"Sijui" lyrics

"Sijui"

Konde boy call me number one
Bakhresaaa
Mmmh

Picha na tattoo nitazifuta na kama pesa nitatafuta
Vipi kuhusu upendo wangu wa dhati
Wambea kama nawaona wakinisuta kiko wapi yamemkuta
Pindi nitakapokuwa sio tena wako wa dhati
(Mmmh)

Mapenzii wanaosema mapenzi yamezaliwa tanga
Nahisi wanakosea babe wangu wanamuonea
(Babe)
Taratibu macho fumba sikio la kushoto funga nibakishie la kulia
Kuna kitu nataka kukuambia nisikilize wakunyumba mimi mwenzako
Nikipata mavumba nitakuja kukuchumbua tutengeneze familia
(Me na wewe)

Sijui kama ntaweza kukuacha sidhani oouh no no
(Nasema sijui iih)
Mfano naweza namuachia nani
(Yeyeyee)
Sijui kama ntaweza kukuacha sidhani
(Sijui kama ntaweeeza)
Mfano naweza namuachia nani
(Iih iiih iiiih)
It feels like I'm falling love for the first time
I've never seen love like this before yes for sure

(Mmmh)

Yupo wapi yupo wapi mzuri wakumshinda babe wangu yuko wapi
Ooh yupo wapi anaejua thamani ya pendo langu yupo wapi
Nauliza yupo wapi ama mimi nimeshadate na wangapi yupo wapi
Ooh yupo wapi yupo wapi nimuone anaenijua mimi hakuna
Wengi wanakuja kunichuna wakijua kwamba pesa hakuna
Mara watanuna na kisa hakuna mape mapeenzi

Mapenzii wanaosema mapenzi yamezaliwa tanga
Nahisi wanakosea babe wangu wanamuonea
(Babe)
Taratibu macho fumba sikio la kushoto funga nibakishie la kulia
Kuna kitu nataka kukuambia nisikilize wakunyumba mimi mwenzako
Nikipata mavumba nitakuja kukuchumbua tutengeneze familia
(Me na wewe)

Sijui kama ntaweza kukuacha sidhani oouh no no
(Nasema sijui iih)
Mfano naweza namuachia nani
(Yeyeyee)
Sijui kama ntaweza kukuacha sidhani
(Sijui kama ntaweeeza)
Mfano naweza namuachia nani
(Iih iiih iiiih)
It feels like I'm falling love for the first time
I've never seen love like this before yes for sure


Writer(s): Rajabu Ibrahim, Mkombozi Juma
You May Also Like
Stonebwoy - "Into The Future" Eh yeah, e yeah Ah, ah, ah Eh yeah, e yeah Into the future with you And me nah go leave you at the end of the road Gimme your love and you know it's safe Baby, never listen to what them say, ay Into...
Asake - "Trabaye" Mofe trabaye Ye Mofe trabaye (tune in to the king of sounds and blues) Gbemi gbemi trabaye eh eh Ah Mo fe traba, mo fe traba (Ololade mi Asake) Mofe trabaye Ye Mofe trabaye Gbemi gbemi trabaye eh...
Lasmid - "Bad Boy" Lowkey I'm not Lowkey I'm not Ouuu lowkey I'm not a hoe oo Charger I'm telling you babe Low key Honey Love me for the heart sake Oh please Right now I'm smoking oo babe The look in your eyes Makes me...
Navy Kenzo & Fireboy DML - "Hold On" Hold on, baby girl you got hold on me It's been so long, baby girl it's been so lonely Don't mind if I give you a crown When you wanna pull up in a benzi ehh All eyes keep on you ohh my darling I...
Sauti Sol - "Nenda Lote" Umetuma wazazi wako waje wanielezee Umetuma wazazi wako waje wanielezee Hunitaki tena Na mashoga zako waje waniambie Na mashoga zako waje waniambie Ndoa tumeivunja Siamini Kuna time singeishi bila...