"Sijui" lyrics
"Sijui"
Konde boy call me number one
Bakhresaaa
Mmmh
Picha na tattoo nitazifuta na kama pesa nitatafuta
Vipi kuhusu upendo wangu wa dhati
Wambea kama nawaona wakinisuta kiko wapi yamemkuta
Pindi nitakapokuwa sio tena wako wa dhati
(Mmmh)
Mapenzii wanaosema mapenzi yamezaliwa tanga
Nahisi wanakosea babe wangu wanamuonea
(Babe)
Taratibu macho fumba sikio la kushoto funga nibakishie la kulia
Kuna kitu nataka kukuambia nisikilize wakunyumba mimi mwenzako
Nikipata mavumba nitakuja kukuchumbua tutengeneze familia
(Me na wewe)
Sijui kama ntaweza kukuacha sidhani oouh no no
(Nasema sijui iih)
Mfano naweza namuachia nani
(Yeyeyee)
Sijui kama ntaweza kukuacha sidhani
(Sijui kama ntaweeeza)
Mfano naweza namuachia nani
(Iih iiih iiiih)
It feels like I'm falling love for the first time
I've never seen love like this before yes for sure
(Mmmh)
Yupo wapi yupo wapi mzuri wakumshinda babe wangu yuko wapi
Ooh yupo wapi anaejua thamani ya pendo langu yupo wapi
Nauliza yupo wapi ama mimi nimeshadate na wangapi yupo wapi
Ooh yupo wapi yupo wapi nimuone anaenijua mimi hakuna
Wengi wanakuja kunichuna wakijua kwamba pesa hakuna
Mara watanuna na kisa hakuna mape mapeenzi
Mapenzii wanaosema mapenzi yamezaliwa tanga
Nahisi wanakosea babe wangu wanamuonea
(Babe)
Taratibu macho fumba sikio la kushoto funga nibakishie la kulia
Kuna kitu nataka kukuambia nisikilize wakunyumba mimi mwenzako
Nikipata mavumba nitakuja kukuchumbua tutengeneze familia
(Me na wewe)
Sijui kama ntaweza kukuacha sidhani oouh no no
(Nasema sijui iih)
Mfano naweza namuachia nani
(Yeyeyee)
Sijui kama ntaweza kukuacha sidhani
(Sijui kama ntaweeeza)
Mfano naweza namuachia nani
(Iih iiih iiiih)
It feels like I'm falling love for the first time
I've never seen love like this before yes for sure
Writer(s): Rajabu Ibrahim, Mkombozi Juma
- AZLyrics
- H
- Harmonize Lyrics
album:
"Visit Bongo" (2023)
You May Also Like
Stonebwoy - "Into The Future" Eh yeah, e yeah
Ah, ah, ah
Eh yeah, e yeah
Into the future with you
And me nah go leave you at the end of the road
Gimme your love and you know it's safe
Baby, never listen to what them say, ay
Into...
Asake - "Trabaye" Mofe trabaye
Ye
Mofe trabaye (tune in to the king of sounds and blues)
Gbemi gbemi trabaye eh eh
Ah
Mo fe traba, mo fe traba
(Ololade mi Asake)
Mofe trabaye
Ye
Mofe trabaye
Gbemi gbemi trabaye eh...
Lasmid - "Bad Boy" Lowkey I'm not
Lowkey I'm not
Ouuu lowkey I'm not a hoe oo
Charger
I'm telling you babe
Low key
Honey
Love me for the heart sake
Oh please
Right now I'm smoking oo babe
The look in your eyes
Makes me...
Navy Kenzo & Fireboy DML - "Hold On" Hold on, baby girl you got hold on me
It's been so long, baby girl it's been so lonely
Don't mind if I give you a crown
When you wanna pull up in a benzi ehh
All eyes keep on you ohh my darling
I...
Sauti Sol - "Nenda Lote" Umetuma wazazi wako waje wanielezee
Umetuma wazazi wako waje wanielezee
Hunitaki tena
Na mashoga zako waje waniambie
Na mashoga zako waje waniambie
Ndoa tumeivunja
Siamini Kuna time singeishi bila...