"Mtasubiri" lyrics

"Mtasubiri"
(feat. Zuchu)

Mmmh mmmh mmmh

Eeh nini sasa

Eti amina, dua zimeitikiwa
Ashtuti nije kupa mali yako
Ooh fanya hima, mwenzako nimezidiwa
Mahututi nasubiri tiba yako
Na nisipo kuona na raha nakosa
Situlii mpaka unikumbate darling
Ooh
Kiranga chote mi koma, ukianza dear
Shughuri kwisha yangu habari

Eti unanipenda mi (mmnh)
Unanitaka pia (mmnh)
Unaniamini (mmnh)
Na umeniridhia
Oh unanipenda mimi (mmnh)
Unanitaka pia (mmnh)
Unaniamini (mmnh)
Na umeniridhia

Mnasubiri tuachane
Ooh mtangoja
Mtasubiri sana mtasubiri
Wanasubiri tuachane
Mtasubiri sana mtasubiri
Vuten kiti mkae
Mtasubiri sana mtasubiri

Ooh baby mi mwenzako njiwa wakufugwa
Ooh baby vya chakuchaku vitanifuja
Ooh baby mie wa pwani mzawa wa unguja
Ooh baby penzi laini sitoi buja
Na moyo nishaweka kwako nanga
Wanajisumbua kukesha kwa waganga
Na presha zitaqwashuka na kupanda
Tena deka we shaukwa baby tamba

Eti unanipenda mi (mmnh)
Unanitaka pia (mmnh)
Unaniamini (mmnh)
Na umeniridhia
Oh unanipenda mimi (mmnh)
Unanitaka pia (mmnh)
Unaniamini (mmnh)
Na umeniridhia

Mnasubiri tuachane
Mtasubiri sana mtasubiri
Mtakesha
Mtasubir sana mtasubiri
Mtandike jamvi mukae
Mtasubiri sana mtasubiri
Mtangoja sana

Wanasema eti umeniroga
Ni kweli ila inawahusu nini
Hunipendi ila unanichuna
Ni kweli ila inawahusu nini
Eti wanasema wewe ni kicheche
Ni kweli ila inawahusu nini
Utanichezea kesho uniache
Ni kweli ila inawahusu nini


Thanks to STONETOWNBOY for adding these lyrics.
album: "First Of All" (2022)
Diamond Platnumz - First Of All album cover
You May Also Like
Joeboy - "Sip (Alcohol)" Mad We no go fall We ah go go, we go win You you go know All of the blessings fall on my yard Blessings dey for my yard And like that E go be, e go see, you go feel am Because the blessings fall on...
Harmonize - "Anajikosha" (This one is a banger) Ahaahahaha Jeshi, awiii! (Daxo Chali) Anajiko, anajikosha Anajikoo, anajikosha Anajiko, anajikosha Anajikoo, anajikosha Jumamosi kakesha analewa Jumapili kanisani,...
Sauti Sol - "Afrikan Star" Yea yea yea yea... Oh yeah yeah... Yeah! You got it all going on with your body You got it all baby Your papa Uganda, your mama Burundi My African star baby na Umeumbwa ukaumbika, yeah Sura, shepu...
Simi - "Duduke" First let me say to you I can not wait to see you You are the treasure I've been waiting for Do you know, do you know How much I really need you I dey pray for the day when I can finally kiss you...
Olakira & DaVido - "Maserati (Remix)" Ye, Olakira kirikata, baby Let's hop in my Maserati Baby, hop in my Maserati I say hop in my Maserati Hop in my Maserati Girl, I wanna see you go down yeh Say me I love the way you gbe body Hop in...