"Nawaza" lyrics
"Nawaza"
Nawaa...naaawaaa...naawaaa...nawaza tu
Nawaa...naaawaaa...naawaaa...nawaza tu
Nawaza pru mpaka maka Ruge amerudi tena
Je kwa huu mziki wa sasa sijui nini angesema!?
Na nimejifunza binadamu kweli hawana jema
Yani mtoto unaemtunza ndo anakuombea ukilema
Nashangaa
Nawaza Vanny na Elizabeth clip zao zikivuja
Ndoa itaimarika eti au ndo ataifoja?!
Nawaza muchana,usiku jibu halifiki
Wanaonitukana, tuna bifu au ilimradi kiki?!
Nawaza kina Kimambi bwana wangekua wagawa ridhiki
Hivi kweli ningejulikana si wangenizima nsisike
Nlowaza leo nshawaza sana kina Kiba ugomvi kipi?!
Nikagundua ni ushamba na ujana wa kugombania mashabiki
Nawaa...naaawaaa...naawaaa...nawaza tu
Nawaa...naaawaaa...naawaaa...nawaza tu
Oooh nawaza
Huenda Steven Kanumba angelikuwepo hai
Nawaza movie zetu pia tungejidai
Nawaazaa hivi kombe la dunia hatufikagi why?!
Nawaza,tatizo ni team au uongozi haufai
Mawazo mengine mtanange bora tuache yataleta ukakasi
Je angekuepo Muzee Nyange,Uncle Shamte angepata nafasi?!
Nawaza ka ngekua na Wema Sepetu hadi leo sijui ngekua nshafulia au zaidi maendeleo
Ooh nawaza siku nikifa sijui wasafi itakufa
Nawaza sijui maradhi ama ajali itanikuta
Nawaza oh Mama Dangote nani chozi atamfuta
Nawaza sijui nyimbo zangu watazikumbuka
Eeeh
Nlowaza leo nshawaza sana nnachoshindwa kuwa kipi
Nikagundua naepusha lawama maana najijua kwa kucheat
Nawaa...naaawaaa...naawaaa...nawaza tu
Nawaa...naaawaaa...naawaaa...nawaza tu
Thanks to Mc Frank for adding these lyrics.
Writer(s): Daniel A Wellington, Juliet Ayub Miriam, Yaniv Akale, Jacob Otieno Obunga
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
album:
"First Of All" (2022)
You May Also Like
Meddy - "Everything" I know you like it, when I touch your body
You say be my babe and I say yes
Ooh, baby come closer, isi ibaye ntoya
Nsigaye nkumva, nkatwarwa maa
I know love when I say I, I can tell when I feel it
I...
Ya Levis - "Liballa" Oouuaahh
El Maya loveee
Nzangay lie Mama
Donne moi ta main oui libala, libala nanana
Nzambe a sangisi biso libala libala nanana
Donne moi ta main oui libala libala nanana
Nzambe a sangisi biso...
P-Square - "Gimme Dat" Through your hands up in the air
In the air, in the air
Through eeh some money in the air
In the air, in the air
Through your hands up in the air
In the air, in the air
Through eeh some money in the...
Rayvanny - "Kwetu" Sifa kwa Mola wangu Maulana
Kwa mengi aliofanya
Hadi mi na we kukutana, kisura
Sijapanga kudanganya
Nasema ukweli mama
Kisa nakupenda sana, kisura
Umesema wanipenda
Ila maisha yangu maseke
Michicha...
Mafikizolo - "Love Potion" Undenza ntoni yooh
Kutheni ndingalali ebusuku booh
Es'thandwa sami yeah
Baby I've been thinking about you
You know that I love you baby
Angifun' omunye I want you baby
I could do anything for you...