"Soma Kijana" lyrics

"Soma Kijana"

Soma somasoma
Kijana
Masiku zazidi badilika
Kijana

Soma somasoma
Kijana
Masiku zazidi badilika
Kijana

Wazuri wazidi kuzaliwa
Na dunia
Nayo yazidi haribika
Kijana

Wazuri wazidi kuzaliwa
Na dunia
Nayo yazidi haribika
Kijana

Maisha ya TV
Tutaishi sisi
Wengi wanapotea
Wengi wakata tamaa
Twachuna riba vijana
Juu ya vile tutang'aa
Ajuaye Rabana
Ndiye atuongoza
Kijana
Masiku zazidi badilika
Kijana

Soma somasoma
Kijana
Masiku zazidi badilika
Kijana

Soma somasoma
Kijana
Masiku zazidi badilika
Kijana

Wazuri wazidi kuzaliwa
Na dunia
Nayo yazidi haribika
Kijana

Wazuri wazidi kuzaliwa
Na dunia
Nayo yazidi haribika
Kijana

Soma somasoma kijana
Masiku zazidi badilika
Soma somasoma kijana
Masiku zazidi badilika
Wazuri wazidi kuzaliwa na dunia
Nayo yazidi haribika
Wazuri wazidi kuzaliwa na dunia
Nayo yazidi haribika
Soma...


You May Also Like
Yemi Alade - "Tumbum" I know you like Nkechi jolof (eh Nkechi jolof) I know you like my beans (eh you like my beans) I know that she give you fufu You put am for my soup Baby what you gonna do No time for tumbum tumbum...
Adekunle Gold - "Ire (Remix)" The grass is greener on the other side That's what I thought before I took the ride I burned my bridges so I'd never look back But, If I had known the life I was searching for Was looking me right...
Diamond Platnumz - "Sound" Shika kashika huku Eh eh! Kashika huku Eh! Shika kashiko huku Eh! (Ayo Lizer) Oya dance limpopo Dance Sukusi Do for me Soco Make me confused Chee! Bring your body close to me Haya haya! Something...
Harmonize & Rich Mavoko - "Show Me" Ayooo Lizer Wasafi Records Aah mwenzako I feel so Good kipindi nikikuona Au Huo Mwendo Unafanya kusudi na Ulivyoshona Wakati Unakwenda au unarudi wakata Kona Nyuma Ka Katuni za Masudi Ulivyonona...
Timaya - "Born To Win" Right Chulo Legoo E yeah Eh ah Chulo no dey tire (Chulo eh) Lift them higher Take dem higher (stoopid, right) I'm born to win Me, I no get anybody to help me so I must win (right) All my life,...