"Mama Anajenga" lyrics

"Mama Anajenga"

Tanzania ya samia
Inajengwa na watanzania
Wenye macho
Wanashuhudia
Hatua tunazofikia
Kila siku kila wiki kila mwezi
Sina budi kuisifu
Wizara yetu ya ujenzi

Pongezi kwa TANROADS
Mnachapa kazi kila leo
Pesa za walipa kodi
Ndio chachu ya maendeleo
Asanteni TEMESA
Mnachapa kazi bila kupepesa
Vivuko vishawahi kututesa
Mama kawekeza
Nguvu na pesa
Tanzania Inajengwa
Tanzania kwanzaa
Tanzania Inajengeka
Tanzania kwanzaa
Jamani Mama Anajenga
Tanzania kwanzaa
Barabara Zinajengeka
Tanzania
Hongereni TBA
Mnachapa kazi
Bila kurudi nyuma
Tunayaona
Majumba ya wafanyakazi
Na watumishi wa umma
Kwenye jiji la dar
Arusha na dodoma
Ooh ni furaha
Iliyoje kuyaona

Pongezi kwa TANROADS
Mnachapa kazi kila leo
Pesa za walipa kodi
Ndio chachu ya maendeleo
Asanteni TEMESA
Mnachapa kazi bila kupepesa
Vivuko vishawahi kututesa
Mama kawekeza
Nguvu na pesa
Tanzania Inajengwa
Tanzania kwanzaa
Tanzania Inajengeka
Tanzania kwanzaa
Jamani Mama Anajenga
Tanzania kwanzaa
Barabara Zinajengeka
Tanzania
Tanzania

Kondeboy call me number one
Mtoto wa samia
Wananiita konde Samia Suluhu


You May Also Like
Phyno & Olamide - "Ojemba" Oluwa cover me o Man no fit be God o They wan make I slow down o But I no go look back o Ọ kwa Chukwu na-enye o E dey sweet me for belle o Ife ọ sọlụ fa mebe o Abụkwa m ojemba enwe ilo God cover me...
Olakira & DaVido - "Maserati (Remix)" Ye, Olakira kirikata, baby Let's hop in my Maserati Baby, hop in my Maserati I say hop in my Maserati Hop in my Maserati Girl, I wanna see you go down yeh Say me I love the way you gbe body Hop in...
Mr Eazi - "Leg Over" Zaggadat Its your boy Eazi It's E Kelly My baby dey confuse me o with her bum bum Wey she get a guy wey dey send her money from London She dey see me like a "Johnny Just Come" When monkey dey work...
DaVido - "Risky" Risky, Risky Yes yuh body risky Risky Weh! Trouble Woi yoi Speroach Beatz Big waist Fine face 10 days I don dey wait for you my chargie For you my chargie You won dey form No case I no go talk...
B Young - "Distant" Baby don't you be so distant I'm just tryna see your vision Like the sunshine you glisten Really got me feeling different You don't have to feel no way no way You can hit me up all day all day Baby...