"Ex Boyfriend" lyrics
"Ex Boyfriend"
Leo nakula kwa macho, nguvu ya kusema sina
Maneno ya mipasho na jeuri zimeshazima
Nilishafuta namba zako
Nikachoma picha zako
Sikujali ulivyoliaa
Mbele ya mashoga zako
Nikasema uende zako
Nguo nikakutupiaaa
Na zaidi, uliuguza vidonda
Kwa vipigo, manyanyaso kila siku
Kwa mawazo ukakonda
Niko bize kucheat, nafungua zipu
Ulinibembeleza, nikakubeza
Unanuka na nikakutelekeza
Macho makengeza, miguu ya pwesa
Kuwa nawe nikamesa niliteleza
Leo unapendeza, wamekutengeneza
Wanaume wenye mali, wenye fedha
Sasa unajiweza, siweza kujikweza
Najutia nafasi kuipoteza
Leo aibu yangu
Ex boyfriend
Ex boyfriend
Ex boyfriend
Siitwi tena honey, baby
Jina langu limekuwa
Ex boyfriend
Ex boyfriend
Ex boyfriend
Sikujua kumbe tabu peke yangu, naugua
Ohhh
Nawaza nilifeli wapi, kusema sikutaki
Sura ya baba na kitambi cha makasi
Sasa una mtanashati bitozi tena smati
Mtu wa gyme tena ana six park
Me nipo juu ya bati, sina mikakati
Geto mwendo chai na chapati
Nous ushahama mburahati
Una nyumba masaki
Soirée unachoma nyama kila siku
Ushanipiga mikuli aah
Insta mi sifurukuti aah
Mambo ya gauni suti aah
Mkifanya photoshoot aah
Mapenzi hayana komando
Mwenzako inaniuma roho
Natamani nikwite njoo
Turudi kama bifooo
Kumbe shepu ilijificha kwenye dera
Hizo skini jinsi mama zinakera
Utaniletea kadi kwenye machela
Siku akikuvalisha shera
Na ulinibembeleza, nikakubeza
Unanuka na nikakutelekeza
Macho makengeza, miguu ya pwesa
Kuwa nawe nikamesa niliteleza
Leo unapendeza, wamekutengeneza
Wanaume wenye mali, wenye fedha
Sasa unajiweza, siweza kujikweza
Najutia nafasi kuipoteza
Leo aibu yangu
Ex petit ami
Ex petit ami
Ex petit ami
Siitwi tena miel, bébé
Jina langu limekuwa
Ex petit ami
Ex petit ami
Ex petit ami
Sikujua kumbe tabu peke yangu, naugua
Writer(s): Raymond Mwakyusa, Iraju Mjege
- AZLyrics
- R
- Rayvanny Lyrics
You May Also Like
Diamond Platnumz - "Waah!" Anachukua anaweka Waah!
Anachukua anaweka Waah!
Anachukua anaweka Waah!
Anachukua anaweka Waah!
Kaghamu kupendwa na
Kaghamu nasikia
Tamu kupendwa nawe
Tamu kupendwa nawe, tamu
Tamu kupendwa nawe
Oh...
Olakira & DaVido - "Maserati (Remix)" Ye, Olakira kirikata, baby
Let's hop in my Maserati
Baby, hop in my Maserati
I say hop in my Maserati
Hop in my Maserati
Girl, I wanna see you go down yeh
Say me I love the way you gbe body
Hop in...
Nyashinski - "Malaika" Uko na tabia za kupendeza roho
Tabasamu ya kupapasa macho
Sauti yako nikiiskia pia natulia yanipunguzia hasira nazo
Urembo wako ulininasa roho
Siku ya kwanza kukuona kwa macho
Sa moyoni umekwamia...
Meddy - "Queen Of Sheba" Pretty girl, move your waist (your waist)
Why you all over my head (my head)
I think you the best
Nsekera mwana nkunda ouh la la
Ngaho ngwino unyegere yego sha
Be my queen of sheba, iyele mama
She...
Gyakie - "Forever" FLIP THE MUSIC
Gyakie uh huh
Na na na na na eyy ya
My mind dey for you
My heart beats for you
Every time when I think of you
I don't know...
I, I, I feel loved again
I don't want to wait for days...