"Corona" lyrics

"Corona"

Corona, corona, corona
Nooh ooh olo lo lolo ooh
Mmh hey yy eeh (Mocco)

Wote tumuombe Mungu kwa hili janga
Ikibidi lipite
Tujihadhari na tujikinge
Ili lisitufike

Habari kote duniani zimesambaa
Ugonjwa unaua na hauna tiba
Na wengine wetu masikini hatujiwezi
Mwenyezi Mungu kawe tiba

Watoto wetu mashule, aah
Mama zetu tu sokoni
Kwenye vyombo vya usafiri makazini
Tujilinde

Osha mikono, aah
Epuka mikusanyiko sio ya lazima, aah
Na uonapo dalili
Mapema wahi hospitali

Corona, corona, corona
Corona, corona, corona
Corona, corona, corona
Corona, corona, corona

Tanzania hatuwezi tukajiweka pembeni bila kuchukua hatua
'Hatua zimeshaanza kuchukuliwa
Waziri wa wizara ya afya ameshazungumza
Ameshatoa tahadhari mbalimbali
Ambazo tunatakiwa kuzichukua
Napenda nirudie ndugu zangu Watanzania

Kwamba ni vizuri sana tukaendelea
Kuchukua tahadhari, kwa nguvu zote
Ugonjwa huu unaua, na unaua kwa haraka sana
Niwaombe ndugu zangu Watanzania

Tusipuuze ungonjwa huu (Corona, corona, corona)
Tusipuuze hata kidogo (Corona, corona, corona)
Ni lazima tuanze kuchukua hatua (Corona, corona, corona)
Za kujikinga kwa tatizo hili (Corona, corona, corona)


Writer(s): Idd Ngomba, Raymond Mwakyusa
EP: "Vanny Boy" (2018)
Rayvanny - Vanny Boy EP cover
You May Also Like
KiDi - "For Better For Worse" Oh Lord have mercy Sometimes I wonder if you could see See through my eyes You'd know that I'm a fool for you How can't you see How do I say I've fallen for you Sometimes I wonder if you could be...
Adekunle Gold & Patoranking - "Pretty Girl" Well well Patoranking alongside Adekunle Gold AG baby Whayasay! Eh eh Pretty girl You wanna break your back on a dance song Eh eh Pretty girl Shey your mama know say you don spoil Eh eh Pretty girl...
Meddy - "Slowly" Do you believe in love? How crazy it could be Baby baby stop Hmm, take it easy When you leave I swear I can't breathe Do you really care? Baby Niba unkunda Nkomeza You're my fantasy My only desire...
Harmonize - "Jeshi" Sometimes what you dream Can be deceiving Na huwezi kuvuna usichokipanda Thanks God for giving Ghetto sikuwa na umeme wala cable Hizi moja T-Shirt na yebo Ati leo namiliki lebo Lebo, Konde Gang...
P-Square - "Do Me" Oh, e get as you dey do me, do me, do me Na the way you dey do me Girl, I love the way you do me (do me ) Boy, I love the way you do me (do me ) Na the way you dey do me, do me You go wound oh, you...