"Kuliko Jana" lyrics
"Kuliko Jana"
(feat. Aaron Rimbui)
Bwana ni mwokozi wangu
Tena ni kiongozi wangu
Ananipenda leo kuliko jana
Baraka zake hazikwishi
Si kama binadamu habadiliki
Ananipenda leo kuliko jana
Kuliko jana, kuliko jana
Yesu nipende leo kuliko jana
Kuliko jana, kuliko jana
Yesu nipende leo kuliko jana
Nakuomba Mungu uwasamehe
Wangalijua jinsi unavyonipenda mimi wasingenisema
Na maadui wangu nawaombea
Maisha marefu wazidi kukuona ukinibariki
Ujue binadamu ni watu wa ajabu sana
Walimkana Yesu mara tatu kabla jogoo kuwika
Ujue binadamu ni watu wa ajabu sana
Walimsulubisha Yesu Masia bila kusita
Na Bwana ni mwokozi wangu
Tena ni kiongozi wangu
Ananipenda leo kuliko jana
Baraka zake hazikwishi
Si kama binadamu habadiliki
Ananipenda leo kuliko jana
Kuliko jana, kuliko jana
Yesu nipende leo kuliko jana
Kuliko jana, kuliko jana
Yesu nipende leo kuliko jana
Wewe ndio nategemea
Kufa kupona Baba nakutegemea
Chochote kitanikatsia
Kuingia mbinguni utaniondolea
Wewe ndio nategemea
Kufa kupona Baba nakutegemea
Chochote kitanikatsia
Kuingia mbinguni utaniondolea
Wewe ndio nategemea
Kufa kupona Baba nakutegemea
Chochote kitanikatsia
Kuingia mbinguni utaniondolea
Wewe ndio nategemea
Kufa kupona Baba nakutegemea
Chochote kitanikatsia
Kuingia mbinguni utaniondolea
Na Bwana ni mwokozi wangu (Amen)
Na tena ni kiongozi wangu (Amen)
Ananipenda (Amen) leo kuliko jana (Amen)
Baraka zake hazikwishi (Amen)
Si kama binadamu habadiliki (Amen)
Ananipenda (Amen) leo kuliko jana (Amen)
Kuliko jana, kuliko jana
Yesu nipende leo kuliko jana
Kuliko jana, kuliko jana
Yesu nipende leo kuliko jana
Wewe ndio nategemea (Amen)
Kufa kupona Baba nakutegemea (Amen)
Chochote kitanikatsia (Amen)
Kuingia mbinguni utaniondolea (Amen)
Wewe ndio nategemea (Amen)
Kufa kupona Baba nakutegemea (Amen)
Chochote kitanikatsia (Amen)
Kuingia mbinguni utaniondolea (Amen)
Na Bwana ni mwokozi wangu (Amen)
Na tena ni mkombozi wangu (Amen)
Ananipenda (Amen) leo kuliko jana (Amen)
Baraka zake hazikwishi (Amen)
Si kama binadamu habadiliki (Amen)
Ananipenda (Amen) leo kuliko jana (Amen)
Kuliko jana, kuliko jana
Nipende leo kuliko jana
Thanks to Walem Al nasrani for adding these lyrics.
Writer(s): Nikolaos Giannulidis, Philipp Klemz, Willis Austin Chimano, Polycarp Ochieno Otieno, Mathias Ramson, Senta Delliponti, Bien-aime Baraza, Delvin S. Mudigi
- AZLyrics
- S
- Sauti Sol Lyrics
album:
"Live And Die In Afrika" (2015)
You May Also Like
Patoranking - "Suh Different" Patoranking
Ah, this song dey say make the girls dem whine
Me no won see no girl with the phone inna your hand
Put it over and free up time
Move up your waist liner
Every girl, all over the world...
Joeboy - "Baby" What I fit do to get your love
Girl, I don' give you all I got but it's not enough for you
Shey you fire me catapult of love
Na why be say I no fit get enough of you
Wetin be that
Nothing I can't...
Adekunle Gold - "Here For Ya" African woman pretty little thing (I'm here for ya)
My African woman give me everything (I'm here for ya)
Imma show you off to the whole wide world
Make dem know say say you be the one I love
See I'm...
Harmonize - "Kwa Ngwaru" Iyoo Lizer
Hmm
I wish ningekuwaga na mavumba
Mkwanja manoti
Nikuhonge vya thamani
Ama, niwe fundi wa kuigiza ka' Kanumba
Masanja Joti usiwe mbali nami
Hmm
My darling, I need you love, oh
Uwe nami...
Timaya, King Perryy & Patoranking - "Kom Kom" Love me
The girl, they love me
What I'd say
Girl, your body kom kom
Where you'll wine up for me, oh
I swear your body, kom kom, oh, oh
Love the way you bend it for me
Girl, no one but you
You like...