"Nitafanyaje" lyrics

"Nitafanyaje"

Siwezisema kitandani, labda umasikini wangu
Ndo kinayonishusha thamani watahminike wenzangu
Siwezisema skujali (Labda vizawadi vywangu mimi)
Havikufikia ukubwa wanavitoa wenzangu

Kinachoniumiza hauridhiki ugao wa Mola
Ningali kwa mimi mbona hujaombola
Na mbaya kabisa, rafiki wananichora
Kwa hizo posti zake na wenye nguvu (Kuyatoa hiyoo)

Oh oh mi moyo wangu mamaa
Unaona uchungu
Mwenzake mi moyo wanguu
Anauumiza sanaa

Sema nitafanyani
Ndo ivo nitafanya
Ila nitafanya nini
Ndo ivo nitafanyaje

Nashikwa nigagaziko kila nikiingia chumbani
Sijui nilalie tandiko ama sakafuni aah
Nachoka tu kwa nje ndani (Masikitikoo)
Sababu pengo lako honey (Bado lipoo)

Eeh, kinachoniumiza hauridhiki ugao wa Mola
Ningali kwa mimi mbona hujaombola
Na mbaya kabisa, rafiki wananichora
Kwa hizo posti zake na wenye nguvu (Kuyatoa hiyoo)

Oh oh mi moyo wangu mamaa
Unaona uchungu
Mwenzake mi moyo wanguu
Anauumiza sanaa

Oi, lije-lije, hii ngoma iweke lipiti
Maana natupa stimu na wanangu kulilia kijiti
Lije-lije, hii ngoma iweke lipiti
Sajuti ya wazimu kuitoa tu msema muziki

Kwa maana inatu (Fire) na inatu (Fire)
Mwanangu inawa (Fire) na inawa (Fire)
Machizi wote wanapata (Fire) eh wanapata (Fire)
Na mbegu zinapata (Fire) eh zinapata (Fire)

Namnema mwanangu kwa upande wa kanga
Nilitamani tenge ila sijajipanga
Namnema mwanangu kwa muda pata mwenzio
Nilitamani manasi ila ndo sina salio

Mama yo mama (Amenitenda kausha damu)
Oh mama yo maa (Wamenitenda kausha damu)
Oh mama yoyo (Wamenitenda kausha damu)
Oh mama yo maa (Wamenitenda kausha damu)

Asa waitee
Oya makofi kigogo nipe mawili
Ka hujatumika sana sehemu za siri
Kaso mlunganzila shepu asili
Sa nipe ya kibunge-bunge utitiri (Twen zetu)

Asa audi waletee, walete apa kati
Waletee haoo, walete apa kati
Waletee asaa, walete apa kati
Walete haoo, walete hapa kati

Eeh tunacheza mpaka sa ngapi tunachezaa (Mpaka asubuhi)
Tunaruka mpaka sa ngapi, tunaruka (Mpaka asubuhi)

Hivi tena, bado sijaona
Hivi tena, bado sijaona
Hivi tena, bado sijaona
Hivi tena, bado sijaona

Eeh (Kuelewa) aah
(Eeh unayumba) eeh (Sasa umeelewa) aah
Eh unayumba

We ndo si huelewa sa mbona unayumba
Unavyomwelewa eh unayumba

Oya wahuni wana namba zao zinaitwa (Apana chando)
Wanangu wana mamba zao zinaitwa (Selasini na mbili)
Masala wana mamba zao zinaitwa (Ishirini na sita)
Oya kuna wengine hawala namba


You May Also Like
DJ Neptune & Rema - "For You" Greatness Another banger (let's go) DJ Neptune (hit me) Since I dey look for insta oo Your picture dey give me ginger o Girl e b you I dey sing for I no fit to play you like FIFA You and your...
Kuami Eugene - "Yolo" Ladies and gentlemen So many people around I don't know who loves me I'm letting strangers in my house When I don't know who hates me You getti problems Well I get problems too And where I am hated...
Simi - "Logba Logba" Omo Charlie Can you see me Can you see me now I say baby don't go If you leave me mo rogo I no plan to go solo lo lo lo Na you be my motto, I carry your logo Me no give you zobo ohhh Do me like...
Mayorkun - "Certified Loner (No Competition)" I know your friends They never want you for me But now that is over You can rest on their shoulders It costs me nothing I can tell you for free I'm a certified loner A certified loner So nobody get...
Wande Coal - "Umbrella" Iskaba Yah dun know Sak Pase If you say make I stay for love oh I go stay for love oh I go dey for you oh ouu ohh If you say make I stay for love oh I go dey for love oh I go taya for you oh ouu oh...