"Baby" lyrics
"Baby"
(feat. Rowlene)
Mwanzo nilijua upo msalani
Kama sio uko utakuwa nyumba ya jirani
Nikapiga simu yako haipatikani
Ndio unapokea sa' hivi mummy
Upo sehemu gani
Hata kama sijajibu naomba Samahani
Ile njaa ya tumboni imepanda mpaka kichwani
Sijakuaga ila jua ndio nipo njiani
Ningependa niwe na wewe, ila uko utumwani
Ningependa niwe na wewe, ila uko utumwani
Inamaana umechoka sa mbona ni mapema
Hizo shida zimechosha ntazeeka mapema
Ni kweli ndani kuna masufuria
Chakula hakuna, nini nitakupikia
Na Kama tukipika basi bamia
Kutwa nzima na njaa kama ngamia
Nguzo ya upendo kusubiria
Kwa nini unashindwa nivumilia
Na mimi mbona ninakupigania
Mummy rudi nyumbani, mola atajalia
Aaah siwezi, kwa nini?
Sirudi, sababu gani?
Siwezi, aah
Sirudi
Nguo zangu zilivyochoka kama tambala ya deki
Zimetoboka unaweza kusema net
Huishi madeni, dukani kwa mangi mpaka bank
Na ukirudi nyumbani, mfukoni huna cent
Anapanga mola, kupata kukosa ridhiki
Akinipa nashukuru na kama nikikosa sibishi
Kwenye swala la mapenzi, mali si kitu iyoo
Kwenye mapenzi, moyo kioa kitu iyoo
Inamaana umechoka sa mbona ni mapema
Hizo shida zimechosha ntazeeka mapema
Ni kweli ndani kuna masufuria
Chakula hakuna, nini nitakupikia
Na Kama tukipika basi bamia
Kutwa nzima na njaa kama ngamia
Nguzo ya upendo kusubiria
Kwa nini unashindwa nivumilia
Na mimi mbona ninakupigania
Mummy rudi nyumbani, mola atajalia
Aaah siwezi, kwa nini?
Sirudi, sababu gani?
Siwezi, aah
Sirudi
- AZLyrics
- R
- Rayvanny Lyrics
album:
"Sound From Africa" (2021)
You May Also Like
Meddy - "Queen Of Sheba" Pretty girl, move your waist (your waist)
Why you all over my head (my head)
I think you the best
Nsekera mwana nkunda ouh la la
Ngaho ngwino unyegere yego sha
Be my queen of sheba, iyele mama
She...
Diamond Platnumz - "Waah!" Anachukua anaweka Waah!
Anachukua anaweka Waah!
Anachukua anaweka Waah!
Anachukua anaweka Waah!
Kaghamu kupendwa na
Kaghamu nasikia
Tamu kupendwa nawe
Tamu kupendwa nawe, tamu
Tamu kupendwa nawe
Oh...
Yemi Alade - "Deceive" Make you take your time o
You want to deceive me
No dey waste my time o
I dey look your eyes o
You want to play me for a fool
No dey waste my time o
Only God can judge
You want to deceive me
You wan...
Harmonize - "Anajikosha" (This one is a banger)
Ahaahahaha Jeshi, awiii!
(Daxo Chali)
Anajiko, anajikosha
Anajikoo, anajikosha
Anajiko, anajikosha
Anajikoo, anajikosha
Jumamosi kakesha analewa
Jumapili kanisani,...
Mohombi - "Just Like That" Remember when I met her
Just like that
We became lovers
Just like that
We meant to be forever
Just like that
I woke up without you
Life became harder
Just like that
Nights became longer
Just like...