"Baby" lyrics

"Baby"
(feat. Rowlene)

Mwanzo nilijua upo msalani
Kama sio uko utakuwa nyumba ya jirani
Nikapiga simu yako haipatikani
Ndio unapokea sa' hivi mummy
Upo sehemu gani

Hata kama sijajibu naomba Samahani
Ile njaa ya tumboni imepanda mpaka kichwani
Sijakuaga ila jua ndio nipo njiani
Ningependa niwe na wewe, ila uko utumwani
Ningependa niwe na wewe, ila uko utumwani

Inamaana umechoka sa mbona ni mapema
Hizo shida zimechosha ntazeeka mapema

Ni kweli ndani kuna masufuria
Chakula hakuna, nini nitakupikia
Na Kama tukipika basi bamia
Kutwa nzima na njaa kama ngamia

Nguzo ya upendo kusubiria
Kwa nini unashindwa nivumilia
Na mimi mbona ninakupigania
Mummy rudi nyumbani, mola atajalia

Aaah siwezi, kwa nini?
Sirudi, sababu gani?
Siwezi, aah
Sirudi

Nguo zangu zilivyochoka kama tambala ya deki
Zimetoboka unaweza kusema net
Huishi madeni, dukani kwa mangi mpaka bank
Na ukirudi nyumbani, mfukoni huna cent

Anapanga mola, kupata kukosa ridhiki
Akinipa nashukuru na kama nikikosa sibishi
Kwenye swala la mapenzi, mali si kitu iyoo
Kwenye mapenzi, moyo kioa kitu iyoo

Inamaana umechoka sa mbona ni mapema
Hizo shida zimechosha ntazeeka mapema

Ni kweli ndani kuna masufuria
Chakula hakuna, nini nitakupikia
Na Kama tukipika basi bamia
Kutwa nzima na njaa kama ngamia

Nguzo ya upendo kusubiria
Kwa nini unashindwa nivumilia
Na mimi mbona ninakupigania
Mummy rudi nyumbani, mola atajalia

Aaah siwezi, kwa nini?
Sirudi, sababu gani?
Siwezi, aah
Sirudi


You May Also Like
Meddy - "Queen Of Sheba" Pretty girl, move your waist (your waist) Why you all over my head (my head) I think you the best Nsekera mwana nkunda ouh la la Ngaho ngwino unyegere yego sha Be my queen of sheba, iyele mama She...
Diamond Platnumz - "Waah!" Anachukua anaweka Waah! Anachukua anaweka Waah! Anachukua anaweka Waah! Anachukua anaweka Waah! Kaghamu kupendwa na Kaghamu nasikia Tamu kupendwa nawe Tamu kupendwa nawe, tamu Tamu kupendwa nawe Oh...
Yemi Alade - "Deceive" Make you take your time o You want to deceive me No dey waste my time o I dey look your eyes o You want to play me for a fool No dey waste my time o Only God can judge You want to deceive me You wan...
Harmonize - "Anajikosha" (This one is a banger) Ahaahahaha Jeshi, awiii! (Daxo Chali) Anajiko, anajikosha Anajikoo, anajikosha Anajiko, anajikosha Anajikoo, anajikosha Jumamosi kakesha analewa Jumapili kanisani,...
Mohombi - "Just Like That" Remember when I met her Just like that We became lovers Just like that We meant to be forever Just like that I woke up without you Life became harder Just like that Nights became longer Just like...