"Miss Buza" lyrics

"Miss Buza"
(feat. Dulla Makabila)

Huyo miss buza, mama miss Buza
Jamani miss buza, nampenda miss Buza
Huyo miss buza, mama miss Buza
Jamani miss buza, nampenda miss Buza

Rangi yake ya vidole kama ndizi za kuchoma
Harufu yake ya wigi unapata Corona
Hee kikipigwa kigodoro lazima utamuona
Shughuli hajaalikwa, kijola ka shashola

Ila chumbani si gogo mwali
Mbuzi kagoma kifo cha mende chali
Uvunguni sakafu juu ya dari
Ua mtoto anaupaka asali mama

Akiona simu anapita anapita nayo
Eh! Akiona walleti anapita nayo
Eh! Akiona dundo kali anapita nayo
Yaani akiona begi kali anapita nayo

Ana msitu kwapani dala kifuani
Kwenye dala dala anapita dirishani
Ghetto anazima taa, vipele mapajani
Ana dera jipya, chupi la zamani

Ah yo yo yo

Huyo miss buza, mama miss Buza
Jamani miss buza, nampenda miss Buza
Huyo miss buza, mama miss Buza
Jamani miss buza, nampenda miss Buza

Haya kelele ya kwanza kwa missi yake, weh
Kelele ya pili kwa missi yake, weh, weh
Kelele ya tatu kwa missi yake
Weh, weh, weh weh

Mtoto anachu chu, anachuchumia
Ana chu chu, mpaka nguo anavua
Mtoto anachu chu, anachuchumia
Ana chu chu, mpaka nguo anavua

Akivua shati muache, muache
Ameamua muache, muache
Akivua shati muache, muache
Ameamua muache, muache

Katikati nataka aloshindikana
Katikati nataka chura nyelana
Mwanangu katikati nataka aloshindikana
Kati kati nataka chura nyelana

Basi twende tunaenda kushoto
Wanangu kushoto, aahuni kushoto, masisela
Turudi ulia, wanangu kulia
Masela kulia, wanangu

Basi twende tunaenda kushoto
Eh kushoto, wanangu kushoto, yii kushoto
Basi twende tunaenda kulia
Wanangu kulia, ati, ati...

Basi twende teremka
We mwanagu teremka
Teremka shika mabega teremka
Bwana teremka, masisela teremka

Teremka shika kiuno teremka
We mwanangu teremka, mama teremka
Teremka shika magoti teremka
Basi twende

Nionyeshe unavyochumaga mchicha tembele
Nionyeshe unavyochumaga mchicha
Mama nioneshe unavyochumaga mchicha tembele
Nionyeshe unavyochumaga mchicha

Oya twende kama unalo tingisha, we mama tingisha
Tuone tingisha we dada tingisha
Kama unalo tingisha, we mama tingisha
Tuone tingisha, we dada tingisha

Eyooo Kenny

Basi twende shosho, we nioneshe sho
Style gani unacheza kidalipo
We mwanangu shosho, we nioneshe sho
Style gani unacheza kidalipo

Basi tuende kibaikoko we mtoto
Miguu juu ning'inia kama popo
Kibaikoko we mtoto
Miguu juu ning'inia kama popo

Unakaa chini unakwenda unakwenda unakwenda
Shika magoti unashuka unashuka unashuka
Na ka chini unakwendaa unakwendaa unakwendaa
Shika magoti unashuka unashuka unashuka

Basi twende timua vumbi timua, shemeji atafua
Timua vumbi timua, shemeji atafua
Bwana timua vumbi, timua shemeji atafua
Timua tena timua, shemeji atafua

Wee Juma Lokole number 1
Kida mchoksi number 1
Hahaha Idriss wa kitaa number 1
Weeee Aristote

Wapi Uncle Shamte ongeza ah mama Dangote
Mwambie akatafte na vyumba havipangishwi
Eeh kidogo dogo msalimie Kenny
Tony Vumwe, Ricardo Momo
K Imani, Soni Weka

Eeh mwanangu Ommy Crazy
Ommy Kichaa kini kazaa
HK HK wapi Wanjala?
Lengo Dangote nipelee

Ali mwa Kimwana Papichulo weee
Eeh baba Benami, baba Benami aiii
Ah wote, ah wote
RJ the DJ, all day

Wananiitaga Dulla Makabila yaani King of Singeli
We Esma Platnumz anakusalimia mkubwa fella
Waambie wasitume wavulana kwenye shughli za wanaume

Mmmh Dulla jamani tucharaze kitu gani?
Haijaisha tu, kama singeli ndo kurushana hivi
Mi siwezi jamani inatosha
(Lazer on the Mix)


Writer(s): Donald Rwebangira
EP: "Vanny Boy" (2018)
Rayvanny - Vanny Boy EP cover
You May Also Like
Diamond Platnumz - "African Beauty" I'm in love with you There's nothing that I wouldn't do Catch a bullet for you As long as you want me too I'm in love with you There's nothing that I wouldn't do Catch a grenade for you As long as...
Yemi Alade - "True Love" Yeah yeah, yeah yeah Yeah yeah, yeah yeah Happy days, happy times Happy days, happy times DJ play that happy music (Wan forgetti my sorrows) Make them play that happy music (Forget my sorrow and...
Chike & Simi - "Running (To You)" Anybody wey wan fight you Make them come They already know I'll be right beside you Like the wall of Jericho They don't know They don't know They don't know what's going on Muna gi so Muna gi so,...
Mafikizolo - "Love Potion" Undenza ntoni yooh Kutheni ndingalali ebusuku booh Es'thandwa sami yeah Baby I've been thinking about you You know that I love you baby Angifun' omunye I want you baby I could do anything for you...
Harmonize - "Anajikosha" (This one is a banger) Ahaahahaha Jeshi, awiii! (Daxo Chali) Anajiko, anajikosha Anajikoo, anajikosha Anajiko, anajikosha Anajikoo, anajikosha Jumamosi kakesha analewa Jumapili kanisani,...