"Mchepuko" lyrics

"Mchepuko"
(feat. Phina)

Mtoto wa kike punguza sifa
Unavyojituma hadi unatoa mishipa
Wana ni wangu ila unavyojipandisha
Viuno ni vingi chunga isije katika
Hujui kama tuko kwenye ndoa
Au umepanga kunikomoa
Unavyomganda hadi unaboa
Na una waganga kila mkoa

Anakusifia kiuno
Na unavyotoa miguno
Wake mfano sugunyo
Hadi unasahau kurudi nyumbani

Una mafuta na asali
Ukipandaga hushuki una hatari
Uvunguni juu ya dari
Leo nimekufuma hii show utakubali

Mchepuko mchepuko we
Mchepuko niachie baby wangu
Mchepuko mchepuko we
Mchepuko hebu muache mume wangu
Sa nisikilize bibi koma
Simu za usiku zimezidu koma
Unajifanya Beyonce wa kijiji koma
Eti una viuno vya Shakira koma
Hujui unanitia hasira eeeh
Ntakukata shingo

Baby hasira hasara
Usikunje ngumi acha kuchimba mikwara
Huyu anaitwa Sara
Mtoto wa dada kutoka Mbezi Kimara
Basi punguza papara
Viwembe vya nini umnyoe mwenzio kipara
Wanawake wawili msala
Nimejua ninu kilimshinda Manara

Iiih si wanaume eeeh
Si wanaume eeeh
Sio wasaliti mnatusingizia
Si wanaume eeeh
Si wanaume eeeh
Ni vishawishi ndo vinatuzingua

Baby acha basi minuno
Unataka vunja mtu kiuno
Kuchwa visa sio mfumo
Usije kuua uende gerezani

Umechafukwa una makali
Mama usinimwagie tindikali
Hiyo bunduki ni hatari
Ona mtoto wa kike huogopi serikali

Mchepuko mchepuko we
Mchepuko niachie baby wangu
Mchepuko mchepuko we
Mchepuko hebu muache mume wangu
Sa nisikilize bibi koma
Simu za usiku zimezidu koma
Unajifanya Beyonce wa kijiji koma
Eti una viuno vya Shakira koma
Hujui unanitia hasira eeeh
Ntakukata shingo


You May Also Like
Yll Limani & Noizy - "ALKOOL" Aj-aj-aj-aj Uuu, uh-uh Aj-aj-aj-aj (PANDA) S'pe di ça m'ke bo Veç po du me t'pa apet, apet Po m'lëndon po zemra t'lyp ty apet Unë po t'lutna apet Mas teje hupa A vjen? A vjen? A vjen? Se nuk po muj...
Diamond Platnumz - "Haunisumbui" Si Kokoko Si Kandambili Yani Vyote Havikupendezi Mwana Ngoko Usonawili Tope Bin Uterezi Utaishia Kututabiri Tubomoke Inasonga Miezi Mola Amesha Takabiri Usijichoshe Halivunjiki Penzi Ona! Umekosa...
Claydee - "Gitana" Mirada muy misteriosas Su cara nadie puede olvidar Labios rojos que te va quemar Mi corazón ella sé va llevar Mujer Guarda tu amor por mi Yo se, que andas por ahí Pero mujer Guarda tu amor por mi...
JuL - "Grazie La Zone" Fru sulla cabriolet Lei tiene le chose nella pochette Stasera il tramonto è violette Lui torna al lavoro in salopette I suoi occhi blu come il mar Porta kit kit vite vite Cose brutte lo so mamma per...
Libianca - "People" Oh-oh-oh-oh Mhmm, mhmm From Bamenda, it's Libianca Oh-oh (A-yo, Mage, it's yo' beat) I've been drinking more alcohol for the past five days Did you check on me? Now, did you look for me? I walked in...