"Naogopa" lyrics
"Naogopa"
Mapenzi chenga
Yakikupiga unasurrender
Na wengi wakipendwa
Wanasahau kuna kutendwa
Mapenzi chenga
Yakikupiga unasurrender
Na wengi wakipendwa
Wanasahau kuna kutendwa
Wapi mkandarasi wa moyo
Wa ukuta wa mapenzi unabomoka
Kinacho ponza wengi ni moyo
Wakikalia kuti kavu wanadondoka
Wapi mkandarasi wa moyo
Wa ukuta wa mapenzi unabomoka
Kinacho ponza wengi ni moyo
Wakikalia kuti kavu wanadondoka
Unajisifu umempata
Kumbe alo mwacha anamfata
Anachotaka anakipata
Wanasema hawara hana talaka
Unajisifu umempata
Kumbe alo mwacha anamfata
Anachotaka anakipata
Wanasema hawara hana talaka
Naogopa (naogopa)
Naogopa (naogopa)
Naogopaaah
Kwenye safari ya mapenzi mi nisiyasikee
Naogopa (naogopa)
Naogopa (naogopa)
Naogopaaah
Tena tochi ya mapenzi isinimulike
Nimeyaona bayana
Ndo maana sitaki kumbuka ya jana
Alivyonidanganya
Moyo wangu ukapiga danadana
Nimeyaona bayana
Ndo maana sitaki kumbuka ya jana
Alivyonidanganya moyo wangu ukapiga danadana
Kwani nini za mapendo ila yakaniteka mapenzi
Tena nilimweka moyoni ila akaniona mshenzi
Unaweza sema pesa ndiyo breki ila mapenzi hayasomeki
Umemteka kwa mali na cheki
Kumbe vyombo anakula muuza magazeti
Unayemwita bebi anaweza bebwa kama begi
Mapenzi yanabadilika unaweza ukamwita shemeji
Unayemwita bebi anaweza akabebwa kama begi
Mapenzi yanabadilika unaweza ukamwita shemeji
Unajisifu umempata
Kumbe alo mwacha anamfata
Anachotaka anakipata
Wanasema hawara hana talaka
Unajisifu umempata
Kumbe alo mwacha anamfata
Anachotaka anakipata
Wanasema hawara hana talaka
Naogopa (naogopa)
Naogopa (naogopa)
Naogopaaah
Kwenye safari ya mapenzi mi nisihusike
Naogopa (naogopa)
Naogopa (naogopa)
Naogopaaah
Tena tochi ya mapenzi isinimulike
Writer(s): Raymond Mwakyusa, Gachi B
- AZLyrics
- R
- Rayvanny Lyrics
You May Also Like
Kranium - "In Charge" Kranium
Mmmm
Ohh yeah
Kranium
Your body feel good, I love it when I'm inside ya
And my girl mi nuh bully, but I'm in charge, yeah
As long as I'm inside you
Can't run when di buddy come, 'cause I'm...
DaVido - "D & G" (We got London on da Track)
(Classic...)
(Kido, Kido)
(Kido on the beat, better run it back)
Say she look into my eyes and she seeing designers
Gucci, Dolce & Gabbana
Dolce and Gabbana, yeah
Say she...
Ayo Jay - "Let Him Go" Girl you're a diamond
Girl you're a star
So any other man that hurt you
You don't want to fight
You put the time in (time)
You played your part
So any man that lost you didn't know
So nobody fine...
Darkoo & One Acen - "Gangsta" I beg you babe-I beg you babe
I beg you baby kick it to the left now
If you wanna eat it no pressure
I only do Range, no Tesla
Balmain drippin, umbrella
I'm tryna love you like a gangsta
Baby would...
DYSTINCT - "Boussa" Ben op die quartilo vibes, mi amor
Bous ni boussa, por favor
Ik word jouw hombre, dat wil jij ook
Ik heb jou door
Uno, dos, tres, boussa. Hmmm... mi amor
Uno, dos, tres, boussa. Hmmm... mi amor
Er...