"Lala" lyrics
"Lala"
(feat. Jux)
Lala la, lala lala
Lala la, lala lala
(It's S2kizzy Beiby)
Nawaza usingetokea ningeongea nini leo? (Aah)
Bila ya penzi lako ningeenjoy nini leo? (Aah)
Imekuwa bora alivyopotea ukatokea wewe leo
Tena bila huruma yako ningetamba wapi leo? (Aah)
Kwenye baridi
Nikukumbate upate joto
Twende kwa bibi
Atupe baraka tuzae watoto
Ngozi laini mtoto soap soap
Tumbo la kuvalia crop top
Vanessa wa nini? we don't talk talk
Sitaki shobo nisha block block (Iyee)
Lala la, lala lala
Lala kifuani mmh
Lala la, lala lala
Kichuna lala usinzie
Lala la, lala lala
Nibembeleze nikuimbie
Lala la, lala lala
La la la... la la la
Nikimuita sukari ananiita asali
Lamba lamba pipi
Kuku mwenye kidari, shepu ngangari
La kuvunja kiti
Fundi fundi kamba
Za upendo wake kunibeba kwenda juu
Wakimponda saa
Hawajui ndo nazidi kumpenda tu
Usiku kwenye kimvua mvua, tukivua vua
Sema hata ajilaze kwenye kifua
Unanijua jua, nakujua jua
Masaji ya mafuta nikikuchua
Ngozi laini mtoto soap soap
Tumbo la kuvalia crop top
Fahima wa nini? we don't talk talk
Sitaki shobo nisha block block
Lala la, lala lala
Lala kifuani mmh
Lala la, lala lala
Kichuna lala usinzie
Lala la, lala lala
Nibembeleze nikuimbie
Lala la, lala lala
La la la... la la la
Lala la, lala lala
Lala kifuani mmh
Lala la, lala lala
Kichuna lala usinzie
Lala la, lala lala
Nibembeleze nikuimbie
Lala la, lala lala
La la la... la la la
(Wasafi)
Writer(s): Salmin Kasimu Maengo, Raymond Shaban Mwakyusa, Mussa Mkambala Juma
- AZLyrics
- R
- Rayvanny Lyrics
album:
"Sound From Africa" (2021)
You May Also Like
Olakira - "In My Maserati" Yeh Olakira krikata, baby
Girl, na you dey ginger me
Ifunaya you dey cause trouble
Shey you no go wound person
Love the way you dey dance, girl
Ayee o pe meji
Wa jekalo faji
Mami idikunle
Let's hop...
Diamond Platnumz - "IYO" Aah! tchu!
Tchu! tchu tchu tchu! tchu!
Ewena ewe, (S2Kizzy Baby)
Wambie, wa wambie sie (Woza)
Wambie tutalala kesho
Eweee!, eeh...
Wale Twaruka Priii...
Ewena Maan!... Ashi!
Ase Trap Tse Ke Pina Tsa...
Meddy - "Slowly" Do you believe in love?
How crazy it could be
Baby baby stop
Hmm, take it easy
When you leave
I swear I can't breathe
Do you really care? Baby
Niba unkunda
Nkomeza
You're my fantasy
My only desire...
Harmonize - "All Night" Yeyeyeeeeeeee oyayaa
B boy beatz
She say she don't wanna leave me lonely
She like the way I know how to controlly
When am wrong I know how to say sorry
I tell her baby you know me better so please...
Gyakie - "Forever" FLIP THE MUSIC
Gyakie uh huh
Na na na na na eyy ya
My mind dey for you
My heart beats for you
Every time when I think of you
I don't know...
I, I, I feel loved again
I don't want to wait for days...