"Nyamaza" lyrics
"Nyamaza"
Weka pombe sigara chini subiri tuongee
Zima kijiti marijuana za nini? Ngoja tuongee
Mbona ulisema mengi ukitaka nipotee
Sa umefanya nini? Na ulisema nini wala usijitetee
Macho hayana pazia
Nilimwona navutia
Naye kanikubalia
Kumbe moyoni unaumia
Dunia imejaa visanga
Ubinadamu umekuwa majanga
Tembo amefungwa kwa banda
Anataka kula kuku pia na vifaranga
Mungu tu akusamehe
Wewe ni kama ndugu yangu
Upunguze ma ugali
Uadui wa nini mwenzangu we
Ukitenda kosa na haujaomba radhi unakosea (Kosea)
Mama yake mzazi huruma ungemwonea (Mwonea)
Chunga kinywa kiwe na kituo
Hekima ndo iwe funguo
Maneno ya nini? Unajivua nguo
Kumbuka ulimwengu ni kama chuo
Ungenyamaza, bora ungenyamaza
Kaa kimya kama huna la maaana
Ungenyamaza, bora ungenyamaza
Ukikosa heshima bora kukaa kimya
Ungenyamaza, bora ungenyamaza
Bora ungenyamaza
Ungenyamaza tu, bora ungenyamaza
Kuwa muungwana
Mmmmh hasira hasara
Mimi ni ndugu yako kanitoa kafara
Ukakesha hukutaka kulala
Ukipambana niharibikiwe kaka wa Mtwara
Ukasahau mapenzi ni siri
Tena siri ya wawili
Kilichokuponza maadili
Tamaa ukashindwa isitiri
Tunza heshima yako
Na mashabiki wako hadi mbungeni
Na unapotongoza warembo
Boxer usiweke pembeni
Macho hayana pazia
Nilimwona navutia
Naye kanikubalia
Kumbe moyoni unaumia
Ukitenda kosa na haujaomba radhi unakosea (Kosea)
Mama yake mzazi huruma ungemwonea (Mwonea)
Chunga kinywa kiwe na kituo
Hekima ndo iwe funguo
Maneno ya nini? Unajivua nguo
Kumbuka ulimwengu ni kama chuo
Ungenyamaza, bora ungenyamaza
Kaa kimya kama huna la maaana
Ungenyamaza, bora ungenyamaza
Ukikosa heshima bora kukaa kimya
Ungenyamaza, bora ungenyamaza
Bora ungenyamaza
Ungenyamaza tu, bora ungenyamaza
Kuwa muungwana
Writer(s): Raymond Shaban Mwakyusa, Jacob Emmanuel Mabala
- AZLyrics
- R
- Rayvanny Lyrics
You May Also Like
Diamond Platnumz - "IYO" Aah! tchu!
Tchu! tchu tchu tchu! tchu!
Ewena ewe, (S2Kizzy Baby)
Wambie, wa wambie sie (Woza)
Wambie tutalala kesho
Eweee!, eeh...
Wale Twaruka Priii...
Ewena Maan!... Ashi!
Ase Trap Tse Ke Pina Tsa...
KiDi - "Touch It" Sugar Daddy
Yeah yeah
Puff puff pass, my Mary Jane
I'm high on life wanna meditate
So allow me make I enjoy life
Cos problem no dey finish oh wey
Everyday different wahala
Problem no dey finish oh...
Tayc - "D O D O" Iiiiiii-Iiiiii-Iiiiii-Iiiiii-yeah
Dodo, umh
Ce soir pas de dodo, yeah
Iiiiiii-Iiiiii-Iiiiii-Iiiiii-yeah (Tayc de Tayc)
Dodo, umh
Ce soir pas de dodo
Iiiiiii-Iiiiii-Iiiiii-Iiiiii-yeah (yeah, yeah,...
Babyboy AV - "Big Thug Boys" Ladies and gentlemen
(AV)
If you get a woman, hold am tight oh
Me and my guys, we dey for bike oh
Na her location dey for mind oh
If you leave your woman, she go off pant oh
No be lie oh
We go use...
Rema - "Dumebi" (Ozedikus nwanne)
Another banger!
Make I pon, make I pon pon pon
Make I come
Make I give her the pon pon pon
Your body kakara make I pon pon pon
Onome get e
Ki lo fe omote je ogede (aha)
Fine fine...