"Mdomo" lyrics
"Mdomo"
(feat. Ibraah)
Hahaha, Jeshi
I really sound crazy (songs by Abbah)
Chinga
I wanna sing for my lady oh
Sexy lady mmmh
Wanaokesha wakiomba tuachane, wanaupaka rangi upepo
Ufe nikuzike tuzikane, kesho tukakutane kwa pepo
Hasi na chanya tugandane, kisha tuzidishe tempo
Bila sita saba na nane, hata kumi isingekuwepo
Tena unavyojisuuza hujikwezi
Sio wa kulala Buza ushinde Mbezi
Yani unawaburuza hawakuwezi
Umeniteka mama
Watoto wa Mombasa huko Kenya, wanaitamani ndizi ya kumenya
Wanajiuliza vipi umepenya, mpaka tembo hapindui
Akina Carry mastory wanakusengenya, na vile huwajibu wanajitekenya
Na ulivyo na sifa unanipa tena, yani mpaka asubuhi
Kifupi umeniziba mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo
Yani baby umeniziba mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo
Mmmmmh Yeah
Oh baby I don't even understand
Nahisi kama umenifanyia limbwata
Ila ndo mapenzi sishangai
Yeah
My baby, I don't want a one night stand
Mi kwako chizi nishadata, nitakupenda till I die
Maana unanipa mawenge (ngengenge)
Mara vichwa mara mwenge (ngengenge)
Kaja gym na kite (tengenge)
Ilimradi uchokozi
Aah onananana
Macho yanatazama mbingu, na mikono ushafunga na pingu
Kibaridi huko nje kuna wingu, mi namwa mwagaga machozi
Watoto wa Mombasa huko Kenya, wanaitamani ndizi ya kumenya
Wanajiuliza vipi umepenya, mpaka tembo hapindui
Akina Carry mastory wanakusengenya, na vile huwajibu wanajitekenya
Na ulivyo na sifa unanipa tena, yani mpaka asubuhi
Kifupi umeniziba mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo
Yani baby umeniziba mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo mdo mdomo
Mdo
Anataka niteleze kwa ute (Hana ubaya)
Nikitapika nisifute (Hana ubaya)
Ananifanya nisijute (Hana ubaya)
Hana
(Harmonize)
Say
Chumbani nikukute (Hana ubaya)
Na ganja mbili tuvute (Hana ubaya)
Na vumbi la Congo ulifute (Hana ubaya)
Hana
(The mix killer)
Kondeboy call me number one
Chinga yes number one
Number one
Hehe
- AZLyrics
- H
- Harmonize Lyrics
album:
"High School" (2021)
You May Also Like
Sauti Sol - "Melanin" When a good girl gone bad
What you gonna do?
Run go meet her dad?
You don wanna do
Well this is Sauti Sol, Patoranking, world best yo
Watch this
Love confession
She's a heart breaker
She bend over...
Chike & Simi - "Running (To You)" Anybody wey wan fight you
Make them come
They already know
I'll be right beside you
Like the wall of Jericho
They don't know
They don't know
They don't know what's going on
Muna gi so
Muna gi so,...
Rayvanny - "Teamo" (Ayo, Lizer)
Mm, namshukuru Mola kanijalia
Mrembo wa sura hadi tabia
Nina kila sababu ya kujivunia, yeah
Yani kila kona umetimia
Napenda manukato ukinukia
Ukinigusa ndo nazimia, yeah
Yani kama...
Diamond Platnumz - "Inama" Ayolizer
Kukudekeza kama mtoto
Furaha unafurahia
Alafu geuka moto
Machozi unalia
Mwembamba mwenene
Uwe na pesa kama Dangote (Dangote)
Penzi halijali umasikini
Laweza penda mtu yoyote
Penzi sio somo...
Olakira & DaVido - "Maserati (Remix)" Ye, Olakira kirikata, baby
Let's hop in my Maserati
Baby, hop in my Maserati
I say hop in my Maserati
Hop in my Maserati
Girl, I wanna see you go down yeh
Say me I love the way you gbe body
Hop in...