"Nitafanyaje" lyrics
"Nitafanyaje"
Siwezisema kitandani, labda umasikini wangu
Ndo kinayonishusha thamani watahminike wenzangu
Siwezisema skujali (Labda vizawadi vywangu mimi)
Havikufikia ukubwa wanavitoa wenzangu
Kinachoniumiza hauridhiki ugao wa Mola
Ningali kwa mimi mbona hujaombola
Na mbaya kabisa, rafiki wananichora
Kwa hizo posti zake na wenye nguvu (Kuyatoa hiyoo)
Oh oh mi moyo wangu mamaa
Unaona uchungu
Mwenzake mi moyo wanguu
Anauumiza sanaa
Sema nitafanyani
Ndo ivo nitafanya
Ila nitafanya nini
Ndo ivo nitafanyaje
Nashikwa nigagaziko kila nikiingia chumbani
Sijui nilalie tandiko ama sakafuni aah
Nachoka tu kwa nje ndani (Masikitikoo)
Sababu pengo lako honey (Bado lipoo)
Eeh, kinachoniumiza hauridhiki ugao wa Mola
Ningali kwa mimi mbona hujaombola
Na mbaya kabisa, rafiki wananichora
Kwa hizo posti zake na wenye nguvu (Kuyatoa hiyoo)
Oh oh mi moyo wangu mamaa
Unaona uchungu
Mwenzake mi moyo wanguu
Anauumiza sanaa
Oi, lije-lije, hii ngoma iweke lipiti
Maana natupa stimu na wanangu kulilia kijiti
Lije-lije, hii ngoma iweke lipiti
Sajuti ya wazimu kuitoa tu msema muziki
Kwa maana inatu (Fire) na inatu (Fire)
Mwanangu inawa (Fire) na inawa (Fire)
Machizi wote wanapata (Fire) eh wanapata (Fire)
Na mbegu zinapata (Fire) eh zinapata (Fire)
Namnema mwanangu kwa upande wa kanga
Nilitamani tenge ila sijajipanga
Namnema mwanangu kwa muda pata mwenzio
Nilitamani manasi ila ndo sina salio
Mama yo mama (Amenitenda kausha damu)
Oh mama yo maa (Wamenitenda kausha damu)
Oh mama yoyo (Wamenitenda kausha damu)
Oh mama yo maa (Wamenitenda kausha damu)
Asa waitee
Oya makofi kigogo nipe mawili
Ka hujatumika sana sehemu za siri
Kaso mlunganzila shepu asili
Sa nipe ya kibunge-bunge utitiri (Twen zetu)
Asa audi waletee, walete apa kati
Waletee haoo, walete apa kati
Waletee asaa, walete apa kati
Walete haoo, walete hapa kati
Eeh tunacheza mpaka sa ngapi tunachezaa (Mpaka asubuhi)
Tunaruka mpaka sa ngapi, tunaruka (Mpaka asubuhi)
Hivi tena, bado sijaona
Hivi tena, bado sijaona
Hivi tena, bado sijaona
Hivi tena, bado sijaona
Eeh (Kuelewa) aah
(Eeh unayumba) eeh (Sasa umeelewa) aah
Eh unayumba
We ndo si huelewa sa mbona unayumba
Unavyomwelewa eh unayumba
Oya wahuni wana namba zao zinaitwa (Apana chando)
Wanangu wana mamba zao zinaitwa (Selasini na mbili)
Masala wana mamba zao zinaitwa (Ishirini na sita)
Oya kuna wengine hawala namba
- AZLyrics
- D
- Diamond Platnumz Lyrics
You May Also Like
DJ Neptune & Rema - "For You" Greatness
Another banger (let's go)
DJ Neptune (hit me)
Since I dey look for insta oo
Your picture dey give me ginger o
Girl e b you I dey sing for
I no fit to play you like FIFA
You and your...
Kuami Eugene - "Yolo" Ladies and gentlemen
So many people around
I don't know who loves me
I'm letting strangers in my house
When I don't know who hates me
You getti problems
Well I get problems too
And where I am hated...
Simi - "Logba Logba" Omo Charlie
Can you see me
Can you see me now
I say baby don't go
If you leave me mo rogo
I no plan to go solo lo lo lo
Na you be my motto, I carry your logo
Me no give you zobo ohhh
Do me like...
Mayorkun - "Certified Loner (No Competition)" I know your friends
They never want you for me
But now that is over
You can rest on their shoulders
It costs me nothing
I can tell you for free
I'm a certified loner
A certified loner
So nobody get...
Wande Coal - "Umbrella" Iskaba
Yah dun know
Sak Pase
If you say make I stay for love oh
I go stay for love oh
I go dey for you oh ouu ohh
If you say make I stay for love oh
I go dey for love oh
I go taya for you oh ouu oh...