"Baila" lyrics

"Baila"
(feat. Miri Ben-Ari)

Kama unanipenda sana
Umaarufu weka mbali
Na ile nyumba ni ya mama
Hivyo usiwaze madale
Isiwe kesho madrama
Napigiwa simu na tale
Hadi insta natukanwa
Umeshaanzisha kwale

Moyo wangu
Mwepesi kupenda ila ngumu kusahau
Moyo wangu
Nateseka sana nayempenda akinidharau
Moyo wangu
Hodari wa kugawa wa kunipa sina
Moyo wangu
Ndio maana nasisitiza usije na wewe

Baila baila baila
Baila baila baila
Baila baila baila
Baila mama
Baila baila baila
Baila baila baila
Baila baila baila
Baila mama

Muziki vita
Hawataki niendelee
Hivyo ukipata nafasi
Tafadhali niombee
Na nyumbani visa
Ndugu zangu wazoee
Itaniumiza nafsi
Ikifikia musiongee
Na mashemeji kwa ofisi unapocheka nao
Tahadhari sana
Si unajua wanamuziki vitabia vyao
Wamejawa tamaa
Oh na! na dada zangu mawifi
Chunga nyendo zao
Usipelekwe mlama
Wakikwambia kaniki mara chota nyayo
Jua mumewe nakwama, ah...

Utamu wa big g ni kutafuna
Usimeze uroda
Ongeza tu bidii kunikuna
Sio kuniroga
Kunikomba zaidi
Pika nguna nitaleta mboga
Unipe na kabibi kwetu suna
Nishushie na soda

Moyo wangu
Mwepesi kupenda ila ngumu kusahau
Moyo wangu
Nateseka sana nayempenda akinidharau
Moyo wangu
Hodari wa kugawa wa kunipa sina
Moyo wangu
Ndio maana nasisitiza usije na wewe

Baila baila baila (oh bailando oh)
Baila baila baila (baila kipenzi)
Baila baila baila (eeh eeh)
Baila mama (bailando oh)
Baila baila baila (baila kidogo)
Baila baila baila (baila nione)
Baila baila baila (eeh eeh)
Baila mama (bailando oh)

Usiseme u love me
Then you lying
Usiseme u love me
Then you lying
Usiseme u love me
Then you lying
Usiseme u love me
Then you lying

Baila baila baila
Baila baila baila
Baila baila baila
Baila mama
Baila baila baila (oh baila)
Baila baila baila (baila kipenzi)
Baila baila baila
Baila mama

Obrigado...


Writer(s): Miri Ben-ari, Nasibu Abdul Juma Issaack
You May Also Like
Ayo Jay - "Let Him Go" Girl you're a diamond Girl you're a star So any other man that hurt you You don't want to fight You put the time in (time) You played your part So any man that lost you didn't know So nobody fine...
Harmonize - "Wote" Oh oh oh oh oh oh... B boy Mwenzako zikianza story za mapenzi Mfano wakwanza Ni wewe Hadi marafiki zangu wananicheka Naukumbuka ushenzi tulofanyaga Mi nawe mwenzako mi nakuonea vibwenga Hata...
Rayvanny - "Number One" Macho yalikuona, moyo ukakuchagua Mdomo ukasema nakupenda aah Mwambie umepona alokutesa moyo kuusumbua Maumivu yamekwenda Mi ni zawadi nilopewa Macho nipepese wapi Mi kipofu kwako sioni Penzi...
Ruger - "Girlfriend" Can't seem to take my eyes off you Especially your python move The way you roll that thing Me wan hold that thing Baby let me take a look Oh Lord Me want all girls in da whole world I know what I'm...
Asake - "Lonely At The Top" Ob' Obah It's lonely at the top (lonely, lonely, lonely) Money on my mind (money, money, money) Don't care what they're yarning about me in particular (kò kán mí, kán mi, kán mí) Out here on the...