"Mkeka Umetiki" lyrics
"Mkeka Umetiki"
Shemeji yenu kanuna wala hacheki
Kaondoka nyumbani sababu ninabeti
Mikeka inabuma kila nikiseti
Sa leo muindi kajichanganya kudadadeki
Oya nilishatia jamvi mechi nacheki kwa TV
Nikampa Barcelona huku nikampa Chelsea
Manu Arsenal nikaomba watoe GG
Nawashukuru Madrid wamenipa over ya three
We mama mtu rudi nyumbani mkeka umetiki
We mama mtu rudi magetoni mkeka umetiki
We mama mtu rudi nyumbani mkeka umetiki
We mama mtu nyumbani kumenoga mkeka umetiki
Utanunua abaya sio kijora mtoto
Request bajaji mama tuna mtoko
Muindi kakanyaga leo nauwasha moto
Na huoni mkeka wa kulia kuna wa kushoto
Nilivyompania kaji bahi wala hakuchomoa ngo'
Wanacheza Man City sa Haaland hapo anakosaje goal
Liverpool yuko nyumbani ni hatari watampiga mtu four
Cashout sitaki PSG nataka ashinde adraw
Huu mkeka umetoa sa mambo na haingai
Hizi shida ndogo ndogo nyumbani bye bye
Na leo na upwiru basi fanya uhai
Rudi sitaki nikucheat kuna mauti
Mama rudi nyumbani mkeka umetiki
We mama mtu rudi magetoni mkeka umetiki
We mama mtu rudi nyumbani mkeka umetiki
We mama mtu nyumbani kumenoga mkeka umetiki
- AZLyrics
- R
- Rayvanny Lyrics
You May Also Like
Diamond Platnumz - "Msumari" Ay-Ayo, Trone
Mmmh
Ni utoto tu, ila mie kwako sipindui
Ndio maana usiku nikinuna, najichekesha asubuhi
Ni ujinga tu, ila mie kwako fala
Ndiomaana usipopokea simu, siwezagi lala
Mmm, umenifunza...
Tayc - "D O D O" Iiiiiii-Iiiiii-Iiiiii-Iiiiii-yeah
Dodo, umh
Ce soir pas de dodo, yeah
Iiiiiii-Iiiiii-Iiiiii-Iiiiii-yeah (Tayc de Tayc)
Dodo, umh
Ce soir pas de dodo
Iiiiiii-Iiiiii-Iiiiii-Iiiiii-yeah (yeah, yeah,...
Skiibii - "Sensima" Gbefun eh o collect
Owole owo net
Kpakam body too correct
Oh no no no
Erima no forget
Moniko gbefun
O collect
Owole owo net
Kpakam body too correct
She say she love me
Eyan loveth
Sensima why you dey...
KiDi - "Say Cheese" Mmm, Sugar Daddy
(This be Kayso from Tema)
I got a girl, she a London ting
She wanna roll one, smoke one ting
I want to give her a diamond ring
But she say all the girls like my ting
She make my...
Diamond Platnumz - "Yatapita" Yatapita yana mwisho
Ipo siku tutayasahau, watatuheshimu walio tudharau
Kaza moyo, nivumilie
Amini tutayasahau
Watatuheshimu walio tudharau (Wote)
Na ntakununulia (Vyote)
Mawigi na simu (Vyote)...