"Ex Boyfriend" lyrics

"Ex Boyfriend"

Leo nakula kwa macho, nguvu ya kusema sina
Maneno ya mipasho na jeuri zimeshazima

Nilishafuta namba zako
Nikachoma picha zako
Sikujali ulivyoliaa
Mbele ya mashoga zako
Nikasema uende zako
Nguo nikakutupiaaa
Na zaidi, uliuguza vidonda
Kwa vipigo, manyanyaso kila siku
Kwa mawazo ukakonda
Niko bize kucheat, nafungua zipu

Ulinibembeleza, nikakubeza
Unanuka na nikakutelekeza
Macho makengeza, miguu ya pwesa
Kuwa nawe nikamesa niliteleza
Leo unapendeza, wamekutengeneza
Wanaume wenye mali, wenye fedha

Sasa unajiweza, siweza kujikweza
Najutia nafasi kuipoteza
Leo aibu yangu
Ex boyfriend
Ex boyfriend
Ex boyfriend

Siitwi tena honey, baby
Jina langu limekuwa
Ex boyfriend
Ex boyfriend
Ex boyfriend
Sikujua kumbe tabu peke yangu, naugua
Ohhh

Nawaza nilifeli wapi, kusema sikutaki
Sura ya baba na kitambi cha makasi
Sasa una mtanashati bitozi tena smati
Mtu wa gyme tena ana six park
Me nipo juu ya bati, sina mikakati
Geto mwendo chai na chapati
Nous ushahama mburahati
Una nyumba masaki
Soirée unachoma nyama kila siku

Ushanipiga mikuli aah
Insta mi sifurukuti aah
Mambo ya gauni suti aah
Mkifanya photoshoot aah
Mapenzi hayana komando
Mwenzako inaniuma roho
Natamani nikwite njoo
Turudi kama bifooo

Kumbe shepu ilijificha kwenye dera
Hizo skini jinsi mama zinakera
Utaniletea kadi kwenye machela
Siku akikuvalisha shera

Na ulinibembeleza, nikakubeza
Unanuka na nikakutelekeza
Macho makengeza, miguu ya pwesa
Kuwa nawe nikamesa niliteleza
Leo unapendeza, wamekutengeneza
Wanaume wenye mali, wenye fedha

Sasa unajiweza, siweza kujikweza
Najutia nafasi kuipoteza
Leo aibu yangu
Ex petit ami
Ex petit ami
Ex petit ami

Siitwi tena miel, bébé
Jina langu limekuwa
Ex petit ami
Ex petit ami
Ex petit ami
Sikujua kumbe tabu peke yangu, naugua


Writer(s): Raymond Mwakyusa, Iraju Mjege
You May Also Like
Diamond Platnumz - "Waah!" Anachukua anaweka Waah! Anachukua anaweka Waah! Anachukua anaweka Waah! Anachukua anaweka Waah! Kaghamu kupendwa na Kaghamu nasikia Tamu kupendwa nawe Tamu kupendwa nawe, tamu Tamu kupendwa nawe Oh...
Olakira & DaVido - "Maserati (Remix)" Ye, Olakira kirikata, baby Let's hop in my Maserati Baby, hop in my Maserati I say hop in my Maserati Hop in my Maserati Girl, I wanna see you go down yeh Say me I love the way you gbe body Hop in...
Nyashinski - "Malaika" Uko na tabia za kupendeza roho Tabasamu ya kupapasa macho Sauti yako nikiiskia pia natulia yanipunguzia hasira nazo Urembo wako ulininasa roho Siku ya kwanza kukuona kwa macho Sa moyoni umekwamia...
Meddy - "Queen Of Sheba" Pretty girl, move your waist (your waist) Why you all over my head (my head) I think you the best Nsekera mwana nkunda ouh la la Ngaho ngwino unyegere yego sha Be my queen of sheba, iyele mama She...
Gyakie - "Forever" FLIP THE MUSIC Gyakie uh huh Na na na na na eyy ya My mind dey for you My heart beats for you Every time when I think of you I don't know... I, I, I feel loved again I don't want to wait for days...