"Dunia" lyrics
"Dunia"
Nikifikiria dunia huwaga sipati jibu
Nawaza mpaka nadata
Nikikuuliza nini dunia huwezi kunipa jibu
Hapo ndo napata utata
Mmmh muda mwingine unaweza dhani ni utani
Mbona vitu vizuri vyote viwe ni vya shetani
Eti mziki shetani, pesa nazo shetani
Mpira na pombe shetani
Mademu na mihadarati, shetani
Naamini Mungu yupo najua
Ndo ananifanya ninapumua
Akitaka hata sasa ananichukua
Ila mi nataka kujua
Ni nini dunia
Dunia dunia
Hivi ni nini dunia
Dunia eeh
Mmmh wanaoishi kwa imani
Misikitini makanisani
Uwepo wao hauonekani
Hali zao zipo taabani
Hivi ulikuaga wapi before
Hujaja duniani
Na kwanini kunakifo
Unapokwenda hapajulikani
Sawa safari ni yetu sote
Na hakuna aliyekwenda na akarudi
Japo kutusimulia
Kama pazuri ama pabaya
Uwe tajiri ama masikini
Kwa mchanga utarudi
Minatoa wosia
Tusiishi kwa ubaya
Kunakidude kinaitwa mapenzi
Hakijawahi kueleweka
Wakati wewe unalia
Mwenzako yeye anacheka
Hivi ni nini dunia
Dunia dunia
Ni nini dunia
Dunia eeh
Eeh Pedezye Kumbuka
Msalimia mwijaku
Tuombeane mwisho mwema (eeh eeh yeah)
Tuombeane mwisho mwema (maana hakuna anaejua kesho)
Tuombeane mwisho mwema (kama wewe muislamu)
Tuombeane mwisho mwema (omba kwa dini yako)
Tuombeane mwisho mwema (kama wewe ni mkristo)
Tuombeane mwisho mwema (nisiri nisiri)
Tuombeane mwisho mwema (tuombeane nisiri)
Ni nini dunia
Dunia dunia
Hivi ni nini dunia
Writer(s): Rajab Kahali
- AZLyrics
- H
- Harmonize Lyrics
album:
"High School" (2021)
You May Also Like
Nyashinski - "Properly" Hallo! (Cedo) Hallo!
Kama we ni mwenyeji (Mmmh mmh)
We ni mwenyeji (Hallo)
Kama we si mwenyeji (Mmmh mmh)
Mind your business
Ka unataka ule anaichapa mpaka ilale
Basi harakisha njoo na
Nyumba...
Chike & Ada Ehi - "Watching All Over Me" Biko gwa m ebe anyi ga-eje without Jehovah
Biko gwa m ife anyi ga-eme without Jehovah
I just wanna say thank you to you
For watching all over me oh
Oh oh oh oh
Eh Papa, I just wanna say thank you...
Diamond Platnumz - "IYO" Aah! tchu!
Tchu! tchu tchu tchu! tchu!
Ewena ewe, (S2Kizzy Baby)
Wambie, wa wambie sie (Woza)
Wambie tutalala kesho
Eweee!, eeh...
Wale Twaruka Priii...
Ewena Maan!... Ashi!
Ase Trap Tse Ke Pina Tsa...
Rayvanny - "Baila" (Sound boy)
My geneviv, my coconut from Brazil, yeah
I used to dream about you now everything is real, yeah
You cool my temper, baby, every time we chill
Girl you are poison, poison, umenimurder...
Rayvanny - "Stay" Looking at the sunrise
Reminds me far away where we came from
That makes me realize you love me every day
When I see you home
So if you are going to stay, stay forever
If you are going to leave, then...