"Kuliko Jana" lyrics

"Kuliko Jana"
(feat. Aaron Rimbui)

Bwana ni mwokozi wangu
Tena ni kiongozi wangu
Ananipenda leo kuliko jana
Baraka zake hazikwishi
Si kama binadamu habadiliki
Ananipenda leo kuliko jana

Kuliko jana, kuliko jana
Yesu nipende leo kuliko jana
Kuliko jana, kuliko jana
Yesu nipende leo kuliko jana

Nakuomba Mungu uwasamehe
Wangalijua jinsi unavyonipenda mimi wasingenisema
Na maadui wangu nawaombea
Maisha marefu wazidi kukuona ukinibariki
Ujue binadamu ni watu wa ajabu sana
Walimkana Yesu mara tatu kabla jogoo kuwika
Ujue binadamu ni watu wa ajabu sana
Walimsulubisha Yesu Masia bila kusita

Na Bwana ni mwokozi wangu
Tena ni kiongozi wangu
Ananipenda leo kuliko jana
Baraka zake hazikwishi
Si kama binadamu habadiliki
Ananipenda leo kuliko jana

Kuliko jana, kuliko jana
Yesu nipende leo kuliko jana
Kuliko jana, kuliko jana
Yesu nipende leo kuliko jana

Wewe ndio nategemea
Kufa kupona Baba nakutegemea
Chochote kitanikatsia
Kuingia mbinguni utaniondolea
Wewe ndio nategemea
Kufa kupona Baba nakutegemea
Chochote kitanikatsia
Kuingia mbinguni utaniondolea
Wewe ndio nategemea
Kufa kupona Baba nakutegemea
Chochote kitanikatsia
Kuingia mbinguni utaniondolea
Wewe ndio nategemea
Kufa kupona Baba nakutegemea
Chochote kitanikatsia
Kuingia mbinguni utaniondolea

Na Bwana ni mwokozi wangu (Amen)
Na tena ni kiongozi wangu (Amen)
Ananipenda (Amen) leo kuliko jana (Amen)
Baraka zake hazikwishi (Amen)
Si kama binadamu habadiliki (Amen)
Ananipenda (Amen) leo kuliko jana (Amen)

Kuliko jana, kuliko jana
Yesu nipende leo kuliko jana
Kuliko jana, kuliko jana
Yesu nipende leo kuliko jana

Wewe ndio nategemea (Amen)
Kufa kupona Baba nakutegemea (Amen)
Chochote kitanikatsia (Amen)
Kuingia mbinguni utaniondolea (Amen)
Wewe ndio nategemea (Amen)
Kufa kupona Baba nakutegemea (Amen)
Chochote kitanikatsia (Amen)
Kuingia mbinguni utaniondolea (Amen)

Na Bwana ni mwokozi wangu (Amen)
Na tena ni mkombozi wangu (Amen)
Ananipenda (Amen) leo kuliko jana (Amen)
Baraka zake hazikwishi (Amen)
Si kama binadamu habadiliki (Amen)
Ananipenda (Amen) leo kuliko jana (Amen)

Kuliko jana, kuliko jana
Nipende leo kuliko jana


Thanks to Walem Al nasrani for adding these lyrics.
Writer(s): Nikolaos Giannulidis, Philipp Klemz, Willis Austin Chimano, Polycarp Ochieno Otieno, Mathias Ramson, Senta Delliponti, Bien-aime Baraza, Delvin S. Mudigi
You May Also Like
Patoranking - "Suh Different" Patoranking Ah, this song dey say make the girls dem whine Me no won see no girl with the phone inna your hand Put it over and free up time Move up your waist liner Every girl, all over the world...
Joeboy - "Baby" What I fit do to get your love Girl, I don' give you all I got but it's not enough for you Shey you fire me catapult of love Na why be say I no fit get enough of you Wetin be that Nothing I can't...
Adekunle Gold - "Here For Ya" African woman pretty little thing (I'm here for ya) My African woman give me everything (I'm here for ya) Imma show you off to the whole wide world Make dem know say say you be the one I love See I'm...
Harmonize - "Kwa Ngwaru" Iyoo Lizer Hmm I wish ningekuwaga na mavumba Mkwanja manoti Nikuhonge vya thamani Ama, niwe fundi wa kuigiza ka' Kanumba Masanja Joti usiwe mbali nami Hmm My darling, I need you love, oh Uwe nami...
Timaya, King Perryy & Patoranking - "Kom Kom" Love me The girl, they love me What I'd say Girl, your body kom kom Where you'll wine up for me, oh I swear your body, kom kom, oh, oh Love the way you bend it for me Girl, no one but you You like...