"Naogopa" lyrics

"Naogopa"

Mapenzi chenga
Yakikupiga unasurrender
Na wengi wakipendwa
Wanasahau kuna kutendwa
Mapenzi chenga
Yakikupiga unasurrender
Na wengi wakipendwa
Wanasahau kuna kutendwa

Wapi mkandarasi wa moyo
Wa ukuta wa mapenzi unabomoka
Kinacho ponza wengi ni moyo
Wakikalia kuti kavu wanadondoka
Wapi mkandarasi wa moyo
Wa ukuta wa mapenzi unabomoka
Kinacho ponza wengi ni moyo
Wakikalia kuti kavu wanadondoka

Unajisifu umempata
Kumbe alo mwacha anamfata
Anachotaka anakipata
Wanasema hawara hana talaka
Unajisifu umempata
Kumbe alo mwacha anamfata
Anachotaka anakipata
Wanasema hawara hana talaka
Naogopa (naogopa)
Naogopa (naogopa)
Naogopaaah
Kwenye safari ya mapenzi mi nisiyasikee
Naogopa (naogopa)
Naogopa (naogopa)
Naogopaaah
Tena tochi ya mapenzi isinimulike

Nimeyaona bayana
Ndo maana sitaki kumbuka ya jana
Alivyonidanganya
Moyo wangu ukapiga danadana
Nimeyaona bayana
Ndo maana sitaki kumbuka ya jana
Alivyonidanganya moyo wangu ukapiga danadana
Kwani nini za mapendo ila yakaniteka mapenzi
Tena nilimweka moyoni ila akaniona mshenzi

Unaweza sema pesa ndiyo breki ila mapenzi hayasomeki
Umemteka kwa mali na cheki
Kumbe vyombo anakula muuza magazeti
Unayemwita bebi anaweza bebwa kama begi
Mapenzi yanabadilika unaweza ukamwita shemeji
Unayemwita bebi anaweza akabebwa kama begi
Mapenzi yanabadilika unaweza ukamwita shemeji

Unajisifu umempata
Kumbe alo mwacha anamfata
Anachotaka anakipata
Wanasema hawara hana talaka
Unajisifu umempata
Kumbe alo mwacha anamfata
Anachotaka anakipata
Wanasema hawara hana talaka
Naogopa (naogopa)
Naogopa (naogopa)
Naogopaaah
Kwenye safari ya mapenzi mi nisihusike
Naogopa (naogopa)
Naogopa (naogopa)
Naogopaaah
Tena tochi ya mapenzi isinimulike


Writer(s): Raymond Mwakyusa, Gachi B
You May Also Like
Kranium - "In Charge" Kranium Mmmm Ohh yeah Kranium Your body feel good, I love it when I'm inside ya And my girl mi nuh bully, but I'm in charge, yeah As long as I'm inside you Can't run when di buddy come, 'cause I'm...
DaVido - "D & G" (We got London on da Track) (Classic...) (Kido, Kido) (Kido on the beat, better run it back) Say she look into my eyes and she seeing designers Gucci, Dolce & Gabbana Dolce and Gabbana, yeah Say she...
Ayo Jay - "Let Him Go" Girl you're a diamond Girl you're a star So any other man that hurt you You don't want to fight You put the time in (time) You played your part So any man that lost you didn't know So nobody fine...
Darkoo & One Acen - "Gangsta" I beg you babe-I beg you babe I beg you baby kick it to the left now If you wanna eat it no pressure I only do Range, no Tesla Balmain drippin, umbrella I'm tryna love you like a gangsta Baby would...
DYSTINCT - "Boussa" Ben op die quartilo vibes, mi amor Bous ni boussa, por favor Ik word jouw hombre, dat wil jij ook Ik heb jou door Uno, dos, tres, boussa. Hmmm... mi amor Uno, dos, tres, boussa. Hmmm... mi amor Er...