"Zamani" lyrics
"Zamani"
Ayi ye yoh
Ayi ye yoh
Ayi ye yoh, unalewa leo si tulilewa zamani
Ayi ye yoh
Ayi ye yoh
Ayi ye yoh, unahonga leo si tulihonga zamani
Ayi ye yoh
Ayi ye yoh
Ayi ye yoh, unadanga leo si tulidanga zamani
Unaringia picha zenye filter ya huko Insta
Zamani si tulitisha mwendo wa kiko hakuna shisha
Shepu zakushikika kitu O.G. ugali muchicha
Leo munatingisha kimbe wachina wamejazisha
Zamani tulihonga bangili (ayah), pini masikioni (ayah)
Leo mumebadili mnahonga na iPhone
Vijana wengi wazembe wengi waongo chumbani butu
Wazee wa mundende mara mukongo, alkasusi
Zamani si ndio majembe tena vibongo wachinja kuku
Chumbani kimbembe mechi ya ndondo hatoki mutu
Ayi ye yoh
Ayi ye yoh
Ayi ye yoh, unalewa leo si tulilewa zamani
Ayi ye yoh
Ayi ye yoh
Ayi ye yoh, unahonga leo si tulihonga zamani
Ayi ye yoh
Ayi ye yoh
Ayi ye yoh, una-cheat leo si tuli-cheat zamani
Mhh, enzi zetu kupendeza haugusi
Suti rangi kifuu na shingoni kamjusi
Kwenye nywele za zuu, nna moka za Urusi
Mhh, kishoka kwa juu na kigazeti cha uzushi
Zamani kuwahi kazi sio mwendo kasi unapanda U.D.A
Kwa mwenye nazo ni taxi sio ku-request mambo ya Uber
Wadada zamani kazi kazi hawalewi bia leo kesho
Sikuhizi vichwa panzi bia mbili kashafika geto
Zamani ni tofauti na leo
Hadi ng'ombe maradufu ndio anakuwa mkeo
Zamani ni tofauti na leo
Ukitoa chipsi kuku analegeza komeo
Vijana wengi wazembe wengi waongo chumbani butu
Wazee wa mundende mara mukongo, alkasusi
Zamani si ndio majembe tena vibongo wachinja kuku
Chumbani kimbembe mechi ya ndondo hatoki mutu
Ayi ye yoh
Ayi ye yoh
Ayi ye yoh, unalewa leo si tulilewa zamani
Ayi ye yoh
Ayi ye yoh
Ayi ye yoh, unahonga leo si tulihonga zamani
Ayi ye yoh
Ayi ye yoh
Ayi ye yoh, una-cheat leo si tuli-cheat zamani
Writer(s): Salmin Kasimu Maengo, Raymond Shaban Mwakyusa
- AZLyrics
- R
- Rayvanny Lyrics
album:
"Sound From Africa" (2021)
You May Also Like
Harmonize - "Vibaya" Alisema mapenzi vita
Mi na yeye tuungane kuwateketeza maadui
Eeh maadui
Badala ya miezi kupita aah
Vikombe lazima vigongane
Na sio kwamba hayajui, eeh hayajui
Pigo za kusema vya jndani mi sinaga...
Meddy - "Carolina" Aaaahh aaaahh
Yeeyeeeh yeeh
Aaaah... Eleeeh
Don't let me down
Oya I got you
Don't let me down
Oya I got you
Don't let me down
Oya I got you
Country records
Carolina give me fever
Your body make me...
Nyashinski - "Hapo Tu" Hapo tu, hapo tu, hapo tu, hapo!
(Yeah, yeah yeah yeah)
Hapo tu, hapo tu, hapo tu, hapo!
(Cedo)
Guardians tuko jaba
Wengine wako meeting
Zetu ni ma German
Zenyu pikipiki
Leo tunaenda Canaan
Beba...
Nandy & Joeboy - "Number One" Whatever you dey do make you put jara
And anything they wanna say doesn't really matter
Don't stay far from me
Baby just come closer eh
Imarama you be fine with the whine oshe le le
Number one...