"Mchepuko" lyrics
"Mchepuko"
(feat. Phina)
Mtoto wa kike punguza sifa
Unavyojituma hadi unatoa mishipa
Wana ni wangu ila unavyojipandisha
Viuno ni vingi chunga isije katika
Hujui kama tuko kwenye ndoa
Au umepanga kunikomoa
Unavyomganda hadi unaboa
Na una waganga kila mkoa
Anakusifia kiuno
Na unavyotoa miguno
Wake mfano sugunyo
Hadi unasahau kurudi nyumbani
Una mafuta na asali
Ukipandaga hushuki una hatari
Uvunguni juu ya dari
Leo nimekufuma hii show utakubali
Mchepuko mchepuko we
Mchepuko niachie baby wangu
Mchepuko mchepuko we
Mchepuko hebu muache mume wangu
Sa nisikilize bibi koma
Simu za usiku zimezidu koma
Unajifanya Beyonce wa kijiji koma
Eti una viuno vya Shakira koma
Hujui unanitia hasira eeeh
Ntakukata shingo
Baby hasira hasara
Usikunje ngumi acha kuchimba mikwara
Huyu anaitwa Sara
Mtoto wa dada kutoka Mbezi Kimara
Basi punguza papara
Viwembe vya nini umnyoe mwenzio kipara
Wanawake wawili msala
Nimejua ninu kilimshinda Manara
Iiih si wanaume eeeh
Si wanaume eeeh
Sio wasaliti mnatusingizia
Si wanaume eeeh
Si wanaume eeeh
Ni vishawishi ndo vinatuzingua
Baby acha basi minuno
Unataka vunja mtu kiuno
Kuchwa visa sio mfumo
Usije kuua uende gerezani
Umechafukwa una makali
Mama usinimwagie tindikali
Hiyo bunduki ni hatari
Ona mtoto wa kike huogopi serikali
Mchepuko mchepuko we
Mchepuko niachie baby wangu
Mchepuko mchepuko we
Mchepuko hebu muache mume wangu
Sa nisikilize bibi koma
Simu za usiku zimezidu koma
Unajifanya Beyonce wa kijiji koma
Eti una viuno vya Shakira koma
Hujui unanitia hasira eeeh
Ntakukata shingo
- AZLyrics
- R
- Rayvanny Lyrics
album:
"Flowers III" (2023)
You May Also Like
Yll Limani & Noizy - "ALKOOL" Aj-aj-aj-aj
Uuu, uh-uh
Aj-aj-aj-aj
(PANDA)
S'pe di ça m'ke bo
Veç po du me t'pa apet, apet
Po m'lëndon po zemra t'lyp ty apet
Unë po t'lutna apet
Mas teje hupa
A vjen? A vjen? A vjen?
Se nuk po muj...
Diamond Platnumz - "Haunisumbui" Si Kokoko Si Kandambili
Yani Vyote Havikupendezi
Mwana Ngoko Usonawili
Tope Bin Uterezi
Utaishia Kututabiri Tubomoke
Inasonga Miezi
Mola Amesha Takabiri
Usijichoshe Halivunjiki Penzi
Ona! Umekosa...
Claydee - "Gitana" Mirada muy misteriosas
Su cara nadie puede olvidar
Labios rojos que te va quemar
Mi corazón ella sé va llevar
Mujer
Guarda tu amor por mi
Yo se, que andas por ahí
Pero mujer
Guarda tu amor por mi...
JuL - "Grazie La Zone" Fru sulla cabriolet
Lei tiene le chose nella pochette
Stasera il tramonto è violette
Lui torna al lavoro in salopette
I suoi occhi blu come il mar
Porta kit kit vite vite
Cose brutte lo so mamma per...
Libianca - "People" Oh-oh-oh-oh
Mhmm, mhmm
From Bamenda, it's Libianca
Oh-oh (A-yo, Mage, it's yo' beat)
I've been drinking more alcohol for the past five days
Did you check on me?
Now, did you look for me?
I walked in...