"Lala" lyrics

"Lala"
(feat. Jux)

Lala la, lala lala
Lala la, lala lala
(It's S2kizzy Beiby)

Nawaza usingetokea ningeongea nini leo? (Aah)
Bila ya penzi lako ningeenjoy nini leo? (Aah)
Imekuwa bora alivyopotea ukatokea wewe leo
Tena bila huruma yako ningetamba wapi leo? (Aah)

Kwenye baridi
Nikukumbate upate joto
Twende kwa bibi
Atupe baraka tuzae watoto

Ngozi laini mtoto soap soap
Tumbo la kuvalia crop top
Vanessa wa nini? we don't talk talk
Sitaki shobo nisha block block (Iyee)

Lala la, lala lala
Lala kifuani mmh
Lala la, lala lala
Kichuna lala usinzie

Lala la, lala lala
Nibembeleze nikuimbie
Lala la, lala lala
La la la... la la la

Nikimuita sukari ananiita asali
Lamba lamba pipi
Kuku mwenye kidari, shepu ngangari
La kuvunja kiti

Fundi fundi kamba
Za upendo wake kunibeba kwenda juu
Wakimponda saa
Hawajui ndo nazidi kumpenda tu

Usiku kwenye kimvua mvua, tukivua vua
Sema hata ajilaze kwenye kifua
Unanijua jua, nakujua jua
Masaji ya mafuta nikikuchua

Ngozi laini mtoto soap soap
Tumbo la kuvalia crop top
Fahima wa nini? we don't talk talk
Sitaki shobo nisha block block

Lala la, lala lala
Lala kifuani mmh
Lala la, lala lala
Kichuna lala usinzie

Lala la, lala lala
Nibembeleze nikuimbie
Lala la, lala lala
La la la... la la la

Lala la, lala lala
Lala kifuani mmh
Lala la, lala lala
Kichuna lala usinzie

Lala la, lala lala
Nibembeleze nikuimbie
Lala la, lala lala
La la la... la la la
(Wasafi)


Writer(s): Salmin Kasimu Maengo, Raymond Shaban Mwakyusa, Mussa Mkambala Juma
You May Also Like
Olakira - "In My Maserati" Yeh Olakira krikata, baby Girl, na you dey ginger me Ifunaya you dey cause trouble Shey you no go wound person Love the way you dey dance, girl Ayee o pe meji Wa jekalo faji Mami idikunle Let's hop...
Diamond Platnumz - "IYO" Aah! tchu! Tchu! tchu tchu tchu! tchu! Ewena ewe, (S2Kizzy Baby) Wambie, wa wambie sie (Woza) Wambie tutalala kesho Eweee!, eeh... Wale Twaruka Priii... Ewena Maan!... Ashi! Ase Trap Tse Ke Pina Tsa...
Meddy - "Slowly" Do you believe in love? How crazy it could be Baby baby stop Hmm, take it easy When you leave I swear I can't breathe Do you really care? Baby Niba unkunda Nkomeza You're my fantasy My only desire...
Harmonize - "All Night" Yeyeyeeeeeeee oyayaa B boy beatz She say she don't wanna leave me lonely She like the way I know how to controlly When am wrong I know how to say sorry I tell her baby you know me better so please...
Gyakie - "Forever" FLIP THE MUSIC Gyakie uh huh Na na na na na eyy ya My mind dey for you My heart beats for you Every time when I think of you I don't know... I, I, I feel loved again I don't want to wait for days...