"Sikupendi" lyrics
"Sikupendi"
Sikupendi... (hmmmm)
Sikupendi... (aaaahh)
Sikupendi... (eeeehh)
Sikupendi (Max Maixer)
Sikupendi
Kichwa wanipasua, unanichapa fimbo
Moyoni napata tabu
Unajishaua unamalingo
Kama una sura ya Dhahabu
Ni miaka sasa nakufata
Ndala zangu zote umekata
Kutoka tegeta hadi tabata
Mpaka visigino vimechacha
Mara nasikia kuna bakari kinyozi
Ulishampa Hadi kaka yake Rose
Kwani we ni pilipili unitoe machozi
Nikikufata waniletea mapozi
Mapenzi uvumilivu unajua
Ila kwako numeshidwa
Upendo sasa majivu umeungua
Basi mama we ndo Bima
Oooh mamy looh (Sikupendi)
Utanitoa roho (Sikupendi)
Kila siku jibu lako no (Sikupendi)
Sikutamani ng'o (Sikupendi )
Naonyesha dhahili (Sikupendi)
Sikutamani tena (Sikupendi)
Nimeghaili (Sikupendi)
Na kwen siji tena (Sikupendi)
Hadi nahisi gundu mzee mwenzenu
Kila mambo nikiset
Nimegeuka mlinzi nyumbani kwenu
Kila siku kwenye geti
Nilikufata mpaka kigogo
Kwenye shughuri yake mama Asha Modo
Ukanitukana matusi nina shobo
Pembeni yupo bwana yako Bengo Chogo
Akanitimba migumi kede kede
Nikawa mjinga tena bwege bwege
Kama nimetinga pombe bege bege
Alinishinda nikawa lege lege
Heee eeeh
Nakata tamaa kuwa nawe
Nikirudisha kumbukumbu
Nilipo kuona na masawe
Kwenye guest ya manungu
Ulifanya nipagawe
Kwa mawazo na uchungu
Nilikesha nje oh mama wee
Nikawa chakula cha mbu
Mapenzi uvumilivu unajua
Ila kwako numeshidwa
Upendo sasa majivu umeungua
Basi mama we ndo Bima
Oooh mamy looh (Sikupendi)
Utanitoa roho (Sikupendi)
Kila siku jibu lako no (Sikupendi)
Sikutamani ng'o (Sikupendi )
Naonyesha dhahili (Sikupendi)
Sikutamani tena (Sikupendi)
Nimeghaili (Sikupendi)
Na kwen siji tena (Sikupendi)
Oooh mamy looh (Sikupendi)
Utanitoa roho (Sikupendi)
Kila siku jibu lako no (Sikupendi)
Sikutamani ng'o (Sikupendi )
Naonyesha dhahili (Sikupendi)
Sikutamani tena (Sikupendi)
Nimeghaili (Sikupendi)
Na kwen siji tena (Sikupendi)
Writer(s): Raymond Mwakyusa
- AZLyrics
- R
- Rayvanny Lyrics
You May Also Like
Diamond Platnumz - "Sijaona" Ati niende kwa mganga
Ntoe doti za kanga
Ama nikufunge kamba
Ntadanganya mie eh
Nyumbani nifuge mamba
Mara mlinzi kwa panga
Kuchunga usije danga
Uwongo nisikwambie
Moyo wangu
Usiufanye njia oh...
Ibraah & Harmonize - "Dharau" Bomboclaat
Chinga again
Konde music worldwide
Mungu alonipa ukilema hawezi nunyima mwendo
Na Sikupanga imenibidi kulivua pendo
Maana mwanzo nilidhani utabadilika
Of course hakuna aliekamilika
Masaaa...
Skiibii - "Sensima" Gbefun eh o collect
Owole owo net
Kpakam body too correct
Oh no no no
Erima no forget
Moniko gbefun
O collect
Owole owo net
Kpakam body too correct
She say she love me
Eyan loveth
Sensima why you dey...
Lojay & Sarz - "Monalisa (Remix)" Baby follow my commanding like zombie
Go down on me o with your coca body
Follow my commanding like zombie
Go down on me o with your coca body
'Cause this your miliki for front na for me
Hol am for...
Omah Lay - "Lo Lo" I just want lo lo (I just want to love you)
I just want lo lo (I just want to love you)
I just want lo love you (I just want to love you)
I just want lo lo
I just want lo lo
I just want lo lo
I just...