"Pamela" lyrics
"Pamela"
(feat. Young Killer)
[Diamond Platnumz:]
Kwanza kako sex
Pamela
Kiuno kama kazaliwa Congo
Ebu ni ka date
Pamela
Mikogo kama samaki kamongo
Chumbani ni karate
Pamela
Vurugu kama show za Manfongo
Navopenda deki
Pamela
Ulimi shingoni mpaka kwa mgongo
Katoto katamu tamu
Kanapenda pipi na chewing gum
Kimoko nacum cum
Kitanda kwichikwichi
Ni bum bum
Oh najua maana ya penzi burudani
Na ndio maana nakupa kokote
Singoji mpaka kitandani
Ah yeah, Pamela
Pamela
She is hotter than fire
Pamela
Ukimuona utagwaya
Pamela
Zigo lazima ntafire
Pamela
Na kapenda ile mbaya
Pamela
Eeh my heart
She de skata my heart
Pamela
Eeh my heart
Kanaumiza my heart
Eeh my heart
She de skata my heart
Pamela
Eeh my heart
Kanaumiza my heart
Nilikutana nako Mbagala
Kwa kina Lufufu Mkandala
Mtoto mwali kidandala
Mtamu kwa nguna na sangala, oh na
Anavyopose mchokozi
Nikiwa namwaga dose
Napocheza na ngozi
Hunikosi
Pamela
Mpaka majonzi kwa njozi
Utamu kwa utosi
Sinaga ubitozi
Ni konzi
Pamela
Oh najua maana ya penzi burudani
Na ndio maana nakupa kokote
Singoji mpaka kitandani
Yeah... Pamela
Pamela
She is hotter than fire
Pamela
Ukimuona utagwaya
Pamela
Zigo lazima ntafire
Pamela
Ooh nakapenda ile mbaya
Pamela
[Young Killer:]
Mwenye mdomo wa kulamba koni
Napozi za picha
Na moyoni nimekuficha
Picha ya mapicha picha
Wazushi wanayonipa nipa
Hayaumizi kichwa kichwa
Wala kunitisha
Usije nikatisha mood
Kwa kufanya kusudi
Ukaanza tena usiku na mchana
Ma nenda rudi (rudi mama)
Kifuani sita
Tumbo hauna
Na ukikatika
Ndio kabisa Naumwa
Njoo tucheze kibaku baku
(Pamela)
Tuwakomeshe manyaku nyaku
(Pamela)
Ukate taratibu yani nyatu nyatu
(Pamela)
Kitandani unimeze ile kichatu chatu
Sikufichi
Namiss kumuchezo kako kila mara
Na ndio maana
Huwa napita pekupeku
Bila Ndala
Show ndefu kwa body
Nang'ala Ng'ala
Navuruga shape
Mwisho unabaki unagalagala
Msodoki
Pamela...
She is hotter than fire
Pamela
Ukimuona utagwaya
Pamela
Zigo lazima ntafire
Pamela
Na kapenda ile mbaya
Pamela
Nakupenda sana
Writer(s): Nasibu Abdul Juma Issaack, Eriki Msodoki
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
album:
"A Boy From Tandale" (2018)
You May Also Like
Meddy - "Everything" I know you like it, when I touch your body
You say be my babe and I say yes
Ooh, baby come closer, isi ibaye ntoya
Nsigaye nkumva, nkatwarwa maa
I know love when I say I, I can tell when I feel it
I...
Harmonize - "Bed Room" (Body, body, body) Dah
Oh nah, nah, nah, nah
(Body, body, body)
Ah, baby come to my bedroom
Oh, come to my bedroom
I wanna show you something
That you've never seen, never seen, yeah, yeah
Baby...
Fally Ipupa - "Maria PM" Mokili ekoti matata dit
Eric Mandala le docteur des ignorants et Maria Piron
Wo wo wo wo wo wo wo wo
Maria Piron, maman na Erika, Alvina et Nazeria Mandala
Sirène ya police ekumbaka na prison
Ya...
Rema - "HEHEHE" Monday morning, talking about me while I'm making money
Hehe-hehe-hehe-hehe-he
I'm not gonna take it easy on my hater
Not gonna take it easy on my hater
Yeba
Not gonna, not gonna...
Asake - "Lonely At The Top" Ob'
Obah
It's lonely at the top (lonely, lonely, lonely)
Money on my mind (money, money, money)
Don't care what they're yarning about me in particular (kò kán mí, kán mi, kán mí)
Out here on the...