"Corona" lyrics
"Corona"
Corona, corona, corona
Nooh ooh olo lo lolo ooh
Mmh hey yy eeh (Mocco)
Wote tumuombe Mungu kwa hili janga
Ikibidi lipite
Tujihadhari na tujikinge
Ili lisitufike
Habari kote duniani zimesambaa
Ugonjwa unaua na hauna tiba
Na wengine wetu masikini hatujiwezi
Mwenyezi Mungu kawe tiba
Watoto wetu mashule, aah
Mama zetu tu sokoni
Kwenye vyombo vya usafiri makazini
Tujilinde
Osha mikono, aah
Epuka mikusanyiko sio ya lazima, aah
Na uonapo dalili
Mapema wahi hospitali
Corona, corona, corona
Corona, corona, corona
Corona, corona, corona
Corona, corona, corona
Tanzania hatuwezi tukajiweka pembeni bila kuchukua hatua
'Hatua zimeshaanza kuchukuliwa
Waziri wa wizara ya afya ameshazungumza
Ameshatoa tahadhari mbalimbali
Ambazo tunatakiwa kuzichukua
Napenda nirudie ndugu zangu Watanzania
Kwamba ni vizuri sana tukaendelea
Kuchukua tahadhari, kwa nguvu zote
Ugonjwa huu unaua, na unaua kwa haraka sana
Niwaombe ndugu zangu Watanzania
Tusipuuze ungonjwa huu (Corona, corona, corona)
Tusipuuze hata kidogo (Corona, corona, corona)
Ni lazima tuanze kuchukua hatua (Corona, corona, corona)
Za kujikinga kwa tatizo hili (Corona, corona, corona)
Writer(s): Idd Ngomba, Raymond Mwakyusa
- AZLyrics
- R
- Rayvanny Lyrics
You May Also Like
KiDi - "For Better For Worse" Oh Lord have mercy
Sometimes I wonder if you could see
See through my eyes
You'd know that I'm a fool for you
How can't you see
How do I say
I've fallen for you
Sometimes I wonder if you could be...
Adekunle Gold & Patoranking - "Pretty Girl" Well well
Patoranking alongside Adekunle Gold
AG baby
Whayasay!
Eh eh
Pretty girl
You wanna break your back on a dance song
Eh eh
Pretty girl
Shey your mama know say you don spoil
Eh eh
Pretty girl...
Meddy - "Slowly" Do you believe in love?
How crazy it could be
Baby baby stop
Hmm, take it easy
When you leave
I swear I can't breathe
Do you really care? Baby
Niba unkunda
Nkomeza
You're my fantasy
My only desire...
Harmonize - "Jeshi" Sometimes what you dream
Can be deceiving
Na huwezi kuvuna usichokipanda
Thanks God for giving
Ghetto sikuwa na umeme wala cable
Hizi moja T-Shirt na yebo
Ati leo namiliki lebo
Lebo, Konde Gang...
P-Square - "Do Me" Oh, e get as you dey do me, do me, do me
Na the way you dey do me
Girl, I love the way you do me (do me )
Boy, I love the way you do me (do me )
Na the way you dey do me, do me
You go wound oh, you...