni kicheche
Ni kweli ila inawahusu nini
Utanichezea kesho uniache
Ni kweli ila inawahusu nini
Thanks to STONETOWNBOY for adding these lyrics.
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
album:
"First Of All" (2022)
You May Also Like
Joeboy - "Sip (Alcohol)" Mad
We no go fall
We ah go go, we go win
You you go know
All of the blessings fall on my yard
Blessings dey for my yard
And like that
E go be, e go see, you go feel am
Because the blessings fall on...
Harmonize - "Anajikosha" (This one is a banger)
Ahaahahaha Jeshi, awiii!
(Daxo Chali)
Anajiko, anajikosha
Anajikoo, anajikosha
Anajiko, anajikosha
Anajikoo, anajikosha
Jumamosi kakesha analewa
Jumapili kanisani,...
Sauti Sol - "Afrikan Star" Yea yea yea yea...
Oh yeah yeah...
Yeah!
You got it all going on with your body
You got it all baby
Your papa Uganda, your mama Burundi
My African star baby na
Umeumbwa ukaumbika, yeah
Sura, shepu...
Simi - "Duduke" First let me say to you
I can not wait to see you
You are the treasure I've been waiting for
Do you know, do you know
How much I really need you
I dey pray for the day when I can finally kiss you...
Olakira & DaVido - "Maserati (Remix)" Ye, Olakira kirikata, baby
Let's hop in my Maserati
Baby, hop in my Maserati
I say hop in my Maserati
Hop in my Maserati
Girl, I wanna see you go down yeh
Say me I love the way you gbe body
Hop in...